Katuni za Masoud Kipanya (Special thread)

Katuni za Masoud Kipanya (Special thread)

Vibaka wa CCM wanagombea ukoko wa pilau na kuacha goli "kibwena'!Maccm ni pure fula-pigmies😁😁😁😁😁😁
 
Masoud anajaribu kutuambia Makamanda ‘goli la wapinzani liko wazi kazi kwenu’
 
Mpiga penalty anaweza kushindwa kupiga hiyo penalty au hata akipiga anaweza Kupiga nje au mpira usifike kabisa golini pamoja na goli kuwa wazi..

Upinzani wanahitaji kuwa majasiri kidogo tu kuiyumbisha CCM wakati huu.. Bila ujasiri hawataweza kuitoa CCM..
Kama mwaka 2015 walishindwa kubutua na kufunga goal.

Ile kumchukua Lowassa walipaisha penati.
 
Mpiga penalty anaweza kushindwa kupiga hiyo penalty au hata akipiga anaweza Kupiga nje au mpira usifike kabisa golini pamoja na goli kuwa wazi..

Upinzani wanahitaji kuwa majasiri kidogo tu kuiyumbisha CCM wakati huu.. Bila ujasiri hawataweza kuitoa CCM..
Km ulikuwa kichwani mwangu, hapo goli limeachwa wazi lakini mpiga penalty anaweza asiwe na uwezo wa kufikisha mpira golini, kupiga nje inaweza isiwe rahisi lakini kutofikisha Mpira golini kunahusika sn
 
Wapinzani wa hii nchi hawako serious, kwahiyo acheni tu tuongoze ingawa napenda upinzani uwepo maana kwa sasa imekuwa 'kuwa ccm basi lazima kusema ndiyo mzee kwa kila kitu' wakati haikutakiwa iwe hivyo.
 
Sisiemu haitaweza tolewa na upinzani huu wa kina Mbowe.
The best chance ilikuwa ni 2015 kwa lowasa, haitatokea tena kwa upinzani wa sasa huu usio na vision wala dira. Kila msimu wanaundiwa songi na wao wanadansi.
 
Mbona kama wameamua kulikimbia goli na hapo mwana cdm anajipanga kupiga penati wakati lango lipo tupu?
Umemuona vizuri mpiga penalty anatamani lefa apulize kipyenga tu mpira uishe kuliko kujaribu kupiga hiyo faulo maana lawama zinaweza kuwa zake kama yule kipa wa ndondo wa Goms aliyehama mji baada ya kufungisha.
 
Nilivyoelewa..
Timu pinzani wanagombana..anahisi wameacha goli wazi.
Bahati mbaya mfungaji/anayetakiwa afunge goli la ushindi ndo yupo ivo tena...magongo/majeruhi.
 
Upuuzi mtupu,ccm haiwezi toka madarakani kwa kanituni za kipuuzi kama hizi,nendeni kwa wananchi mkauze Sera wananchi wawapime,unadhani tabiri uchwara za kipanya zina nafasi yotote katika kuingoa ccm?
Wewe empty skulled ni wa kubishana na kipanya?[emoji41]
 
Wenye kijani wanagombna,goli lipo wazi,mpiga faulo ni kilema,akijipanga/kujitibu na kutumia nafasi vizuri anaweza akafunga,hvyo ili afunge anahitaji wenye kijani waendelee kugombana na wakati huo yeye mwenye ajitibu haraka,
 
Back
Top Bottom