[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unateseka sanana sio mamayenu kuwa kamezwa etii kwa akili ya kawaida nani amemezwa au hao wafuas wa ccm wanapochora katuni mnajifariji waambien waitishe mikutano bas tuone nani kamezwa maana wananchi ndo waamuz.
Jana anamponda Magufuli wakati Mama mwenyewe kamtumia ndani miezi tisa.Unafiki wa Mbowe ni kiwango cha SGR![emoji1787][emoji1787]Raia wa Tz wali msariti Mbowe kwa miezi 9 alio kaa jela bila mandamano au mgomo, hana jinsi bora aungane nao, raia wenyewe anao pigania hawaeleweki na ni waoga.
Kwani hujawahi kusikia wakilalamika kwamba jpm alikuwa anawanunua?Mkuu hebu fafanua vizuri, "Ni pesa Yako tu" Inamaana wanajiuza?
Leo hii masoud ni mnufaika wa kayafa?Hoyo ni akili ndogo ni mnufaika wa Kayafa
Hiyo michoro inawakilisha ufinyu wa upeo na akili FUATA UPEPO
intelligence umebadilika...sio ile ya....
Chadema ni dude kubwa Duniani
Ni wazi tumewameza
Lakini anatokea ubavuni huku mmezaji kalala
Wengi 'wanashabikia' tu hiyo ya kwanza! Hiyo ya pili waalaaa hawajishughurishi na 'athari' ya huo mkono uliojitokeza nje!
Aisee ina maana Chadema wanaipeleka kuzimu CCM.
Nimependa rangi ya mbwaAre you ready to be swallowed "mwanangu"?
View attachment 2542545
Am ready, swallow me If you can, it's up to you! Ok, let me do it quickly.
View attachment 2542549
"So delicious"
Am happy now, so that I can smile! Happy! Happy! Happy! NEXT........!
View attachment 2542598
Haa Hata Wakati Wa Mkapa Alitiwa JambajambaAlikamatwa maana alimchora jinsi alivyokuwa Mwizi.
Haimezeki. Alijaribu kufanya hivyo mwendazake lakini ikamtoboa kwa kamfupa kadogo kaliko baki. Hako hako kamemfanya akafa na sasa mbwa mzima anafufuka na kuiangusha tena joka.Aisee ina maana Chadema wanaipeleka kuzimu CCM.
Ndiyo, ili uache kulialia na malalamikoKwahiyo ukififia yapasa niwe mpinzani?
Sijalalama popoteNdiyo, ili uache kulialia na malalamiko
Na joka linarembua jichoCHADEMA Kamezwa, mzima mzima!
Kichwa ndicho kichwa cha CCM.Na joka linarembua jicho