Pre GE2025 Katikati ya matangazo ya 'Live' ITV Mgeni aomba watu wote studio wasimame kumuombea Rais Samia, Watangazaji wapata kigugumizi kumzuia

Pre GE2025 Katikati ya matangazo ya 'Live' ITV Mgeni aomba watu wote studio wasimame kumuombea Rais Samia, Watangazaji wapata kigugumizi kumzuia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.

Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.

Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.

Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.

Pia soma: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

 
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.

Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.

Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.

Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.

View attachment 3270118
Chawa everywhere
 
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.

Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.

Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.

Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.

View attachment 3270118
Kazi kweli
 
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.

Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.

Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.

Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.

View attachment 3270118
Siku hizi.kuna.malumbano ya hoja kuhusu.simba na yanga ? Aha ha ha aha
 
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.

Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.

Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.

Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.

View attachment 3270118
Siku hizi.kuna.malumbano ya hoja kuhusu.simba na yanga ? Aha ha ha aha
 
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.

Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.

Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.

Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.

View attachment 3270118
Hivi vichekesho vingine viuzwe kimataifa, labda vitasaidia kuongeza pato la taifa.
 
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.

Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.

Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.

Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.

Pia soma: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

View attachment 3270118
Awamu hii uchawa umerasimishwa kabisa.
 
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.

Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.

Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.

Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.

Pia soma: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

View attachment 3270118
Jana wanangu wanaosoma darasa la saba waliniuliza, hivi si ndio wanawafanyia waliokufa?
Kwani wanayemfanyia amekufa !!
Sikujibu neno maana nami nilipigwa na butwaa.
 
Siku ya ya jana tarehe 13 Machi 2025 ITV walikuwa wakirusha matangazo mbashara kipindi cha malumbano ya hoja mada ikiwa 'kutofanyika kwa dabi ya Simba na Yanga nini kifanyike?'.

Wakati kipindi kinaendelea akakaribishwa mchangiaji mmoja akijulikana kwa jina la Ramadhan Kampira, Mwenyekiti wa wachezaji wa zamani wa Yanga ambaye kabla hajaanza kuzungumza akawaomba watangazaji na wachangiaji wengine wasimame kwa dakika 1 kumuombea Rais Samia.

Niliona watangazaji wakabaki kwenye Dilema na baadae wakaamua kusimama, katikati ya maombi mtangzaji mmoja akashindwa kujizuia akatoa kicheko.

Kujipendekeza, uchawa vimetamalaki kila kona mpaka vinakua sugu.

Pia soma: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

View attachment 3270118
Sasa hawataki Rais aombewe ili ashindwe kutimiza majukumu yake? Wakamate wote sukuma ndani. Rais ni wa kuombewe kila siku kama dozi ya dawa full stop na wote semeni amina,
 
WhatsApp Image 2025-03-06 at 1.27.19 AM.jpeg
 
Huyu ni Mpumbavu na ameipatia aibu familia yake! Mke wake na watoto wake 😔 hata kama ni uchawa ila kuna kiwango! Hapo bado kidogo angesema Mungu Samia 😔 Kuwa na Mshua wa namna hii ni heri uwe yatma tu! Mungu atakuelewa! 😔 wazee wanazeeka ila pia na wapumbavu wanazeeka!
 
Back
Top Bottom