Sasa hivi imetekwa na mtu mmoja, sio familia.Ccm inarudi kwenye uhalisia wake baada ya kutekwa na familia fulani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi imetekwa na mtu mmoja, sio familia.Ccm inarudi kwenye uhalisia wake baada ya kutekwa na familia fulani
Kukaa kunahusisha matako! Sasa ushindi unauhusishaje na matako?Acha ajifariji. Chadema haitakaa ishinde Urais. Wakitaka kushinda basi wapinzani wote waungane watoe jina moja tu la mgombea.
Kama mwaka 2015 walishindwa kubutua na kufunga goal.Mpiga penalty anaweza kushindwa kupiga hiyo penalty au hata akipiga anaweza Kupiga nje au mpira usifike kabisa golini pamoja na goli kuwa wazi..
Upinzani wanahitaji kuwa majasiri kidogo tu kuiyumbisha CCM wakati huu.. Bila ujasiri hawataweza kuitoa CCM..
Km ulikuwa kichwani mwangu, hapo goli limeachwa wazi lakini mpiga penalty anaweza asiwe na uwezo wa kufikisha mpira golini, kupiga nje inaweza isiwe rahisi lakini kutofikisha Mpira golini kunahusika snMpiga penalty anaweza kushindwa kupiga hiyo penalty au hata akipiga anaweza Kupiga nje au mpira usifike kabisa golini pamoja na goli kuwa wazi..
Upinzani wanahitaji kuwa majasiri kidogo tu kuiyumbisha CCM wakati huu.. Bila ujasiri hawataweza kuitoa CCM..
Hahahahaaa!Anaipenda CCM kuliko wigi lake!😂😂😂😂😂😂Kukaa kunahusisha matako! Sasa ushindi unauhusishaje na matako?
Au mwakwetu una flat screen!
Kipanya kaanza kuota mchana.Msanii Kipanya ameendelea kuzikonga nyoyo za wapenzi wa michoro hiyo hasa kipindi hiki ambacho ccm ipo kwenye sintofahamu ya kiuongozi.
Tafadhali tazameni hiyo picha chini hapoView attachment 1158779
Crap!Kukaa kunahusisha matako! Sasa ushindi unauhusishaje na matako?
Au mwakwetu una flat screen!
Umemuona vizuri mpiga penalty anatamani lefa apulize kipyenga tu mpira uishe kuliko kujaribu kupiga hiyo faulo maana lawama zinaweza kuwa zake kama yule kipa wa ndondo wa Goms aliyehama mji baada ya kufungisha.Mbona kama wameamua kulikimbia goli na hapo mwana cdm anajipanga kupiga penati wakati lango lipo tupu?
Nani alikwambia ukilala mchana hauruhusiwi kuota ndoto uipendayo?Kipanya kaanza kuota mchana.
AiseeJuzi kina makamba na kinana walipost picha za chumba Masaki, waliiibia chadema kura zake za uraisi, chadema walishinda kwa kishindo
Wewe empty skulled ni wa kubishana na kipanya?[emoji41]Upuuzi mtupu,ccm haiwezi toka madarakani kwa kanituni za kipuuzi kama hizi,nendeni kwa wananchi mkauze Sera wananchi wawapime,unadhani tabiri uchwara za kipanya zina nafasi yotote katika kuingoa ccm?
Kwani kuna aliyesema picha inalengo baya? Au tafsiri ndio inakupa shida?Hii PCHA inalengo nzurii
Ccm inarudi kwenye uhalisia wake baada ya kutekwa na familia fulani