zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
πUtanenepaje sasa ukila kidogo tu anakuja mtu mikelele kibao
Mikelele kumbe inamzuia mtu kunenepa
πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πUtanenepaje sasa ukila kidogo tu anakuja mtu mikelele kibao
Sasa ulikuwa hujuiπ
Mikelele kumbe inamzuia mtu kunenepa
πππ
Kuandika tu hujui unamiliki nini si itakua hata hvyo vitu ameandikwa mtu mwingine ila hujui jamii forum hapa ni kawaida kila mtu anasema ana kazi na anamiliki gari ila kule jukwaa la ajira na kazi walikuwa wanaomba ufafanuzi wa kuomba sensa na utumishi account zao zinazingua subirini muende airport mkawapokee big bullet ndo maana manara alisema yanga wenye akili ni wawili tu.Nyie simba kilicho baki sasa ni kukosoa tu,labda nikuambie wewe uliyesoma mpaka sasa unakipi unachoringia???kwanza elimu yako haijakufaidisha,unafanya kazi za watu,mshahara mdogo,mpaka sasa unaishi nyumba ya kupanga kwelii au uongo??mimi sijasoma kweli ila ninavyomiliki labda mjukuu wako ndio atakujakuvimiliki sio wewe kapuku,kazi kuangalia mapungufu yamtu acha ushamba wasomi hawaishi hivyo
Yaani Mgunda kaacha ukocha Coastal kwenda kuwa mpanga koni.Kauli mbiu lazima ibebe uhalisia,huwezi kusema hatukamatiki wala hatushikiki kwa team gani uliyonayo? huwezi tukana mamba ukavuka mto, babra kinacho muumiza sasa ni hizo kauli mbiu zisizo na uhalisia, sasa simba hawamtaki hata yeye, mwaka huu mpaka moo hawatamtaki viongozi hawako serious kabisa wachezaji wanzuri wameshinda kusajili wa kina adebayor, manzoki simba hawana kiungo mkabaji.
Simba inashangaza una muacha zolani una mchukua mgunda sasa simba inaposema ni team kubwa haina uhalisia kumbakisha zolani wameshindwa wana baki kusingizia tumefikia maumuzi ya pande zote mbili, hawaamini macho yao sasa simba hawaamini kweli wawe wana angalia hizo kauli zao wanazotoa maana zina waibisha wawo wenyewe.
Simba ikipoteza na nyasa big bullet hapata kalika msimbazi, Mungu naomba simba ishinde.simba kumuacha morrison walikosea sana, hahahaha mgunda anakaa benchi matola anapanga kikosi jamani jamani mbona tutaona mengi sana.
Waaapi Manarando maana manara alisema yanga wenye akili ni wawili tu.
Duuuuh hii sio poa una uhakika mkuu?Yaani Mgunda kaacha ukocha Coastal kwenda kuwa mpanga koni.
Hahaha nicheke kidogo,wewe nakuita tena wewe:hiyo elimu uliyonayo ni ipi??ya chuo mhh mbona siku hizi kuna vyuo vingi hata chuo cha unafiki na uongo pia ni chuo;au labda nikueleweshe una degree ya nini??alafu una ngapi??mbona unamawazo madogo sana,inaonyesha jinsi unavyoshindwa kutumia kichwa chako vinzuri kufikiria,hauna elimu yeyote alafu sasa hivi wanaograduate ni wengi hata darasa la saba sasa hivi wanagraduate.Kuandika tu hujui unamiliki nini si itakua hata hvyo vitu ameandikwa mtu mwingine ila hujui jamii forum hapa ni kawaida kila mtu anasema ana kazi na anamiliki gari ila kule jukwaa la ajira na kazi walikuwa wanaomba ufafanuzi wa kuomba sensa na utumishi account zao zinazingua subirini muende airport mkawapokee big bullet ndo maana manara alisema yanga wenye akili ni wawili tu.
Simba wenye akili ni wangapi???πππWaaapi Manara
πππ
πππSimba wenye akili ni wangapi???πππ
Mgunda kocha wa mpito,jamani jamani akili ya mavi kuita cakeπ¦πππ
Mimi simo mkuu labda tuwaulize wengine watajibu Barbara Gonzalez mama wa kuupiga mwingi
π
Ngoja wajeMgunda kocha wa mpito,jamani jamani akili ya mavi kuita cakeπ¦
Table inaonyesha point sawa kuanzia aliyepo nafasi ya kwanza mpaka watatu wote wanapoint sabaKwani mpaka sasa mmeshatukamata?.
Byuti byuti ndo nini mpk watopolo wengi hasa wanaume hawaipendelei haaahhah
SawaTable inaonyesha point sawa kuanzia aliyepo nafasi ya kwanza mpaka watatu wote wanapoint saba
Ndiyo, maana mwenye nguvu hapo ni huyo Selemani, yeye ni kushika kitambitu. Atapangishwa koni na Selemani mpaka basi.Duuuuh hii sio poa una uhakika mkuu?
πππ
Sasa ametukamata bado ametushikia hapo ww utopolo? We are UnstoppableSi ni juzi tu hapo kwa mkapa Mayele aliwakamata, au tayari mmesahau?
Hamnaga kumbukumbu kabisa nyie makolo!
Furahini sasa maana hamna mda mwingi kuwa juu ,tumewapa hiyo nafasi mtushikie kwa mdaSasa ametukamata bado ametushikia hapo ww utopolo? We are Unstoppable
Na sisi tunataka hivyo mchukue kombe tena maana ikiwa hamtalishika tena tutaumia sanaaaFurahini sasa maana hamna mda mwingi kuwa juu ,tumewapa hiyo nafasi mtushikie kwa mda
Nyie wenyewe unajua yanga wana timu boraNa sisi tunataka hivyo mchukue kombe tena maana ikiwa hamtalishika tena tutaumia sanaaa
Kukukamata wp? Na hizo sare za kmc[emoji1787]Kwani mpaka sasa mmeshatukamata?.
Byuti byuti ndo nini mpk watopolo wengi hasa wanaume hawaipendelei haaahhah