Huo ndio ukweli ndugu, mtu aliehitimu VETA ni bora kwa kila kitu ukilinganisha na wa chuo kikuu, ndivyo ilivyo, The way the cookie crumbles..
Wewe mpika vitumbua uliyehitimu veta usijpe faraja kwa kauli ya Chongolo.Huo ndio ukweli ndugu, mtu aliehitimu VETA ni bora kwa kila kitu ukilinganisha na wa chuo kikuu, ndivyo ilivyo, The way the cookie crumbles..
Ukiweka siasa pembeni ndugu Chongolo yupo sahihi kabisa.
Hawa wahitimu lazima wawe na skills nyingine za kuleta ugali mezani .
Kazi ya vyuo vikuu ni kutoa skills siyo notes kama inavyofanywa na ccm hapa TanzaniaHawa wahitimu lazima wawe na skills nyingine za kuleta ugali mezani .
Yaani watanzania tuna Shida, watu wanadhani Chongolo amekosea lakini mimi sioni jipya huko vyuo vikuu haswa Kwa baadhi ya kozi maana ziko ki nadharia tu Wala hazina mchango wa maana . Mtu aliyeenda Veta ni Bora zaidi kuliko KWENDA ELIMU ya juu haswa Tanzania
CCM ndiyo tatizo. Wame-politicize elimu ya chuo kikuu inonekana Kama ya chekechea. Suluhisho siyo kukimbilia veta bali kuwekeza zaidi ili mafunzo ya vitendo yatolewe. CCM wanalikimbia hiliYaani watanzania tuna Shida, watu wanadhani Chongolo amekosea lakini mimi sioni jipya huko vyuo vikuu haswa Kwa baadhi ya kozi maana ziko ki nadharia tu Wala hazina mchango wa maana . Mtu aliyeenda Veta ni Bora zaidi kuliko KWENDA ELIMU ya juu haswa Tanzania
Elimu haina Mwisho.
Chongolo kaongea fact tupu.
Vijana wengi wanaotoka vyuoni wanajua white collar jobs, Wakati vijana wengi wanaotoka Veta ndiyo washika spana, ndiyo wanaojua kushika chepe, nyundo, grisi, kunyoosha ukuta, kurepair simu, computer etc.
Kiufupi vijana wengi wanaotoka vyuoni wana matheory mengi kichwani ambayo hata hayo nayo wanayasahau wakishagraduate, Ila vijana wa Veta wana skills za kufanya vitu vitokee
Uko sahihi kwa 100%Kwani lengo la kuanzishwa kwa VETA ni nini na lengo la kuanzishwa kwa chuo kikuu ni nini? Kuna sehemu serikali haitimizi wajibu wake.
Chongolo ni sehemu ya hiyo serikali hivyo ingekuwa busara kama dongo au ushauri angelitoa upande wa serikali.
Wanafunzi wanakwenda chuo kikuu kujifunza kile ambacho kinatakiwa kifundishwe chuo kikuu na iwapo hajafundishwa kile alichostahili kukipata kosa la mwanafunzi ni nini?
Nakazia. Wanafunzi wawe huko field kwa miaka yote 3 au 4 mpk siku wanahitimu.Wale wataalam wanaotengeneza mitambo ya gesi pale kinyerezi na waotengeneza and the likes wakafundishe chuo kikuu.
Wale wahasibu wabobezi warudi wakafundishe.
Wale wataalam wa mabarabara na ujenzi walioko kwenye field muda mrefu wakafundishe.
Wale miners wabobezi kule GGM na Nyamongo warudishwe wakafundishe...
Nainga kauli yake mkono. Hatujuwi kazi nyingine wasomi hii ni hatari. We will die masikini sana
Weweee!Ebu kosome VETA huko.Usitusumbue na fikra mfu zako.Chongolo nae fala tu. Hajui anachokisema huwezi kumwambia mtu mwenye degree ya uhasibu au manunuzi ajiajiri. Serikali iweke mpango madhubuti kusaidia watakaokosa ajira mana mfumo unaotumika kuajir watu utatoa watakaokosa kila mwaka mpaka dunia iishe. Aache ufala wake na yeye kama hajui cha kuongea asiongee
Hii ni kweli.Kwani lengo la kuanzishwa kwa VETA ni nini na lengo la kuanzishwa kwa chuo kikuu ni nini? Kuna sehemu serikali haitimizi wajibu wake.
Chongolo ni sehemu ya hiyo serikali hivyo ingekuwa busara kama dongo au ushauri angelitoa upande wa serikali.
Wanafunzi wanakwenda chuo kikuu kujifunza kile ambacho kinatakiwa kifundishwe chuo kikuu na iwapo hajafundishwa kile alichostahili kukipata kosa la mwanafunzi ni nini?
Huko VETA nacho ndo balaa tupu au yawezekana mnawaona tu watoto wakitembelea mtaani ila kichwani watupu kwelikweli...VETA nyingi zimebaki tu madarasa na meza pamoja na mitambo za kuranda mbao za old modern hakuna jipya.
Elimu yetu inachezewa kabisa, chuo cha ufundi kinachoitwa VETA, mmeshajua ni nani anawafundisha huko? This is circle...wanafunzi waliotoka huko chuo kikuu empty kama wadau wengine wanavyosema ndo wanafundisha huko VETA kisichokua na vifaa vya kufundishia bali wanafunzi wanakuja na tester, mkasi, mwiko, kono bao.....
Hatari hatari hatari.....tulioko field tunajua
Unaweza kutaja japo nchi moja tu duniani iliyojitosheleza kiajira kwa raia wake wote?.Kujiajiri sio Suluhu la tatizo la ajira. Ajira ni fursa. Mm naamini kwenye vitu viwili tu... Mfumo wa piramid kwenye ajira upate Suluhu mana huo ndo unasababisha watu wenye digrii mtaani wasio na kazi wapelekewa moto wa mateso na kufedheheshwa.
Tatizo la ajira ni uhaba wa fursa..
Fursa haziwez kuwa chache kama watu wachache. Watu wakiwa wengi fursa lazima zitokee Kwa uchache. Kampeni za kukontro idadi ya watu zikifanikiwa tatizo hili litapatiwa utatuzi
Wewe uliyesomea MAENDELEO YA JAMII,nje ya kuajiriwa unaweza kujiajiri kufanya kipi?.Kwani lengo la kuanzishwa kwa VETA ni nini na lengo la kuanzishwa kwa chuo kikuu ni nini? Kuna sehemu serikali haitimizi wajibu wake.
Chongolo ni sehemu ya hiyo serikali hivyo ingekuwa busara kama dongo au ushauri angelitoa upande wa serikali.
Wanafunzi wanakwenda chuo kikuu kujifunza kile ambacho kinatakiwa kifundishwe chuo kikuu na iwapo hajafundishwa kile alichostahili kukipata kosa la mwanafunzi ni nini?
Huko VETA nacho ndo balaa tupu au yawezekana mnawaona tu watoto wakitembelea mtaani ila kichwani watupu kwelikweli...VETA nyingi zimebaki tu madarasa na meza pamoja na mitambo za kuranda mbao za old modern hakuna jipya.
Elimu yetu inachezewa kabisa, chuo cha ufundi kinachoitwa VETA, mmeshajua ni nani anawafundisha huko? This is circle...wanafunzi waliotoka huko chuo kikuu empty kama wadau wengine wanavyosema ndo wanafundisha huko VETA kisichokua na vifaa vya kufundishia bali wanafunzi wanakuja na tester, mkasi, mwiko, kono bao.....
Hatari hatari hatari.....tulioko field tunajua
Na bado unasisitiza wahitimu wa chuo kikuu, wakajiunge chuo cha ufundi, VETA.Nb 3: Mtaa una kanuni, sheria na taratibu zake ambazo hutafundishwa chuoni!!!!!!!!!!
Ni mtazamo!!!!!!!!!!!!!!!!
Vitendo katika fani ipi?Anayesomea maendeleo ya jamii anaweza fanya mafunzo ya vitendo vipi ili mtaani ajiajiri?.Nani mwenye wajibu wa kuhwkikisha wanafunzi wanafanya masomo ya vyuo vikuu kwa vitendo? Chongolo na ccm yake ndiyo wameiharibu elimu ya chuo kikuu kwa kuifanya isiwe tofauti na ile ya sekondari.
Alichoikiongea Chongolo ni upuuzi. Duniani kote bunifu na tafiti za kitaslamu hufangwa na wahitimu wa vyuo vikuu. Kwann iwe tofauti hapa kwetu? CCM wamelikoroga Sasa hawataki kulinywa wanalikimbia