SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Kwa maoni yangu....Upinzani una, na ina maana ya upinzani wa Sera na Hoja za sera hizo.Upinzani unafifia
Chillah unajua tafsiri ya picha ya pili? Au umeangalia ya kwanza tuuKwisha habari yao...
Sasa hivi hawana tofauti na Prof wa Uchumi, au Rangi ya zambarau kamw sio Mzee Momose...
Una weza kutoa mifano kibao kushadihisha hili
Kifo cha mende, Chaliii. kwa sauti Prof wa Uchumi
Kikulacho, umemalizaKwa maana hiyo hayo hayawezi kuwa maridhiano bali ni makabidhiano......
Lakini anatokea ubavuni huku mmezaji kalalaCHADEMA Kamezwa, mzima mzima!
Ingelikuwa ni chama kingine ndicho kimemwalika mwenyekiti wa ccm kwenye shughuli yao, hayo maneno sasa... Mfano ingelikuwa ni ACT, ila kwakuwa ni wao basi wanasems ni mbinu ya kisiasa.Kwisha habari yao...
Sasa hivi hawana tofauti na Prof wa Uchumi, au Rangi ya zambarau kamw sio Mzee Momose...
Una weza kutoa mifano kibao kushadihisha hili
Kifo cha mende, Chaliii. kwa sauti Prof wa Uchumi
Kesi ya hao 19 ni ya uhaini wa chama, huwezi kuisamehe ki rahisi utakua umeweka precedent mbaya kwenye chamaKipanya haya ni mawazo yake, he is at liberty to thik the way he thinks. Sawa na humu JF waliosema , tena wengi sana kuwa mawakili wa Chadema kuacha maswali ya dodoso kesi ya la akina Halima Mdee ni wazi kuwa jana 8/3/2023 wangelisamehewa na kuendelea kuwa wabunge. Jibu wamelipata jana! johnthebaptist
Aliwahi kuitwa polisi kipindi cha mwendazake wala halikuwa jambo la siri. Tofauti na wengine yeye hakutekwa aliitwa.Acheni uzushi wa kipuuzi.
Wenzako walikuwa washaanza kujiandaa kisaikolojia kujustify msamaha, bahati nzuri haukutokea ila hata wakisamehewa bado utakuja na maneno ya kujustify huo msamaha.Kesi ya hao 19 ni ya uhaini wa chama, huwezi kuisamehe ki rahisi utakua umeweka precedent mbaya kwenye chama
Wengi 'wanashabikia' tu hiyo ya kwanza! Hiyo ya pili waalaaa hawajishughurishi na 'athari' ya huo mkono uliojitokeza nje!Chillah unajua tafsiri ya picha ya pili? Au umeangalia ya kwanza tuu
Hiyo kawaida. Lakini uzushi ulioongezwa sio kabisa. Wabongo wajitahidi kuandika ukweli wa mambo bila kuongeza chunviAliwahi kuitwa polisi kipindi chs mwendazake wala halikuwa jambo siri. Tofauti na wengine yeye hakutekwa aliitwa.
Sasa walizungumza nini na ni kwa sababu gani, haijawahi kuwekwa wazi.
So Chadema ni baba yako au msemaji wako?Kwisha habari yao...
Sasa hivi hawana tofauti na Prof wa Uchumi, au Rangi ya zambarau kamw sio Mzee Momose...
Una weza kutoa mifano kibao kushadihisha hili
Kifo cha mende, Chaliii. kwa sauti Prof wa Uchumi
Inajidhirisha sasa kuna watanzania wengi walikuwa wanafurahia wapinzani wa avyo unizwa wakiwa wanapigania haki za kidemokrasia na za watu!Are you ready to be swallowed? View attachment 2542545
Am ready!, swallow me! If you can, it's up to you!
View attachment 2542549
Am happy, at now, so that I can smile!, happy! happy! happy! View attachment 2542598
Wanaongeza kutokana na mazingira yanayokuwepo na mambo yaliyokuwa yanatokea. So ukiwapa picha wanamalizaHiyo kawaida. Lakini uzushi ulioongeza sio kabisa. Wabongo jitahidini kuandika ukweli wa mambo bila kuongeza chunvi
Uhafidhina uko pande zote, kuna wanao faidi na siasa za marubano na mateso lazima wapinge maridhiano hayo......Kaki kakubali yaisheee
Kwanini wewe usiwe mpinzani sasa?Upinzani unafifia
SahihiChadema ni jeshi la mtu mmoja ukishadili na huyo mtu,wengine wanakua wapole hawafurukuti