Pre GE2025 Katoliki na KKKT yawakataa Wakurugenzi wa Halmashauri kusimamia Uchaguzi, sasa inasubiriwa BAKWATA

Pre GE2025 Katoliki na KKKT yawakataa Wakurugenzi wa Halmashauri kusimamia Uchaguzi, sasa inasubiriwa BAKWATA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hao TEC ni kikundi cha watu wachache hawafiki hamsini, na hawawezi kuwasemea waumini wao, na hawakutumwa wawasemee. Wamekurupuka na makarasi yao tu. Kama waumini waliwatuma, watuonyeshe saini zao kuunga mkono hoja hiyo.

Waumini wao wana uhuru wa maoni, na wamekubali wakurugenzi wasimamie uchaguzi.
Ungekuwa karibu ningekupa mtwangio kwenye 0713
 
hawa wapoo opposite, kama unabisha suburi, Govt imeweka mamluki mle ambao wao kazi yao ni ku-neutrize issue kama hizi ambazo zipo opposite na favor ya Serikali........ Wait and see!!
Acha utabiri!!
 
Hao TEC ni kikundi cha watu wachache hawafiki hamsini, na hawawezi kuwasemea waumini wao, na hawakutumwa wawasemee. Wamekurupuka na makarasi yao tu. Kama waumini waliwatuma, watuonyeshe saini zao kuunga mkono hoja hiyo.

Waumini wao wana uhuru wa maoni, na wamekubali wakurugenzi wasimamie uchaguzi.
Labda wewe sio sisi au mimi
 
Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.

Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.

Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.

Ahsanteni sana. 😂
Ila hapo kwenye BAKWATA hapo, sina uhakika 🤔, Labda 😐, mhhm ni ngumu 😬.
 
Wazee wa bweche hao hakuna kitu usitegemee kitu chochote kutoka kwao kwanza utakuta Walaka wao unatoka huko wanakotakiwa wawape...Sheihk ni yule aliekua jela mara kapigwa risasi anasimamia Mali za Waislamu sio hao wazee wa Ubweche hakuna kitu..
 
Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.

Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.

Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.

Ahsanteni sana. 😂
Mwisho wa siku hiari Iko Kwa Serikali kuamua kuchukua maoni au kukacha.
 
Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.

Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.

Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.

Ahsanteni sana. 😂
Ni ukweli ulio wazi kabisa Wakurugenzi wa Majiji na Halmashauri ni wanachama wa CCM ama kwa siri au kwa uwazi. Hivyo basi kwa wao kuwa pia Wakurugenzi wa Uchaguzi, ni wazi watakuwa na upendeleo kwa wagombea wa chama chao.
 
BAKWATA SINDIYO TOILET PAPER YA CCM
 
Made waendelee tu,nyie TEC na kkkt mtajua wenyewe sisi wenye nchi tunasema maded wataendelea kusimamia na kuratibu uchaguzi.
 
Made waendelee tu,nyie TEC na kkkt mtajua wenyewe sisi wenye nchi tunasema maded wataendelea kusimamia na kuratibu uchaguzi.
Sawa sawa na Michango ya Team mchange nyie wenye nchi na kodi mtatoa nyie.
 
Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.

Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.

Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.

Ahsanteni sana. 😂
Hahahahaa hapo sasa wacha tuone
 
Back
Top Bottom