KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Umevurugwa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu haj
Hajui kitu huyu mnahangaika nae bure tu. Na hafai kusikilizwa hapa hajui anazungumzia jambo lenye sifa gan na nini aongee. Hata kama Ana PhD huyu tatizo kama hili hawez toa hoja ya kusikilizwa Kwa akili hizo kima tu huyo
Ni tatizo la dunia nzimaOke twende taratib Kwa hoja. Tatizo la ajira ni tatizo la jamii au la mtu binafsi?
Hapa Kaka tunabishana na wanasiasa so, hatuwez kufikia jibu zuri. Hawwez kuvaa uhusika. Wanalaumu wahanga wa mfumo huu mgumu... Hata nkiwapa kitabu hapa wasomi wa nchi zilizoendelea wamelizubgumziaje tatizo hili Kwa akili za hawa humu kazi buree tuWewe ndio unapotosha. Tofautisha employment opportunities na academic opportunities. Huwezi kumdhihaki mtu aliyesoma political science kisa hawezi kujiajiri, unatakiwa kujiuliza aliposoma political science alikuwa na lengo la kujiajiri au kuajiriwa?. Kama kuajiriwa achana naye. Huwezi kucheka academic opportunities kwa sababu ya employment opportunity ya plumbing.
Sizungumzii dunia mm.. We Uliwahi kusikia Wamasai kule porini au wahadzabe wanasaka ajira?. We unaona mimi sijui hiko unachokijua wewe?Ni tatizo la dunia nzima
Mnatuharibia fani Kaka. Haya mambo ya kijamii wengi hawayajui so wanaona Wana Hali ya kuongea tu sababu Wana digrii au viongozi.Umevurugwa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamasai waliosoma wahadzabe walio soma hakuna?Sizungumzii dunia mm.. We Uliwahi kusikia Wamasai kule porini au wahadzabe wanasaka ajira?. We unaona mimi sijui hiko unachokijua wewe?
Sioni sababu ya kukujibu, ni kujipotezea muda tu kukujibu mtu kama wewe mwenye ufinyu wa uelewa kiasi hiki.[emoji23][emoji23][emoji23] Kwa hiyo wanaweza kuandaa maandiko ya miradi na kuwauzia watu siyo!?.
Hujaelewa mantiki yangu. Tatizo la ajira ni tatizo la jamii za kisasa.. Industrialized communities sio hunter-gatherers wala pastoralist. Lazima tusiojua, tujue kwanza concept ya "carrying capacity" ili tuzungumze kuhus ajira kama fursa na idadi ya watu inaathiri vipi hii kesi. Tatizo la ajira ni serious nchi za dunia ya 3 na pili.Wamasai waliosoma wahadzabe walio soma hakuna?
Chongolo tangu amepewa hiyo nafasi amekuwa anajitamkia mambo ya Hovyo. Yaani anajiona kuwa yeye ndiye Waziri wa kila wizara KUTOA amri hata Kwa Waziri!Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.
Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.
Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni dhaifu ukilinganisha na ile ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?
Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.
Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.
Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.
Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?
MSIKUBALI!
Kabla haujalaani kauli ya Chongolo nenda kashangae UDSM, wanashirikiana na taasisi fulani kueendesha mafunzo ya maarifa yanayofaa karne ya 21. Hayo mafunzo yananufaisha takribani wanafunzi 250 kwa mwaka. Tukigeuza inakuwa hivi: Kati ya wahitimu zaidi ya elfu tano wa UD,, ni 250 pekee ndo wanapata maarifa yanayofaa karne 21. Hili ni tusi kubwa kwa UD lakn mapropesa wanachekelea labda vile mpunga unaingiaMimi ningeshauri serikali kwa vile vyuo vyetu vingi havina sehemu za kufanyia tafiti (research centers) basi watu waliokaa kwenye kazi (field) kwa muda mrefu sana ndo warusishwe vyuoni wakafundishe siyo mtu amebakishwa tutorial..within 5years tayari ni lecture kisa amechukua masters na phd tayari. mfano. Akina Kibatara and likes wakatoe elimu ya sheria huko chuo kikuu..
Wale wataalam wanaotengeneza mitambo ya gesi pale kinyerezi na waotengeneza and the likes wakafundishe chuo kikuu.
Wale wahasibu wabobezi warudi wakafundishe.
Wale wataalam wa mabarabara na ujenzi walioko kwenye field muda mrefu wakafundishe.
Wale miners wabobezi kule GGM na Nyamongo warudishwe wakafundishe...
Tuachaneni na Hao wahadhiri ambao vichwa vyao vimeota kutu na hawafanyi vitu kwa vitendo kwasababu hawaoni vitu katika uhalisia...tuchukue watu waliopo kwenye field. Haiwezekani mwanafunzi amemaliza chuo lakini akipewa mtihani kwa vitendo anaonekana kichekesho..
Chongolo yupo sahihi tu,kwani uko chuo Kikuu wanafundishwa kila kitu;kwamfano nataka kusomea ufundi seremara,mwashi,welding, plumbing nk,nitavikuta chuo Kikuu?Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.
Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.
Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni dhaifu ukilinganisha na ile ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?
Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.
Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.
Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.
Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?
MSIKUBALI!
Kwahiyo kocha wa timu ya mpira nichezaji mzuri kuliko anaowafundisha!Hao VETA wanafundishwa na wahitimu wa vyuo vikuu, sasa sijui unongea Nini. Tatizo mnashabikia kauli za wanasiasa bila kufanya utafiti.
Wanafunzi wengi wanaomaliza mavyuoni vita za huku uraiani hawajui
Hivi huwa najiulizaga inakuwaje mtu Ana graduate uhandisi huko mlimani
Lakini hawezi kutumia vifaa kama drilling machine,grinder machine nk
Mwanafunzi kutumia machine tools
Haweziii...alafu anakuambia mhandisi
Hivu huko wanafundishwa kukariri tu
Ova
Hapo kateleza walimu wa veta kada ya ufundi wana zalishwa na Veta wenyewe kupitia chuo cha ualimu wa ufundi Veta Morogoro hakuna chuo kikuu wana fundisha uselemalaKwahiyo kocha wa timu ya mpira nichezaji mzuri kuliko anaowafundisha!
Kaka, tisipime ubora wa elimu Kwa kigezo cha ajira. Tutachanganya mambo mawili Kwa wakati mmoja bila Kujua tunaelekea wapiShida ni mtu kutopenda anachosomea kama wana enda field mathalani kwenye kampuni za ujenzi kuna kila aina ya tools lakini badala ya kujifunza kwa vitendo kazi yao kuuliza tu maswali lakini pia mda wa likizo kwa nini wasiutumie kwenye kwenye kampuni za ujenzi kuchukua ujuzi kampuni ya ujenzi vifaa vyote vipo.. kiutendaji mwanafunzi wa Veta atakuwa juu na private sector wanataka mtu wa kufanya kazi sio vyeti kwa upande wangu serikali sio wa kulaumiwa wanachuo ndio wakulaumiwa kwa sababu dunia wanaona nini kina itajika kwenye ushindani wa ajira..
Kweli me nina amini changamoto zipo lakini wanachuo wanapokuwa chuo wajitume wajue fani zao kwa vitendo sio mdomoniKaka, tisipime ubora wa elimu Kwa kigezo cha ajira. Tutachanganya mambo mawili Kwa wakati mmoja bila Kujua tunaelekea wapi
Nahisi labda Ila changamoto sana, vijana wanateseka sana mtaani Ajira emptyKama ajira ni changamoto ccm mnasubiri nini kutoka madarakani? Uwezo wenu nifinyu wa ubunifu