Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
5Ana goli ngapi
Umepigwa wapi?Skudu hapa tumepigwa
Asante sana Mkuu.You'll Never walk alone hayakutolewa na Msemaji wa Liverpool.
The theatre of Dreams hayakutolewa na Msemaji wa Man U.
#IMEPITA
Sio hivo tu Ka Skudu Kamekaaa ki HolanziHolanzi tena😁Skudu ana vibe flani hiviiiii. Amekaa kifuraha furaha tu.
Namkubali sana, na kauli mbiu yake imepita.
Sikusoma Username yako samahan sana.ulifeli chekechea?
Bado nakuuliza ulifeli chekechea?Sikusoma Username yako samahan sana.
Labda 5-0
Bila kusahau YOU WILL NEVER WALK ALONEKauli hizi ni mhimu sana...kwa mashabiki kote Duniani Mkuu
Manchester United kuna kauli wanazo ukizisikiliza mzee zinavutia sana mashabiki wanapata Matumaini hata kama Team yao haifanyi vizuri.
Mfano wanazo zifuatazo.
MANCHESTER IS MY RELIGION
MANCHESTER IS MY HEAVEN
GLORY GLORY MAN U
THERE'S NOTHING ON EARTH LIKE BEING A RED
WE WILL NEVER DIE
Hizi ni moja wapo tu na zilitolewa na watu wakubwa pale kama wachezaji na makocha na zinaishi hadi leo na Mashabiki hua wanazitumia sana na Ni kali mnoo.
Hivi klabu kubwa zina msemaji wa timu? Sijawahi kusikia msemaji wa real madrid au msemaji wa manchester unitedYou'll Never walk alone hayakutolewa na Msemaji wa Liverpool.
The theatre of Dreams hayakutolewa na Msemaji wa Man U.
Mwelezeeee uto uyoThe blood is Red and it is life
Timu nyingi Mameneja ndo Wasemaji wa timu. Huku kwetu waandishi wa habari ndo Wasemaji wa timu.Hivi klabu kubwa zina msemaji wa timu? Sijawahi kusikia msemaji wa real madrid au msemaji wa manchester united
😳😳😳😳Shindwaaaaa!
Ngoja ikae wasapu kwangu kabisa maana nilikuaga nimekosa cha kusapoti picha ya Max zingeliKuna video moja Skudu Kijana ya Amapiano kutoka kwa Mzee Mandela.
Ametoa Kauli ambayo sisi kama Mashabiki wa Yanga Tumeikubali na Tumeipitisha.
#The SUN is YELLOW....The LAND is GREEN...The colors of the Universe!
#Hii Imeenda
View attachment 2822219
Uzi umeufunga kibabe sanaThe blood is Red and it is life
About ya MwakaNgoja ikae wasapu kwangu kabisa maana nilikuaga nimekosa cha kusapoti picha ya Max zingeli
Kashikwe Tako na Mo kwenye JeziHuyo atakua ni color blindness
Jua halijawahi kuwa la njano msikubali kuingizwa chaka na Mzulu
Amefungua uzi wakat una comment uzi upo page ya 3?Uzi umeufunga kibabe sana