Kauli ya Dkt. Mwigulu Nchemba ni ya kishujaa na ya kizalendo; tunawataka akina Mwigulu 1000 kwenye taifa letu

Kauli ya Dkt. Mwigulu Nchemba ni ya kishujaa na ya kizalendo; tunawataka akina Mwigulu 1000 kwenye taifa letu

36EF135E-F3EF-463B-995F-FC7589A27C2A.jpeg
FFB0FB6E-DDF5-4D9E-A267-0F1E1BE3763A.jpeg
 
wale tuliofurahishwa kukwepa katiba sasa tufurahie kujenga uchumi kwa kulipa kodi na kutoa matozo.

Mama SSH anaupiga mwingi sana.😅😅😅
Bohoro bohoro…nimeanza kujifunza lugha ya dokta Mpango. Burundi inatuhusu. Dunia inakwenda kasi sana. Watanzania leo wakimbizi Burundi.
 
Jamani kama tunataka nchi yetu isonge mbele kiuchumi basi tulipe kodi hakuna namna, binafsi naona hii Kodi inayolalamikiwa ndiyo inawagusa wengi inamanufaa na itatunisha mfuko vizuri. Kama vyanzo vingine vya mapato vipo mshauri basi ili mapato yapatikane na sio kulalamika tu.
 
Jamani kama tunataka nchi yetu isonge mbele kiuchumi basi tulipe kodi hakuna namna, binafsi naona hii Kodi inayolalamikiwa ndiyo inawagusa wengi inamanufaa na itatunisha mfuko vizuri. Kama vyanzo vingine vya mapato vipo mshauri basi ili mapato yapatikane na sio kulalamika tu.
👍👍
 
Jamani kama tunataka nchi yetu isonge mbele kiuchumi basi tulipe kodi hakuna namna, binafsi naona hii Kodi inayolalamikiwa ndiyo inawagusa wengi inamanufaa na itatunisha mfuko vizuri. Kama vyanzo vingine vya mapato vipo mshauri basi ili mapato yapatikane na sio kulalamika tu.
Na ww ondoka kwa shemeji yako uje na ww ulipe kodi
 
Hawa ndio wazalendo. Hawa ndio wanaojua nchi imetoka wapi na inakwenda wapi. Huenda wanajua bila maamuzi magumu nchi itatumbukia ktk dimbwi la umaskini na mkwamo wa kiuchumi.

Sasa tunafunga na kukaza mkanda ili tusonge mbele kama nchi. Mwaka 1979 baada ya vita vya kagera Hatua kali za kiuchumi kama hizi Baba wa Taifa Mwl Nyerere ili mbidi azifanyie kazi bila kuangalia mtu usoni wala kumwonea huruma.

Mwaka 2021 tumetoka ktk vita kali. Wenye macho matatu tuliona hili zamani. Vita ile ya 2020 Oktoba haikuwa ya kitoto, imekomba pesa zote. Pesa zilitumika kununua zana za kivita, namna ya kushinda na kudhibiti washindani kwa nguvu zote. Hiyo ndio maana ya vita. Kutumia mbinu yoyote halali na haramu kumshinda adui.

Kujenga nchi sio kuimba nyimbo za Iyena iyena. Sio porojo za kukejeli na kuwazodoa wapinzani. Ni kujitoa kwa maumivu na jasho.

Dr Mwigulu umewafumbua wajinga wengi. Wengi wanaoona nchi ikisonga bila kujua namna inasongeshwa. Sasa watanzania tuwe tayari kwa haya. Waliofurahia vita ile na waliochukia vita ile 2020 Oktoba sasa haya ndio madhara.

Mama aliposema tuweke mchakato wa katiba Mpya Mpaka hapo baadae ili kupisha ujenzi wa uchumi hii ndio maana yake.

wale tuliofurahishwa kukwepa katiba sasa tufurahie kujenga uchumi kwa kulipa kodi na kutoa matozo.

Mama SSH anaupiga mwingi sana.😅😅😅
Una pepo
 
Hawa ndio wazalendo. Hawa ndio wanaojua nchi imetoka wapi na inakwenda wapi. Huenda wanajua bila maamuzi magumu nchi itatumbukia ktk dimbwi la umaskini na mkwamo wa kiuchumi.

Sasa tunafunga na kukaza mkanda ili tusonge mbele kama nchi. Mwaka 1979 baada ya vita vya kagera Hatua kali za kiuchumi kama hizi Baba wa Taifa Mwl Nyerere ili mbidi azifanyie kazi bila kuangalia mtu usoni wala kumwonea huruma.

Mwaka 2021 tumetoka ktk vita kali. Wenye macho matatu tuliona hili zamani. Vita ile ya 2020 Oktoba haikuwa ya kitoto, imekomba pesa zote. Pesa zilitumika kununua zana za kivita, namna ya kushinda na kudhibiti washindani kwa nguvu zote. Hiyo ndio maana ya vita. Kutumia mbinu yoyote halali na haramu kumshinda adui.

Kujenga nchi sio kuimba nyimbo za Iyena iyena. Sio porojo za kukejeli na kuwazodoa wapinzani. Ni kujitoa kwa maumivu na jasho.

Dr Mwigulu umewafumbua wajinga wengi. Wengi wanaoona nchi ikisonga bila kujua namna inasongeshwa. Sasa watanzania tuwe tayari kwa haya. Waliofurahia vita ile na waliochukia vita ile 2020 Oktoba sasa haya ndio madhara.

Mama aliposema tuweke mchakato wa katiba Mpya Mpaka hapo baadae ili kupisha ujenzi wa uchumi hii ndio maana yake.

wale tuliofurahishwa kukwepa katiba sasa tufurahie kujenga uchumi kwa kulipa kodi na kutoa matozo.

Mama SSH anaupiga mwingi sana.😅😅😅
Uzalendo wa kulazimisha?
 
Hii nchi bila kuwa na watu wajasiri haiwezi kwenda tabia za ulalamishi ,kukosoa,kulaumu imekuwa jadi kubwa.

Hawa pumbavu sana watu hawataki kulipa kodi unategemea nini? Waliojiita wafuasi wa Zuma wako wapi? Zuma yuko ndani na wale wapumbavu wanashughulikiwa.

Serikali haiwezi kuwa dhaifu kiasi hiki saizi hata kodi hazikusanywi,watu hawalipi kodi na hii ya mshikamano wanazingua,Maza vipi? Si wamuwekee ngumu kodi zilipwe nchi isogee,bila maamuzi magumu hatufiki.


Kodi gani hiyo ya kupora fedha za watu??--- kodi halali ni ile inayokatwa kwenye huduma na uzalishaji kinyume cha hapo ni wizi na uporaji kupitia miamala, unaweza kuniambia hiyo kodi inakatwa kwa huduma gani serikali imetoa kwa mwenye hizo pesa???. Raia tunayohaki ya kukwepa kodi hiyo ya Wizi na njia yenyewe ni kupunguza na hatimaye kuachana na matumizi ya simu kutuma pesa.
 
Nadhani ili kuzima hoja ya Katiba Mpya Mama anaweza kumweka pembeni au kumbadilisha wizara!
 
Back
Top Bottom