Katuni ya Simpsons Ilitabiri Kamala kuwa Rais wa Kwanza wa Kike mwaka 2024 tunasuburi Utabiri Utimie

Katuni ya Simpsons Ilitabiri Kamala kuwa Rais wa Kwanza wa Kike mwaka 2024 tunasuburi Utabiri Utimie

March, 19-2000. TV show THE SIMPSONS wali'release SEASON 11

S0 11, Episode ya 17 "BART TO THE FUTURE" ilionyesha RAIS mwanamke akiongoza USA 🇺🇸

Scenes zinaonesha characters waliopo sasa kina KAMALA, na TRUMP

Hmm! wanajarbu kutwambia nini?🤔

Yani Series ya mwaka aftisa mia huko wakaigiza mambo yanayotokea leo!!😳😳

Kuna kitu hakipo sawa, Ila Ipo siku hata kama nitakuwa nimekufa Kitakuwa wazi..

Waliwahi Kutabiri Pia URais wa Trump na Pia Urais wa Obama

View attachment 3141766
View attachment 3141767View attachment 3141769


KIPANDE CHA video hili hapa .. Na ikumbukwe Hii Series ni Miaka ya 1990s mpaka 2000
View attachment 3141772
Sasa mbona kwa mujibu wa hayo maneno ya "As you know,we've inherited quite budget crunch from President Trump".

Hii inaonesha walitabiri Kamala atakuwa raisi baada ya Trump.

Mimi natabiri Kamala atakuwa raisi baada ya Trump.
 
Sasa mbona kwa mujibu wa hayo maneno ya "As you know,we've inherited quite budget crunch from President Trump".

Hii inaonesha walitabiri Kamala atakuwa raisi baada ya Trump.

Mimi natabiri Kamala atakuwa raisi baada ya Trump.
Na mimi Baada ya Kuichunguza Sana Nimeona Huenda walitabiri Baada ya Kuwa Rais Trump atafata Kamala
 
Kwamba wapo walisafiri mbele ya muda?
Time travelling pia IPO na kuna watu wanaifanya
Hata CIA chini ya DARPA wana program za research za vitu vya ajabu ambavyo kiafrika vinaonekana kama uchawi au mazingaombwe vitu kama time travelling ,remote viewing(kuona vitu vilivyo mbali au mafichoni kwa kutumia ubongo wa binadamu au ndoto ) , teleportation ,mind control ,sonic levitation ( kutembeza vitu kwa kutumia sauti ) NK

Haya mambo yapo na yanafanyika
 
Dunia ni Simulation ,tupo kwenye matrix ,vitu vilishapangwa kitambo na wenye dunia hii aka the elites of the cabal
Kwahiyo unamaana maisha yetu yote haya ni Video Game?!
Mbona tunasemaga kuwa tuna Will Power ya kuamua maisha yetu?!
 
Kwahiyo unamaana maisha yetu yote haya ni Video Game?!
Mbona tunasemaga kuwa tuna Will Power ya kuamua maisha yetu?!
Free Wills?
Vipi kwa mfano Nikakushikia Bunduki Nikakwambia Ukikimbia Nakucharza Bunduki halafu nikakwambia usalama wako Ni wewe Kuchuchumaa na Kula Chakula Nilichokiweka Chini..
Ukibaki ukala chakula Itakuwa Ni free wills au Ni uoga wa Bunduki..
Japo naweza kukwambia Uamuzi ni wako sikuchagulii chakufanya Kimbia au Kula chakula..

So free wills its a fairytale not existed
 
Vipi kwa mfano Nikakushikia Bunduki Nikakwambia Ukikimbia Nakucharza Bunduki halafu nikakwambia usalama wako Ni wewe Kuchuchumaa na Kula Chakula Nilichokiweka Chini..
Hiyo ni Built in Survival Instict, fight or flight lakini mimi huwa naamua kuwa leo siendi kazini naenda Bar naenda kunywa hiyo ni free will.
 
Hiyo ni Built in Survival Instict, fight or flight lakini mimi huwa naamua kuwa leo siendi kazini naenda Bar naenda kunywa hiyo ni free will.
Huo Uamuzi wa Kwenda Kazini Unakuwa nao Kwenye Ratiba au Ghafla tu mawazo yanakuijia?

Unajua Hayo mawazo yanatoka wapi?
Thibitisha hayo mawazo hakukuwekea Mtu kichwani mwako
 
Huo Uamuzi wa Kwenda Kazini Unakuwa nao Kwenye Ratiba au Ghafla tu mawazo yanakuijia?

Unajua Hayo mawazo yanatoka wapi?
Thibitisha hayo mawazo hakukuwekea Mtu kichwani mwako
Kwakweli kuthibisha inakuwa ni vigumu, labda subconsciously nimeona tangazo la Konyagi si unajua tena mara Social media kuna adverts mabarabarani kuna mabango kwenye radio 😂😂😆
 
Kwakweli kuthibisha inakuwa ni vigumu, labda subconsciously nimeona tangazo la Konyagi si unajua tena mara Social media kuna adverts mabarabarani kuna mabango kwenye radio 😂😂😆
Sasa Kama Umeona Tangazo la konyagi 😂😂 utasemaje Hiyo ni free wills..
Hiyo ni Influencial wills, Kuna kitu Kimeluinfluence ufanye ulivyofanya 😂😂😂
 
Kamala ndo mgombea urais zwazwa kupita wote katika historia ya Marekani!

Katika hilo [uzwazwa], anashindana na Trump.

Trump naye kichwani hamna kitu kabisa.

Viwango vya wagombea urais Marekani vimeshuka sana.
Kati ya zwazwa na ambaye kichwani hamna kitu kabisa yupi ana afadhali.
 
Kamala ndo mgombea urais zwazwa kupita wote katika historia ya Marekani!

Katika hilo [uzwazwa], anashindana na Trump.

Trump naye kichwani hamna kitu kabisa.

Viwango vya wagombea urais Marekani vimeshuka sana.
😅😂😂😂
 
March, 19-2000. TV show THE SIMPSONS wali'release SEASON 11

S0 11, Episode ya 17 "BART TO THE FUTURE" ilionyesha RAIS mwanamke akiongoza USA 🇺🇸

Scenes zinaonesha characters waliopo sasa kina KAMALA, na TRUMP

Hmm! wanajarbu kutwambia nini?🤔

Yani Series ya mwaka aftisa mia huko wakaigiza mambo yanayotokea leo!!😳😳

Kuna kitu hakipo sawa, Ila Ipo siku hata kama nitakuwa nimekufa Kitakuwa wazi..

Waliwahi Kutabiri Pia URais wa Trump na Pia Urais wa Obama

View attachment 3141766
View attachment 3141767View attachment 3141769


KIPANDE CHA video hili hapa .. Na ikumbukwe Hii Series ni Miaka ya 1990s mpaka 2000
View attachment 3141772
Ni kweli haujui kuandika kwa lugha moja iliyonyooka na kueleweka?
 
Back
Top Bottom