Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ccm kwa sasa imebakia mikononi mwa wachimba kaburi ni muda gani watamaliza kuchimba ili ikazikwe
Upuuzi mtupu,ccm haiwezi toka madarakani kwa kanituni za kipuuzi kama hizi,nendeni kwa wananchi mkauze Sera wananchi wawapime,unadhani tabiri uchwara za kipanya zina nafasi yotote katika kuingoa ccm?