Kauli mbiu ya Simba "Hatukamatiki, Hatushikiki" haina uhalisia kabisa, bora "Byuti Byuti," Yanga waliona mbali sana

Kwani mimi nimesema nina degree mi nilishia la saba ila uelewa wangu nakuzidi ww mbumbu wa jangwani mwenye degree fake kwani si hata mwigulu nchemba ana PHD kwa hyo hapo hakuna maajabu kwanza jifunze nilivyokwambia hapa jf sio Facebook mi kazi yangu kuwaweka sawa maboya kama nyinyi ambao hamjielewi kuna mwenzako aliandika uzi wa kitoto nikamchana ville aliandika kama hivi :–

Xaxa cna mda wa kubembelexa m2 kwenye maixa yangu akitak axepe 2

Mi nikamchana nikamwambia wanaume hatupo hvyo japo alimaindi ila ujumbe nimeshafikisha.
 
Kuna utofauti mkubwa sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…