Kauli gani ukiambiwa na mpenzi wako unaanza kuhisi hili penzi halina muda mrefu linakwisha?

Kauli gani ukiambiwa na mpenzi wako unaanza kuhisi hili penzi halina muda mrefu linakwisha?

Umeona kama huyu anaomba hela tena direct kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi Bora mtu aniombe indirect naweza kumpa uwa namchezea Tu akiniomba nacheka mzigo nabutua afu limke la mtu si amuombe Bwana Ake View attachment 2580653

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Hana nidhamu ya Kuomba fedha huyo! Ni kama anaomba Kwa Wengi na wewe anakuona bahili.Huyo muuzaji tu anaonekana.
 
kwel ulikosea hiyo sio kauli ya kumwambia mtu ni km vile unamtishia kuwa "natongozwa sana kwahy afanye kukucare ili usije ukakubali"

hata km inngekuw ni mm ningekupa majibu ya ovyo
Ilikua hasira tu. Niligundua makosa yangu nilimuomba samahani. Toka pale nilijifunza hata tugombane vipi najitahidi sana kunyamaza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na shida zangu hakuna kitu nachukia kama kuendekeza shida zangu kwa mwanaume mna dharau sana nyie viumbe. Kuna situation nilishapitia ilinifundisha sana toka pale najisemeaga maisha ni yangu nijitafutie cha kwangu ukiamua kunipa sawa usipotaka sitakuomba. Mna dharau sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmezidi tatizo mtu hana story za mapenzi kila akitext ni hela kama kaziweka
 
Hivi vitu mpaka Kwa mkemia uko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndo uwa nachanganyia mahabara ya serikali

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
😀😀😀😀Ujana changamoto unalewa Juu,zinashuka chini...
Piga value changanya na coca,piga na kongoro asee balaa lake sio poa
 
Mimi tuligombana hiyo siku nikamuambia "yaan najitahid kushinda vishawishi huko nje, nakuheshimu natulia na wewe nakataa wanaume wengine kwa ajili yako alafu wewe unaniletea mambo meusi" akanijibu "sasa unangoja nini si uende kwa hao wanaume wengine" nikaanza kulia nikajua kishawaka ila alikuja akanisamehe baada ya mvurugano mkubwa [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ulipatikana vizuri. Alafu huu usenge wenu wa kusema nakataa wanaume wengi sijui nani aliwaambia ni akili 🤣🤣🤣🤣
Ila hujamalizia story...onglea basi kile kipande ambapo alikuchakaza vizuri kitandani wakati wa make up sex😜
 
Mimi na yeye baada ya kujuana wiki mbili tu

Yeye:Mambo my
Mimi😛oa mzima?
Yeye: Siko Poa
Mimi😛ole Nini shida?
Yeye:Tumbo linauma
Mimi😛ole,Tumbo la MP au la kawaida?
Yeye:MP
Mimi😛ole sana Jamani!
Yeye:Asante,naomba nitumie Hela nikanue Pedi

si afadhal huyo ht kakaa wik mbili kuna pisi moja nzur sana alaf age 20 kana sura ya upole yan nimeomba numb leo kesho ananiambia "my nina njaa hatar" yan nilikadharau sana nikaamua kukatumia tu kishingo upande baad ya siku moja sijui mbili sijui my naumwa sina hata hela ya dawa alaf hapo mwanzo aliniambia anakaa kwao na wazaz,nikamchapa swal ww si unakaa na wazaz wako kwann wasikupe hela ya dawa et kakanijib hilo swali lako siwez kukujib" mazaaa fantaaa nilikachana tabia za kimalaya hizo km anataka kuniuzia aseme akajifny kununa nikakapotezea mazima na kukapiga block pimbi yule
 
Sema wanawake wengi hawajui tu,Hela mwanaume akupe mwenyewe ukiomba wengi wetu huwa tunajisikia vibaya sana kuombwa Hela.
Mimi mmoja Jana kapiga simu Eti Nina njaa nikamuungia story zingine uko Yani hii tabia inakata stimu ya mapenzi Bora kuachana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Ilikua hasira tu. Niligundua makosa yangu nilimuomba samahani. Toka pale nilijifunza hata tugombane vipi najitahidi sana kunyamaza.

Sent using Jamii Forums mobile app

ukitaka kujikysanyia credit kwa mwanaume ni kitu kdg sana sema wanawake wengi hawalijui hilo sisi wanaume tuna vitu tunavihusudu sana binafs yang mm napenda mwanamk akiomba hela nikimwambia sina lkn mwanmke huyo haonyeshi ishara ya kuchukia na atakutext km kawaida hii inakuongezea point kwa mwanaume akikunyima hela ww mwambie utapata siku nyingine Mungu atakujalia hii inatia moyo hata km mtu kakunyima kusud ila ataitoa huko iliko na atakupa
 
Back
Top Bottom