APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
- Thread starter
- #41
Hawajielewi usibishane na waleviKukukamata wp? Na hizo sare za kmc[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajielewi usibishane na waleviKukukamata wp? Na hizo sare za kmc[emoji1787]
Kwani mimi nimesema nina degree mi nilishia la saba ila uelewa wangu nakuzidi ww mbumbu wa jangwani mwenye degree fake kwani si hata mwigulu nchemba ana PHD kwa hyo hapo hakuna maajabu kwanza jifunze nilivyokwambia hapa jf sio Facebook mi kazi yangu kuwaweka sawa maboya kama nyinyi ambao hamjielewi kuna mwenzako aliandika uzi wa kitoto nikamchana ville aliandika kama hivi :–Hahaha nicheke kidogo,wewe nakuita tena wewe:hiyo elimu uliyonayo ni ipi??ya chuo mhh mbona siku hizi kuna vyuo vingi hata chuo cha unafiki na uongo pia ni chuo;au labda nikueleweshe una degree ya nini??alafu una ngapi??mbona unamawazo madogo sana,inaonyesha jinsi unavyoshindwa kutumia kichwa chako vinzuri kufikiria,hauna elimu yeyote alafu sasa hivi wanaograduate ni wengi hata darasa la saba sasa hivi wanagraduate.
Unaambiwa soma ili uweze kuendana na mazingira ya sasa,tumia kichwa chako kinzuri kufikiri, ni kawaida hapa jamii forum mtu kusema amesoma kumbe haja soma.acha shobo,acha ushamba ulumbukeni umekujaa elimu uwe nayo wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Endeleeni kujipa moyo na hiyo timu yenu wachezaji kweli mnao wa kila aina mshindwe wenyewe tuu. AhahahahahaNyie wenyewe unajua yanga wana timu bora
Sisi tukiwa walevi wewe ni pombe kabisa.Hawajielewi usibishane na walevi
Guardiola mneneMgunda kocha wa mpito,jamani jamani akili ya mavi kuita cake[emoji881]
Sijawahi kuona neno lina jinsiaByuti byuti neno limekaa kikike kike
Kuna utofauti mkubwa sana aiseeUnaongelea zolani gani ww ?
Kama ni kocha wa simba anaitwa zoran mak
Kama ni ile team inayokuja kucheza na yanga inaitwa zalan fc.
Jifunze kwanza kuandika vizuri kabla hajakosoa mtu au kitu utopolo kweli shule hamna ukitaka kujua hilo angalia waanzisha nyuzi za utopolo na wa mnyama utaona tofauti yao.
Tuambie sasa (utajiju) kama hatujaanza kukukwepaSijawahi kuona neno lina jinsia
Uwa wanajizimisha data hao mkuuSi ni juzi tu hapo kwa mkapa Mayele aliwakamata, au tayari mmesahau?
Hamnaga kumbukumbu kabisa nyie makolo!