Kauli tatu za ajabu sana Tanzania kuhusu vifo vya viongozi

I'm not CCM ila msiba wa JPM ni CCM na Membe ni CCM Sasa inanihusu Nini mie muuza migebuka huku Nyarubanda?

Mna tatizo kudhani Kila anayekosoa JPM basi automatically ni team JK/Membe/Samia.
Mbona umepaniki
 
Huyo Mbunge uliyemtaja hapo ni mmoja wa watu wa hovyo kabisa wasiostahili kuwa mahali kama hapo alipo.
 
Wachapakazi huwa Wana kazi ngumu Sana
 
Wazuri Bana ndugu yangu usisahau
 
Acha kauli chafu zianikwe, vipi inakuuuma?
Rais alishaomba msamaha... Mkienda kwa staili hiyo watu wakifukua kauli za JPM kudhihaki afya ya Lowassa unadhani chuki zitaisha lini? Walikua wanasema kajinyea, mara hakuna ICU ikulu huku JPM anachekelea. Mbona mwenzie kasamehe licha ya kutokuombwa radhi ila nyie mmekalia tu kukumbushia kauli iliyokwisha futwa na Rais.
 
Nitakujibu nikirudi kutoka fainali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…