Nazani mwenyewe ameshaona upepo umebadilika isipokua waliopo karibu nae ndio walio mponza make walimuaminisha watz wote wanamkubali naukwelihuo ni uongo watu wamechoka miaka 5 inatosha ngoja tubadili muelekeo ili angalau tupate kula Milo mitatu kwa siku