Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hajui dhambi zake au anatuzuga kuwa kura za wananchi ndio zitaamua mshindi na sio kwa goli la mkono?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngamia ameisha jielekeza kibra bado kumchinja tu, Hongera Tundu antipas lissu umemyoosha huyu doctor uchwara
Utamuombea 'yesu'?Halafu siku hizi hasemi tena tumuombee. Nadhani huu ni wakati ambao wanamuombea wanatakiwa kuzidisha maombi.
Alijiaminisha kuwa ikifika 2020 uchaguzi atauweka mfukoni hivyo hatahitaji kura za watu ila sasa akili imemkaa sawa.Kama huyu wala hatuna huruma nae maaana alishasahau kuwa amekaa hapo kwa sababu na kwa ajili wananchi
Hidde Agenda mbuzi streetuyo jamaa mwenye daftari kama vile anafatilia pindi la Hidden kumbe anabeti
[emoji15]Kauli ya kawaida sana kuomba kura kwa wananchi. Magufuli ni mnyenyekevu sana.
Hahahahah!! Watu mna hasira kali sana!Nyoooookoooooliiiiiloooooo
Damu ya mtu hunuka“Baba wa Taifa Mwl.Nyerere mlimpa miaka 27, akaja Mwinyi mkampa miaka 10, akaja Mzee Mkapa (Mungu amlaze mahali pema) mkampa miaka 10, amekuja Kikwete mkampa miaka 10, Mimi nina dhambi gani mnataka mnipe miaka 5 tu!?, nawaomba nipeni miaka mingine 5 zaidi”-JPM
Anaomba hurumaPumzi imeanza kukata, tumuombee
Anajifananisha na watangulizi wake ambao hamna hata mmoja wao walipotawala wapinzani walipigwa malisasi!! Ni katika utawala wake mpinzani wake alipigwa risasi 16 na akapona na waliohusika hawajakamatwa mpaka hivi sasa. Utawala wake mbovu ni sababu tosha ya kumtosa!!Mbona kwa baba wa Taifa hakumuombea alale mahala pema.pia kamuombea Mkapa tu!
Magufuli hana na wala hajawahi kuwa na sifa za kumfananisha na Yesu sana sana tunaweza kumfananisha na Baraba yule aliyekuwa released from jail instead of Jesus the NazarethUtamuombea 'yesu'?
Acha sigara kali,itakuangamiza“Baba wa Taifa Mwl.Nyerere mlimpa miaka 27, akaja Mwinyi mkampa miaka 10, akaja Mzee Mkapa (Mungu amlaze mahali pema) mkampa miaka 10, amekuja Kikwete mkampa miaka 10, Mimi nina dhambi gani mnataka mnipe miaka 5 tu!?, nawaomba nipeni miaka mingine 5 zaidi”-JPM