Uchaguzi 2020 Kauli hii ya Magufuli ya kuongezewa miaka 5 inaashiria kakata tamaa?

Kama huyu wala hatuna huruma nae maaana alishasahau kuwa amekaa hapo kwa sababu na kwa ajili wananchi
Alijiaminisha kuwa ikifika 2020 uchaguzi atauweka mfukoni hivyo hatahitaji kura za watu ila sasa akili imemkaa sawa.

Kile kiburi na jeuri aliyokuwa nayo, usingeamini kama atakuwa 'mdogo' hivi leo, na Lissu atamnyoosha kweli kweli.
 
Mbona kwa baba wa Taifa hakumuombea alale mahala pema.pia kamuombea Mkapa tu!
Anajifananisha na watangulizi wake ambao hamna hata mmoja wao walipotawala wapinzani walipigwa malisasi!! Ni katika utawala wake mpinzani wake alipigwa risasi 16 na akapona na waliohusika hawajakamatwa mpaka hivi sasa. Utawala wake mbovu ni sababu tosha ya kumtosa!!
 
Hivi Magufuli anshindwa nini kubadilisha gia angani akaja na hoja ya kujenga miundombinu ya umwagiliaji kwa wananchi, maji kwa wote, umeme kila kitongoji, masoko ya mazao na viwanda vya kusindika mazao, nyasi za bandia viwanja vyote vya michezo kila mkoa, trecta kila Kijiji? Naona Bado kakomaa na kuongeza ndege.
 
Acha sigara kali,itakuangamiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…