Upuuzi mtupu,ccm haiwezi toka madarakani kwa kanituni za kipuuzi kama hizi,nendeni kwa wananchi mkauze Sera wananchi wawapime,unadhani tabiri uchwara za kipanya zina nafasi yotote katika kuingoa ccm?
Inategemea na tafsiri.
Mimi nionacho hapo ni goli liko wazi ila mpigaji hawezi mpira.
Lissu anakwenda kupiga penati ...afu kama goalkeeper hayupo vile ....ma kijani hayaaminiMsanii Kipanya ameendelea kuzikonga nyoyo za wapenzi wa michoro hiyo hasa kipindi hiki ambacho ccm ipo kwenye sintofahamu ya kiuongozi.
Tafadhali tazameni hiyo picha chini hapoView attachment 1158779
Sasa huyo ataweza kupiga huo mpira kweli, labda atumie hilo gongo alafu tuliite goli la gongo.
Lissu anakwenda kupiga penati ...afu kama goalkeeper hayupo vile ....ma kijani hayaamini
Kipanya anatuambia kwamba, goli lipo wazi lkn upinzani upo hoi.
Hapo anamaanisha mtu ni mgonjwa na anataka kufunga goli wakati mguu ni mbovu japo golini hakuna kipaMsanii Kipanya ameendelea kuzikonga nyoyo za wapenzi wa michoro hiyo hasa kipindi hiki ambacho ccm ipo kwenye sintofahamu ya kiuongozi.
Tafadhali tazameni hiyo picha chini hapoView attachment 1158779
Tatizo akili zako bado zipo kwenye ndoto za jana.
Amka dogo hali si salama tena ndani ya ccm
Sasa mpigaji hapo atapiga kwa magongo maana miguu yote imefungwa
Hapo anamaanisha mtu ni mgonjwa na anataka kufunga goli wakati mguu ni mbovu japo golini hakuna kipa
Kinana na Makamba family wanaamini ccm ni wao bila wao haisongi, sasa hapa ndipo watakapopotezwa ktk siasa ya bongo.Ccm inarudi kwenye uhalisia wake baada ya kutekwa na familia fulani
Mabeki wameliacha gori wazi,,Lipi hilo mkuu tafadhali tusaidiane mawazo ya kujua kilichomo