Kauli mbiu ya Simba "Hatukamatiki, Hatushikiki" haina uhalisia kabisa, bora "Byuti Byuti," Yanga waliona mbali sana

Kauli mbiu ya Simba "Hatukamatiki, Hatushikiki" haina uhalisia kabisa, bora "Byuti Byuti," Yanga waliona mbali sana

APPROXIMATELY

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2021
Posts
2,035
Reaction score
2,715
Kauli mbiu lazima ibebe uhalisia,huwezi kusema hatukamatiki wala hatushikiki kwa team gani uliyonayo? huwezi tukana mamba ukavuka mto, babra kinacho muumiza sasa ni hizo kauli mbiu zisizo na uhalisia, sasa simba hawamtaki hata yeye, mwaka huu mpaka moo hawatamtaki viongozi hawako serious kabisa wachezaji wanzuri wameshinda kusajili wa kina adebayor, manzoki simba hawana kiungo mkabaji.

Simba inashangaza una muacha zolani una mchukua mgunda sasa simba inaposema ni team kubwa haina uhalisia kumbakisha zolani wameshindwa wana baki kusingizia tumefikia maumuzi ya pande zote mbili, hawaamini macho yao sasa simba hawaamini kweli wawe wana angalia hizo kauli zao wanazotoa maana zina waibisha wawo wenyewe.

Simba ikipoteza na nyasa big bullet hapata kalika msimbazi, Mungu naomba simba ishinde.simba kumuacha morrison walikosea sana, hahahaha mgunda anakaa benchi matola anapanga kikosi jamani jamani mbona tutaona mengi sana.
 
Kwani mpaka sasa mmeshatukamata?.
Byuti byuti ndo nini mpk watopolo wengi hasa wanaume hawaipendelei haaahhah
 
Unaongelea zolani gani ww ?

Kama ni kocha wa simba anaitwa zoran mak
Kama ni ile team inayokuja kucheza na yanga inaitwa zalan fc.

Jifunze kwanza kuandika vizuri kabla hajakosoa mtu au kitu utopolo kweli shule hamna ukitaka kujua hilo angalia waanzisha nyuzi za utopolo na wa mnyama utaona tofauti yao.
 
Unaongelea zolani gani ww ?

Kama ni kocha wa simba anaitwa zoran mak
Kama ni ile team inayokuja kucheza na yanga inaitwa zalan fc.

Jifunze kwanza kuandika vizuri kabla hajakosoa mtu au kitu utopolo kweli shule hamna ukitaka kujua hilo angalia waanzisha nyuzi za utopolo na wa mnyama utaona tofauti yao.
Nyie simba kilicho baki sasa ni kukosoa tu,labda nikuambie wewe uliyesoma mpaka sasa unakipi unachoringia???kwanza elimu yako haijakufaidisha,unafanya kazi za watu,mshahara mdogo,mpaka sasa unaishi nyumba ya kupanga kwelii au uongo??mimi sijasoma kweli ila ninavyomiliki labda mjukuu wako ndio atakujakuvimiliki sio wewe kapuku,kazi kuangalia mapungufu yamtu acha ushamba wasomi hawaishi hivyo
 
Back
Top Bottom