ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Kawaulize wenye mashangazi wao. Anza na PMMagufuli ni mnyenyekevu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaulize wenye mashangazi wao. Anza na PMMagufuli ni mnyenyekevu sana.
Huyo lugola ni mpuuzi tu
Umejibu vizuri na huo ndio uhalisiaKisaikolojia sio kauli nzuri katika ushindani. Ameshaona uhalisia watu wamechokwa naye miaka mitano hii. Hata kama waliotangulia walipewa 10, sio lazima na wewe upewe 10.
Njaa mbaya sana, mwenye njaa hufikiri kwa kutumia tumbo.Huyo lugola ni mpuuzi tu
Kama wajumbe😀😀😀
Anapenda kuona ndege tuHivi Magufuli anshindwa nini kubadilisha gia angani akaja na hoja ya kujenga miundombinu ya umwagiliaji kwa wananchi, maji kwa wote, umeme kila kitongoji, masoko ya mazao na viwanda vya kusindika mazao, nyasi za bandia viwanja vyote vya michezo kila mkoa, trecta kila Kijiji? Naona Bado kakomaa na kuongeza ndege.
“Baba wa Taifa Mwl.Nyerere mlimpa miaka 27, akaja Mwinyi mkampa miaka 10, akaja Mzee Mkapa (Mungu amlaze mahali pema) mkampa miaka 10, amekuja Kikwete mkampa miaka 10, Mimi nina dhambi gani mnataka mnipe miaka 5 tu!?, nawaomba nipeni miaka mingine 5 zaidi”-JPM
Anaongea kwa unyenyekevu sana. Naamini hata kipindi kijacho atabadilika na kuwa msikivu. Kuna kitu amejifunzaKauli ya kawaida sana kuomba kura kwa wananchi. Magufuli ni mnyenyekevu sana.
Sasa hivi ametulia na anaongea kwa kujiamini kadri siku zinavyosongaMagufuli hata hajui anachoongea ni nini, linalomjia kichwani analitoa hilo hilo, maneno yake si ya kuyaweka kichwani au kuyatilia mkazo.
Kura yake aliyojipigia ikamwondoa kwenye kinyanganyiroHuyo lugola ni mpuuzi tu
Hahaha tume na vyombo vya ulinzi amwachie nani?
Wasiwasi itamuua.
Huyu ndio mnyenyekevu? Au huelewi maana ya hilo neno unyenyekevu?Kauli ya kawaida sana kuomba kura kwa wananchi. Magufuli ni mnyenyekevu sana.
“Baba wa Taifa Mwl.Nyerere mlimpa miaka 27, akaja Mwinyi mkampa miaka 10, akaja Mzee Mkapa (Mungu amlaze mahali pema) mkampa miaka 10, amekuja Kikwete mkampa miaka 10, Mimi nina dhambi gani mnataka mnipe miaka 5 tu!?, nawaomba nipeni miaka mingine 5 zaidi”-JPM
Huu ndio kukata tamaa,Magufuli anachanja mbuga nyinyi mnachana key boards #AIBUUUU!“Baba wa Taifa Mwl.Nyerere mlimpa miaka 27, akaja Mwinyi mkampa miaka 10, akaja Mzee Mkapa (Mungu amlaze mahali pema) mkampa miaka 10, amekuja Kikwete mkampa miaka 10, Mimi nina dhambi gani mnataka mnipe miaka 5 tu!?, nawaomba nipeni miaka mingine 5 zaidi”-JPM
Halafu namba moja wetu ataenda kuwaomba kura akiwa na sura ipi?
hivi anahusikaje Na Maiti Hizo?Nikikumbuka maiti za kwenye viroba, acha tu