hivi anahusikaje Na Maiti Hizo?
Si Ndo Unisaidie, Sijui Nimeuliza Au Nimepigia Jibu Mstari!!Unauliza au unapigia jibu mstari?
Si Ndo Unisaidie, Sijui Nimeuliza Au Nimepigia Jibu Mstari!!
Uliza kwanza wakubwa wako wanaojua historia ya siasaAnajifananisha na watangulizi wake ambao hamna hata mmoja wao walipotawala wapinzani walipigwa malisasi!! Ni katika utawala wake mpinzani wake alipigwa risasi 16 na akapona na waliohusika hawajakamatwa mpaka hivi sasa. Utawala wake mbovu ni sababu tosha ya kumtosa!!
Hivi Magufuli anshindwa nini kubadilisha gia angani akaja na hoja ya kujenga miundombinu ya umwagiliaji kwa wananchi, maji kwa wote, umeme kila kitongoji, masoko ya mazao na viwanda vya kusindika mazao, nyasi za bandia viwanja vyote vya michezo kila mkoa, trecta kila Kijiji? Naona Bado kakomaa na kuongeza ndege.
Kweli mnachanja mbuga mmeishiwa kweli , hamna Cha kusema mtasema nini ?Tupo Bunda tunachanja mbuga
Hahaha mi ccm imechanjwa chanjo ya ujinga.
Jamhuri ya kidemokrasia ya Burundi kwa Ndugu zakeatafute nchi ya kukimbilia
Kashaona hapa kuchomoka ni ngoma. Huo ujumbe haujatumwa kwa Wananchi bali kwa vyombo vikubwa a.k.a vyomba vya dola. Nec, polisi, Jeshi, na wale wa vipepeo“Baba wa Taifa Mwl.Nyerere mlimpa miaka 27, akaja Mwinyi mkampa miaka 10, akaja Mzee Mkapa (Mungu amlaze mahali pema) mkampa miaka 10, amekuja Kikwete mkampa miaka 10, Mimi nina dhambi gani mnataka mnipe miaka 5 tu!?, nawaomba nipeni miaka mingine 5 zaidi”-JPM
Tumuombee ikate haraka zaidi. Kama vipi aahirishe uchaguzi pesa zikaende kwenye Bima za afya.Pumzi imeanza kukata, tumuombee
Kabisa yaani na bado atalia lia tu. Ndio kwanza wiki ya pili. Huyu atamaliza kweli wiki nne??Tena ashukuru tuko kwenye nchi hizi ambazo watu wasiojielewa ni wengi,watu wanaodhani kua mnyonge na maskini ni ufahari na kua maskini ni haki yake Mungu alivyompangia.Vinginevyo ata miwili asingemaliza angeshaku mstaafu ndo maana ata ywye mwenyewe anajua kaparfom chini ya viwango vya watangulizi wake.
Tume yenyewe imeahaanza kuogopa Magufuli naye jamani ana roho lazima pia aogope.Hahaha tume na vyombo vya ulinzi amwachie nani?
Wasiwasi itamuua.