- Thread starter
- #21
Tujichange change ili maDAS, MaDED na MaDC wapate mishahara mizuri😅😅Tufungeje mkanda wakati CCM wanasema kila kiongozi wao wa ngazi za kati ana V8?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tujichange change ili maDAS, MaDED na MaDC wapate mishahara mizuri😅😅Tufungeje mkanda wakati CCM wanasema kila kiongozi wao wa ngazi za kati ana V8?
Sasa kama mwanannchi analipa ada 10M kwa mwanafunzi wa darasa la kwanza wewe mwananchi mwingine unashindwaje kulipa elfu 5 ya tozo tu?Ukiwa unalipa ada milioni 10 kwa mtoto wa primary ni rahisi kuamini watz wote ulipa ada milioni 10
Ameishaje?ameisha huyu.
Ukiwa na hela au Kazi ni rahisi kuamini atembeaye kwa miguu kakosa 400 ni mjinga au mvivu.Sasa kama mwanannchi analipa ada 10M kwa mwanafunzi wa darasa la kwanza wewe mwananchi mwingine unashindwaje kulipa elfu 5 ya tozo tu?
Watu walidhani kupita bila kupingwa ni rahisi. Hizi ndio gharama zake. Wabunge hakuna mwenye uwezo wala kuthubu kuhoji.Madhara ya kupita bila kupingwa yanaathiri Sana jamii
acha kihere-here kama mke wa mgambo.Ameishaje?
Na hizo ndio akili na imani za wana Mataga wanaonemeka na uovu wa serikali ya ccm. Hawaamini kabisa kama kuna Mwananchi maskini. Hata wakiona mtu maskibi hudhani ni kwa ujinga wakeUkiwa na hela au Kazi ni rahisi kuamini atembeaye kwa miguu kakosa 400 ni mjinga au mvivu.
Kama watu wanakufa kwa kukosa 500 ya Panadol sababu hawana mazingira ya kuzalisha uchumi unaweza dhani ni wavivu au wazembe
hahahaa hata ukituma pesa kwa mchepuko itakatwa tu😅😅Mungu alivyo mjanja ukimwi akauweka pale kati patamu, maza naye kaona isiwe tabu kwanini akusanye kodi kwa kutumia vikosi kazi, ndo hivyo kaweka kodi pale kati patamu.
Mwigulu ni Maji marefu.Mbaya zaidi huyo jamaa yako hajui hata kufafanua ni vipi hiyo pesa itasaidia yeye analeta ngonjera zisizo na msingi
Siku akitumbuliwa itakua ni zaid ya sabaya bar zitaishiwa vinywaj nakuhakikishiaMwigulu hatafanywa lolote ametumwa na system ovu iliyomfikisha hapo alipo. Mtalalamika hivi hivi ma tozo mtakatwa tu. Kama hutaki hamia somalia.
Hata rambi rambi inakatwa tuhahahaa hata ukituma pesa kwa mchepuko itakatwa tu😅😅
Uzalendo wakati mda wote yupo kwenye liV8 ,mwambie apunguze mshaara, malupulupu, atembee suzuki jimmy, ndo tuone uzalendo wake, leo mtu anaishi maisha ya peponi, tena KWA kodi zetu ,eti uzalendo,Hawa ndio wazalendo. Hawa ndio wanaojua nchi imetoka wapi na inakwenda wapi. Huenda wanajua bila maamuzi magumu nchi itatumbukia ktk dimbwi la umaskini na mkwamo wa kiuchumi.
Sasa tunafunga na kukaza mkanda ili tusonge mbele kama nchi. Mwaka 1979 baada ya vita vya kagera Hatua kali za kiuchumi kama hizi Baba wa Taifa Mwl Nyerere ili mbidi azifanyie kazi bila kuangalia mtu usoni wala kumwonea huruma.
Mwaka 2021 tumetoka ktk vita kali. Wenye macho matatu tuliona hili zamani. Vita ile ya 2020 Oktoba haikuwa ya kitoto, imekomba pesa zote. Pesa zilitumika kununua zana za kivita, namna ya kushinda na kudhibiti washindani kwa nguvu zote. Hiyo ndio maana ya vita. Kutumia mbinu yoyote halali na haramu kumshinda adui.
Kujenga nchi sio kuimba nyimbo za Iyena iyena. Sio porojo za kukejeli na kuwazodoa wapinzani. Ni kujitoa kwa maumivu na jasho.
Dr Mwigulu umewafumbua wajinga wengi. Wengi wanaoona nchi ikisonga bila kujua namna inasongeshwa. Sasa watanzania tuwe tayari kwa haya. Waliofurahia vita ile na waliochukia vita ile 2020 Oktoba sasa haya ndio madhara.
Mama aliposema tuweke mchakato wa katiba Mpya Mpaka hapo baadae ili kupisha ujenzi wa uchumi hii ndio maana yake.
wale tuliofurahishwa kukwepa katiba sasa tufurahie kujenga uchumi kwa kulipa kodi na kutoa matozo.
Mama SSH anaupiga mwingi sana.😅😅😅
Safari ni ndefu mno. Mpaka watanzania tutakapoamua. Hii ni early stage ya kujitambua. Sasa madhara ni kwa wote. TutaelewanaUzalendo wakati mda wote yupo kwenye liV8 ,mwambie apunguze mshaara, malupulupu, atembee suzuki jimmy, ndo tuone uzalendo wake, leo mtu anaishi maisha ya peponi, tena KWA kodi zetu ,eti uzalendo,
Kama uzalendo ndo huu wa viongozi wa tz Basi bado tuna safari ndefu tz
Hata zaka.Hata rambi rambi inakatwa tu
Umma upi? huu huu unaopinga umuhimu wa katiba mpya?Tunajua kuna watu mmepewa vijisenti kuja kuandika upupu lakn nguvu ya umma ni kubwa sana