mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Value na mavitu gani hayo! Tupe maujanjaπππTena mwanangu asa kuna huyo nikimpaga hela kesho nahakikisha anachechemea nampigia mixer ya value na mavitu uko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Hayo malalamiko Ni baada ya kuona naibiwa mchana kweupee muhusika namuuliza ananijibu kirahisi hivyo, nikajua Hapa Sina changu[emoji2][emoji2] basi na wewe ulishakua umemchoka. Mnaachanaje kirahisi hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana nidhamu ya Kuomba fedha huyo! Ni kama anaomba Kwa Wengi na wewe anakuona bahili.Huyo muuzaji tu anaonekana.Umeona kama huyu anaomba hela tena direct kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi Bora mtu aniombe indirect naweza kumpa uwa namchezea Tu akiniomba nacheka mzigo nabutua afu limke la mtu si amuombe Bwana Ake View attachment 2580653
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Ilikua hasira tu. Niligundua makosa yangu nilimuomba samahani. Toka pale nilijifunza hata tugombane vipi najitahidi sana kunyamaza.kwel ulikosea hiyo sio kauli ya kumwambia mtu ni km vile unamtishia kuwa "natongozwa sana kwahy afanye kukucare ili usije ukakubali"
hata km inngekuw ni mm ningekupa majibu ya ovyo
Hivi vitu mpaka Kwa mkemia uko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndo uwa nachanganyia mahabara ya serikaliValue na mavitu gani hayo! Tupe maujanja[emoji3][emoji3][emoji3]
Na Mimi namuenjoy Tu Sjui ananiona Fala wakati Mimi mjini kitambo namchora Tu Yani anikata stimu soon atakula tofaliHana nidhamu ya Kuomba fedha huyo! Ni kama anaomba Kwa Wengi na wewe anakuona bahili.Huyo muuzaji tu anaonekana.
Mmezidi tatizo mtu hana story za mapenzi kila akitext ni hela kama kaziwekaPamoja na shida zangu hakuna kitu nachukia kama kuendekeza shida zangu kwa mwanaume mna dharau sana nyie viumbe. Kuna situation nilishapitia ilinifundisha sana toka pale najisemeaga maisha ni yangu nijitafutie cha kwangu ukiamua kunipa sawa usipotaka sitakuomba. Mna dharau sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππUjana changamoto unalewa Juu,zinashuka chini...Hivi vitu mpaka Kwa mkemia uko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndo uwa nachanganyia mahabara ya serikali
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
"Aya we endelea tu"Kauli gani ukiambiwa na mpenzi wako unaanza kuhisi hili penzi halina muda mrefu linakwisha?
Mpee bhanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23]Hela gani? Wakati ata Mimi mwenyewe nataka kupewa hela Yani Mimi mwanamke ntampa hela Yani nijue ni shida kweli hapo sawa au anipe nimpe hapo nampa Yani mapenzi yakuombana hela yanakata stimu
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Hahaha ulipatikana vizuri. Alafu huu usenge wenu wa kusema nakataa wanaume wengi sijui nani aliwaambia ni akili π€£π€£π€£π€£Mimi tuligombana hiyo siku nikamuambia "yaan najitahid kushinda vishawishi huko nje, nakuheshimu natulia na wewe nakataa wanaume wengine kwa ajili yako alafu wewe unaniletea mambo meusi" akanijibu "sasa unangoja nini si uende kwa hao wanaume wengine" nikaanza kulia nikajua kishawaka ila alikuja akanisamehe baada ya mvurugano mkubwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema wanawake wengi hawajui tu,Hela mwanaume akupe mwenyewe ukiomba wengi wetu huwa tunajisikia vibaya sana kuombwa Hela.Na Mimi namuenjoy Tu Sjui ananiona Fala wakati Mimi mjini kitambo namchora Tu Yani anikata stimu soon atakula tofali
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Mimi na yeye baada ya kujuana wiki mbili tu
Yeye:Mambo my
Mimiπoa mzima?
Yeye: Siko Poa
Mimiπole Nini shida?
Yeye:Tumbo linauma
Mimiπole,Tumbo la MP au la kawaida?
Yeye:MP
Mimiπole sana Jamani!
Yeye:Asante,naomba nitumie Hela nikanue Pedi
Hauna pesa kuna wanaume ukiwaomba wapo chap sanaSema wanawake wengi hawajui tu,Hela mwanaume akupe mwenyewe ukiomba wengi wetu huwa tunajisikia vibaya sana kuombwa Hela.
Mimi mmoja Jana kapiga simu Eti Nina njaa nikamuungia story zingine uko Yani hii tabia inakata stimu ya mapenzi Bora kuachana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sema wanawake wengi hawajui tu,Hela mwanaume akupe mwenyewe ukiomba wengi wetu huwa tunajisikia vibaya sana kuombwa Hela.
Dah....aisee mwanangu mzabzab tutafute pesa, Hali ni Tete[emoji23]Hauna pesa kuna wanaume ukiwaomba wapo chap sana
Ilikua hasira tu. Niligundua makosa yangu nilimuomba samahani. Toka pale nilijifunza hata tugombane vipi najitahidi sana kunyamaza.
Sent using Jamii Forums mobile app