Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kilaza kama wewe utamfundisha nini Lissu aliyeshika bunge zima.Lisu mpaka tukamfundisha cha kuongea
Mwanzo ilikuwa habari ya risasi tum
Tukamwambia waambie watu utafanya nini sio habari za Risasi kutwa kucha
Ndio akabadilika
“Baba wa Taifa Mwl.Nyerere mlimpa miaka 27, akaja Mwinyi mkampa miaka 10, akaja Mzee Mkapa (Mungu amlaze mahali pema) mkampa miaka 10, amekuja Kikwete mkampa miaka 10, Mimi nina dhambi gani mnataka mnipe miaka 5 tu!?, nawaomba nipeni miaka mingine 5 zaidi”-JPM
Kauli ya kawaida sana kuomba kura kwa wananchi. Magufuli ni mnyenyekevu sana.
Hiyo kauli ina harufu ya woga na kukata tamaa. Ukishaanza kuhoji 'kwanini Mimi?' ujue kimbunga ni kikali unatamani kingewasomba waliotangulia siyo wewe.
Duu! Yaani CCM mpaka leo hamjamwambia mgombea wenu dhambi zake ni zipi? Pengine ndio maana hajaanza kuziungama kwa kutojua dhambi zake, Lakini pamoja na dhambi nyingine nyingi kubwa kuliko zote ni kujali na kuabudu maendeleo ya vitu visivyo hai huku akikandamiza na kupuuza vilivyo na uhai! Kupuuza maendeleo ya watu hapa lazima akubali gharama zake! Na asipoungama na kujirekebisha mauti yake kisiasa yako hapo! Hao wote aliowataja walijali maisha na maendeleo ya watu na sio vitu!
Magufuli ni kweli na muwazi pia ni msikivu sana kwa mambo ya msingi
Bora apumzike tumechoka ...ahaaaaaaaa bwana jpm kaa pembeni tumechoka
Akae pembeni huyo babu.Nimemwona leo Bariadi nyumbani akiomba kura kwa huruma sana nadhani amegundua kitu kwamba unyenyekevu huzidi nguvu.
kilaza kama wewe utamfundisha nini Lissu aliyeshika bunge zima.
Kama mnyenyekevu mbona hakuomba radhi Kimara kavunja nyumba afu barabara alizoahidi mradi kasitishaKauli ya kawaida sana kuomba kura kwa wananchi. Magufuli ni mnyenyekevu sana.
Kama mnyenyekevu mbona hakuomba radhi Kimara kavunja nyumba afu barabara alizoahidi mradi kasitisha
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Wazee wa mikeka hao
Magufuli ni kweli na muwazi pia ni msikivu sana kwa mambo ya msingi
Hivi Magufuli anshindwa nini kubadilisha gia angani akaja na hoja ya kujenga miundombinu ya umwagiliaji kwa wananchi, maji kwa wote, umeme kila kitongoji, masoko ya mazao na viwanda vya kusindika mazao, nyasi za bandia viwanja vyote vya michezo kila mkoa, trecta kila Kijiji? Naona Bado kakomaa na kuongeza ndege.
Mjaasili haachi asiliAnaongea kwa unyenyekevu sana. Naamini hata kipindi kijacho atabadilika na kuwa msikivu. Kuna kitu amejifunza
Tumwombee ikate mazima,ili za wengine zifunguke.Si kwa maisha haya.Pumzi imeanza kukata, tumuombee
MuuajiKauli ya kawaida sana kuomba kura kwa wananchi. Magufuli ni mnyenyekevu sana.