Ungekuwa karibu ningekupa mtwangio kwenye 0713Hao TEC ni kikundi cha watu wachache hawafiki hamsini, na hawawezi kuwasemea waumini wao, na hawakutumwa wawasemee. Wamekurupuka na makarasi yao tu. Kama waumini waliwatuma, watuonyeshe saini zao kuunga mkono hoja hiyo.
Waumini wao wana uhuru wa maoni, na wamekubali wakurugenzi wasimamie uchaguzi.
Una uhakika Samia ni doctorWananchi woote na taasisi zote na wadau wa Demokrasia wamewakataa.....kwanini Dr Samia anangangania?
Acha utabiri!!BAKWATA watakuja kuwapinga hao wote, sio wa kuwatumainia kwenye maslahi ya umma.
Acha unaxi!!Chezea Katoliki nini. Hilo ndiyo ingini ya Dunia.
Jadili mada, sio mtoa mada!Wakurugenzi.......Wezi wa Kura [emoji38][emoji38][emoji38]
Acha utabiri!!hawa wapoo opposite, kama unabisha suburi, Govt imeweka mamluki mle ambao wao kazi yao ni ku-neutrize issue kama hizi ambazo zipo opposite na favor ya Serikali........ Wait and see!!
Njoo nikuzibue chemba yakoUngekuwa karibu ningekupa mtwangio kwenye 0713
Labda wewe sio sisi au mimiHao TEC ni kikundi cha watu wachache hawafiki hamsini, na hawawezi kuwasemea waumini wao, na hawakutumwa wawasemee. Wamekurupuka na makarasi yao tu. Kama waumini waliwatuma, watuonyeshe saini zao kuunga mkono hoja hiyo.
Waumini wao wana uhuru wa maoni, na wamekubali wakurugenzi wasimamie uchaguzi.
Yaani kutoa maoni ni kukataa?Niliikatia tamaa hii nchi ile siku Mzee Jecha alipochukua fomu ya kugombea urais kule Zanzibar kwa tiketi ya CCM!
Acha ukudaAcha utabiri!!
Ila hapo kwenye BAKWATA hapo, sina uhakika π€, Labda π, mhhm ni ngumu π¬.Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.
Ahsanteni sana. π
Mwisho wa siku hiari Iko Kwa Serikali kuamua kuchukua maoni au kukacha.Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.
Ahsanteni sana. π
Ni ukweli ulio wazi kabisa Wakurugenzi wa Majiji na Halmashauri ni wanachama wa CCM ama kwa siri au kwa uwazi. Hivyo basi kwa wao kuwa pia Wakurugenzi wa Uchaguzi, ni wazi watakuwa na upendeleo kwa wagombea wa chama chao.Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.
Ahsanteni sana. π
Aliyetoa Mada ni Mkurugenzi?Jadili mada, sio mtoa mada!
Sawa sawa na Michango ya Team mchange nyie wenye nchi na kodi mtatoa nyie.Made waendelee tu,nyie TEC na kkkt mtajua wenyewe sisi wenye nchi tunasema maded wataendelea kusimamia na kuratibu uchaguzi.
Hahahahaa hapo sasa wacha tuoneMambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.
Ahsanteni sana. π