Kauli tatu za ajabu sana Tanzania kuhusu vifo vya viongozi

Kauli tatu za ajabu sana Tanzania kuhusu vifo vya viongozi

Ukweli ni kwamba tumekuwa na siasa za vyama vingi rasmi kuanzia 1992 lakini hapakuwa na uhasama wa aina hii hadi 2015 awamu ya 5 ilipoingia madarakani.
Tuwe wakweli, baada ya Magufuli kuingia madarakani chuki, wivu, uhasama na visasi vikachukua nafasi na yote hayo yakipata baraka zake mwenyewe ndio maana hakukemea.
Vifo vya ajabu, kushambuliana na kutekana kukachukua nafasi. Mbaya ni kuwa wapambe wake wakawa na kauli za kusapoti na kukejeli bila woga.
Baada ya Magufuli kufa, sio kuwa hawa waliopo kuanzia Samia ni wageni bali walikuwa naye. Hivyo kauli aliyo isema Lissu kule Katoro Geita ni ya msingi sana kuwa Rais ili alete maridhiano ya kweli (sio vyama tuu bali wato wote wenye chuki) yeye na viongozi wenzake WAWAOMBE RADHI waathirika wote na wakulaumiwa alaumiwe ili tuponye nchi.
Baada ya hayo atakaye mnenea mwingine mabaya ataonekana wa ajabu na upendo ule wa zamani wa Mke CCM na Mume Chadema na wanaishi pamoja utarudi.
Trash
 
Narudia na ntaandika tena na tena.

Usitarajie binadamu yeyote auhuzunike na kifo chako wakati ulipokuwa hai ulimtesa kumnyima haki zake za msingi na hata kujaribu kumuua.

Binadamu wa hivyo hayupo.

Hata mitume awakuwa hivyo.

Ukiwatendea watu ubaya ukifa lazima wafurahie.

Jiwe kama aliwatendea watu uovu lazima wafurahie kifo chake.

Unafkiri lissu aliyeponea chupu chupu kuuliwa atamfurahia mtesi wake?

Hapana lazima afurahi akisikia amekufa.

Hapo sijaongelea ndugu wa Ben sa nane.

Viongozi wanapaswa kuongoza kwa hekima na busara bila kusahau kufuata sheria tulizojiwekea.

Ukijiamulia wewe kama wewe na kuwaumiza wengine lazima maneno kama 'anaoza' ,'kazikwe nae' Mungu kaamulia ugomvi' yawepo tu.

Cha kujiuliza mbona Nyerere na Mkapa wamekufa lakini hawakuandamwa kwa maneno mabaya kama jiwe?
Halafu wahaha kuzungumzia kifo, ebu tuwaze, Diamond siku babaake akifa halafu ajifanye kulia, KILA MTU SI ATAMUONA MNAFIKI???
 
Baki na mavi yako nyumbani - John Pombe Magufuli, akiwa Magufuli Bus Terminal
AU KAMA HUNA MIA MBILI BASI PIGA MBIZI...!! Hivi unategemea mtu ambaye mia mbili hana kweli akuwazie nini..??? Angeweza kufikisha ujumbe huo huo bila kutumia maneno ya kuudhi..!! Huko bungeni kwenyewe wana kanuni za kukataza kutumia lugha za kuudhi..!!
 
Yupi Sasa kuwa wazi, tuweke kumbukumbu sawa?
Umeedit hadi umepoteza maana. Mtu bila kurudi nilikoandika hawezi kuelewa unachokiuliza.

BTW Diamond ana babaake ambaye yeye hamtambui. Sababu za kutomtambua anazijua Diamond mwenyewe. The same to Omy Dimpoz..!!
 
Msemaji wa Chato inaonekana hujui maana ya trash bali umeandika kwa vile wa Chato mwenzio kasemwa. Lakini ndo uhalisia..!! Hata ukate, alichokiandika bwana Chakaza ambacho wewe kwa akili yako umeona ni trash, ndo ukweli wenyewe..!!
Hizo propaganda hakuna ukweli wowote wa alichokiandika.


Chuki za mafisadi juu ya mtu mwema magufuli mnataka watanzania wote tuamini hivyo.

Nguvu kubwa sana inatumika kuharibu haiba ya Mtukufu wetu, Mwamba, Jemedali, Simba wa yuda Magufuli kwa makusudi.

Ila watz WANAELEWA That is why hata wapinzani kwa sasa wanapuuzwa..


Mfano: Tukiwa wadogo tuliambiwa idd amin alikuwa joka mla nyama za watu baada ya kukua tumejua ukweli.

So propaganda kitu hatari sana

Kasome tena maana ya "Trash" inaoneka umesoma chini ya mti wewe kayumba original
 
Wewe ni kiazi usiyejua chochote hata historia ya miaka kumi tu ya taifa lako

Unaijua chuki ya team Kikwete vs team lowassa

Unajua kwanini membe alishindwa kupenya kuwagombea wa CCM 2015

Unajua nani alimuuwa Deo Filikunjombe

Nani alimujwa Dk Mvungi

Sumu ya Kubenea

Dk wa muhimbili

Mabomu ya orasiti

Next time jaribu kuwa na akili timamu mjinga mmoja wewe

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia akili. Unadhani hayo matukio kama ya kina Ulimboka, Mvungi na Kubenea hayapo nchi zingine kama Kenya, Zambia na kwingineko? Kwa nini hizi tabia za chuki kama taifa kiasi cha kufurahia kifo cha mwingine kuwa official na kutamkwa na viongozi wa umma hadharani hazipo?
Uhalifu upo kila mahala lakini chuki za makundi alizozianzisha huyo Magufuli ndizo zile za aina ya Rwanda ambazo bila kuridhiana mtaendelea hivihivi kutakiana mabaya.
 
Tumia akili. Unadhani hayo matukio kama ya kina Ulimboka, Mvungi na Kubenea hayapo nchi zingine kama Kenya, Zambia na kwingineko? Kwa nini hizi tabia za chuki kama taifa kiasi cha kufurahia kifo cha mwingine kuwa official na kutamkwa na viongozi wa umma hadharani hazipo?
Uhalifu upo kila mahala lakini chuki za makundi alizozianzisha huyo Magufuli ndizo zile za aina ya Rwanda ambazo bila kuridhiana mtaendelea hivihivi kutakiana mabaya.
Kwa hiyo hayo matukio ya kutesa na kuua yalikuwa sawa kwa kikwete. Lakini Kwa magufuli siyo sawa ndo unachotaka kusema?
 
Ukweli ni kwamba tumekuwa na siasa za vyama vingi rasmi kuanzia 1992 lakini hapakuwa na uhasama wa aina hii hadi 2015 awamu ya 5 ilipoingia madarakani.
Tuwe wakweli, baada ya Magufuli kuingia madarakani chuki, wivu, uhasama na visasi vikachukua nafasi na yote hayo yakipata baraka zake mwenyewe ndio maana hakukemea.
Vifo vya ajabu, kushambuliana na kutekana kukachukua nafasi. Mbaya ni kuwa wapambe wake wakawa na kauli za kusapoti na kukejeli bila woga.
Baada ya Magufuli kufa, sio kuwa hawa waliopo kuanzia Samia ni wageni bali walikuwa naye. Hivyo kauli aliyo isema Lissu kule Katoro Geita ni ya msingi sana kuwa Rais ili alete maridhiano ya kweli (sio vyama tuu bali wato wote wenye chuki) yeye na viongozi wenzake WAWAOMBE RADHI waathirika wote na wakulaumiwa alaumiwe ili tuponye nchi.
Baada ya hayo atakaye mnenea mwingine mabaya ataonekana wa ajabu na upendo ule wa zamani wa Mke CCM na Mume Chadema na wanaishi pamoja utarudi.
1.Alphonse Mawazo aliuwawa awamu ipi?

Kanda wa Chadema akikimbizwa.jpg
2.Hii picha ni ya mwaka gani?

3.Mlipuko wa bomu mkutano wa CHADEMA Arusha ilikuwa lini?

4.Uchaguzi mdogo Igunga tulioshuhudia kumwagiani tindikali kwa wafuasi wa vyama ilikuwa lini?

Shida yenu jamaa ni unafiki na chuki binafsi tu kwa awamu ya Tano lakini chuki imekuwepo hata kabla.
 
1. Mungu kaamua ugomvi
2. Watu wazuri hawafi
3. Keshaanza kuoza.

Naona kama vile kauli hizi zitatutesa sana kwenye umoja wetu kama taifa huko tuendako.
Hizi kauli za ndani ya chama,
Sisi kama taifa tupo salama tutembee kifua mbere
 
Mungu ameamua ugomvi

Bahari imetulia

Haya yaliombwa radhi lini?

Hata hii ya wema hawafi kwa nini makamba mwenyewe hakuomba radhi kupitia media? Kwanini aombewe radhi wakati ana mdomo wa kusemea?
Tokea JPM amefariki Kulikua na kashfa nyingi sana na Mama Samia aliwahi sema aachwe apumzike.... Same to kauli ya Makamba akasema amezeeka asamehewe!! In fact Makamba naye alimwambia Samia anaweza kufa before 2025!!!

Ila cha ajabu humu msamaha umesahaulika watu Bado wanabeba maneno ya Makamba. Embu tujifunze kutokua na chuki maadam waliomba radhi then we need to move on.
 
1. Mungu kaamua ugomvi
2. Watu wazuri hawafi
3. Keshaanza kuoza.

Naona kama vile kauli hizi zitatutesa sana kwenye umoja wetu kama taifa huko tuendako.
Mambo ya kijinga, kishenzi, kikatili, kibaguzi, kionevu etc, muasisi wa yote hayo ni magufuli. Umoja wa taifa hili umeathiriwa sana na magufuli.
 
Muogopeni Mungu
Mimi siko upande wowote ila nawashangaa watu kutwa kutukana wafu
Kila mmoja ajililie yeye kwani nasi ni wafu watarajiwa eti

Hao hawanihusu ila muwe na aibu basi
Haya yapo Tz tu naona
Kwani hapa nimemtukana mtu?
Sina ulimbukeni huo
 
Kirahisi tu hivyo?
Unaombewa radhi yanaisha?
Mbona Makonda alipotukana wachagga aliombewa radhi na Bashiru Ally na akasamehewa mpaka Leo. Kama mtu alishaomba radhi hakuna haja ya kuendelea kubeba bango kwa kauli za chuki na kuligawa taifa.

Mbaya zaidi Ile kauli haikumlenga JPM pekee hata Samia naye aliambiwa anaweza asifike 2025!! So tusiendeleze chuki bila sababu.
 
Makamba alionesha chuki kubwa sana siku ile hata alisahihisha sisi tunaona dhamira mbaya ya moyo wa mzee makamba

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndio maana ya msamaha, Hata Makonda aliwatukana wachagga WOTE! ila aliombewa msamaha na Bashiru mbona sijaskia wachagga wanaweka visasi Hadi Leo?!

Rais ni mkuu wa nchi so mpaka anaomba radhi inatosha kabisa watu kusamehe yote. Ingekua Mungu anaangalia dhamira zetu au uovu wetu sidhani kama dhambi zetu zingewahi samehewa hata tone.
 
Grow up mbona vitu vya kupita hivyo [emoji3062] vita tutesa wapi?
 
Back
Top Bottom