Kauli mbiu ya Simba "Hatukamatiki, Hatushikiki" haina uhalisia kabisa, bora "Byuti Byuti," Yanga waliona mbali sana

Kuandika tu hujui unamiliki nini si itakua hata hvyo vitu ameandikwa mtu mwingine ila hujui jamii forum hapa ni kawaida kila mtu anasema ana kazi na anamiliki gari ila kule jukwaa la ajira na kazi walikuwa wanaomba ufafanuzi wa kuomba sensa na utumishi account zao zinazingua subirini muende airport mkawapokee big bullet ndo maana manara alisema yanga wenye akili ni wawili tu.
 
Yaani Mgunda kaacha ukocha Coastal kwenda kuwa mpanga koni.
 
Hahaha nicheke kidogo,wewe nakuita tena wewe:hiyo elimu uliyonayo ni ipi??ya chuo mhh mbona siku hizi kuna vyuo vingi hata chuo cha unafiki na uongo pia ni chuo;au labda nikueleweshe una degree ya nini??alafu una ngapi??mbona unamawazo madogo sana,inaonyesha jinsi unavyoshindwa kutumia kichwa chako vinzuri kufikiria,hauna elimu yeyote alafu sasa hivi wanaograduate ni wengi hata darasa la saba sasa hivi wanagraduate.


Unaambiwa soma ili uweze kuendana na mazingira ya sasa,tumia kichwa chako kinzuri kufikiri, ni kawaida hapa jamii forum mtu kusema amesoma kumbe haja soma.acha shobo,acha ushamba ulumbukeni umekujaa elimu uwe nayo wewe 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…