Kauli mbiu ya Simba "Hatukamatiki, Hatushikiki" haina uhalisia kabisa, bora "Byuti Byuti," Yanga waliona mbali sana

Kauli mbiu ya Simba "Hatukamatiki, Hatushikiki" haina uhalisia kabisa, bora "Byuti Byuti," Yanga waliona mbali sana

Hahaha nicheke kidogo,wewe nakuita tena wewe:hiyo elimu uliyonayo ni ipi??ya chuo mhh mbona siku hizi kuna vyuo vingi hata chuo cha unafiki na uongo pia ni chuo;au labda nikueleweshe una degree ya nini??alafu una ngapi??mbona unamawazo madogo sana,inaonyesha jinsi unavyoshindwa kutumia kichwa chako vinzuri kufikiria,hauna elimu yeyote alafu sasa hivi wanaograduate ni wengi hata darasa la saba sasa hivi wanagraduate.


Unaambiwa soma ili uweze kuendana na mazingira ya sasa,tumia kichwa chako kinzuri kufikiri, ni kawaida hapa jamii forum mtu kusema amesoma kumbe haja soma.acha shobo,acha ushamba ulumbukeni umekujaa elimu uwe nayo wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani mimi nimesema nina degree mi nilishia la saba ila uelewa wangu nakuzidi ww mbumbu wa jangwani mwenye degree fake kwani si hata mwigulu nchemba ana PHD kwa hyo hapo hakuna maajabu kwanza jifunze nilivyokwambia hapa jf sio Facebook mi kazi yangu kuwaweka sawa maboya kama nyinyi ambao hamjielewi kuna mwenzako aliandika uzi wa kitoto nikamchana ville aliandika kama hivi :–

Xaxa cna mda wa kubembelexa m2 kwenye maixa yangu akitak axepe 2

Mi nikamchana nikamwambia wanaume hatupo hvyo japo alimaindi ila ujumbe nimeshafikisha.
 
Nyie wenyewe unajua yanga wana timu bora
Endeleeni kujipa moyo na hiyo timu yenu wachezaji kweli mnao wa kila aina mshindwe wenyewe tuu. Ahahahahaha
Screenshot_20220908-140043_Google.jpg
 
Unaongelea zolani gani ww ?

Kama ni kocha wa simba anaitwa zoran mak
Kama ni ile team inayokuja kucheza na yanga inaitwa zalan fc.

Jifunze kwanza kuandika vizuri kabla hajakosoa mtu au kitu utopolo kweli shule hamna ukitaka kujua hilo angalia waanzisha nyuzi za utopolo na wa mnyama utaona tofauti yao.
Kuna utofauti mkubwa sana aisee
 
Back
Top Bottom