Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baki na mavi yako nyumbani - John Pombe Magufuli, akiwa Magufuli Bus Terminal1. Mungu kaamua ugomvi
2. Watu wazuri hawafi
3. Keshaanza kuoza.
Naona kama vile kauli hizi zitatutesa sana kwenye umoja wetu kama taifa huko tuendako.
PoleniHizi kauli za upande mmoja
Acheni chuki za hivyo, mbona wanajifanya wao ndio wacha mungu kuliko wengine, halafu wanakula nyama za watu?
Yemwe tataweHizo zilikuwa kauli chafu za kukosa utu
PoleniBaki na mavi yako nyumbani
Muogopeni MunguPoleni
Siasa za nchi zetu ni Uadui, hata wakisema sijui tuache Itikadi ujue unawekwa mstari kama Gadhaf, chuki ipo palepale.1. Mungu kaamua ugomvi
2. Watu wazuri hawafi
3. Keshaanza kuoza.
Naona kama vile kauli hizi zitatutesa sana kwenye umoja wetu kama taifa huko tuendako.
We Mzee unazeeka vibaya hiyo kauli Mama Samia aliisahisha hapo hapo juu na kumuombea radhi Makamba mbona mnakuza mambo.1. Mungu kaamua ugomvi
2. Watu wazuri hawafi
3. Keshaanza kuoza.
Naona kama vile kauli hizi zitatutesa sana kwenye umoja wetu kama taifa huko tuendako.
Kila mtu ana imani yake, kuna wale hawatubu kosa ila kwa kuombewa, na wapo wengine hutubu kwa kauli na ndimi zao wenyewe wakasamehewa lakini bado wakarudia yale yale.We Mzee unazeeka vibaya hiyo kauli Mama Samia aliisahisha hapo hapo juu na kumuombea radhi Makamba mbona mnakuza mambo.
Kingine hiyo kauli ya Makamba alimwambia pia Samia kuwa hata yeye akifa atakuja Rais mwingine.... I wonder why inaonekana kama imelenga upande mmoja pekee!!
Cha ajabu kipindi JPM anapambania uhai wake wewe ulikua unakataa unasema yupo kwenye mfungo wa maombi. Yaani ulijua kabisa unadanganya alafu baada ya kifo ndio unajifanya una uchungu naye sana kwa kurudia maneno ya chuki yaliyokwisha ombewa radhi na Rais!!
Aisee
Umesahau1. Mungu kaamua ugomvi
2. Watu wazuri hawafi
3. Keshaanza kuoza.
Naona kama vile kauli hizi zitatutesa sana kwenye umoja wetu kama taifa huko tuendako.
Na kama kuna funzo lolote tunaloweza kujikumbusha juu yake kuhusu haya uliyoandika hapa ni kutazama tulikoanzia toka wakati ule tunapata uhuru wetu.1. Mungu kaamua ugomvi
2. Watu wazuri hawafi
3. Keshaanza kuoza.
Naona kama vile kauli hizi zitatutesa sana kwenye umoja wetu kama taifa huko tuendako.