Kauli ya Dkt. Mwigulu Nchemba ni ya kishujaa na ya kizalendo; tunawataka akina Mwigulu 1000 kwenye taifa letu

Ww si unalelewa na mkeo hivyo huoni uchungu wowote. Sisi tunaomuhonga mkeo ndio tunakutana na uchungu wa mpaka ya kutolea.
Mstusi hayatakusaidia usilipe kodi ya miamala na unfortunately hakuna kitu utabadili,wajinga kama wewe hamieni ambako kodi hazilipwi pumbavu.
 
Sasa kama mwanannchi analipa ada 10M kwa mwanafunzi wa darasa la kwanza wewe mwananchi mwingine unashindwaje kulipa elfu 5 ya tozo tu?
Wewe akili zako ziko matakoni , kwa sababu hujui kwamba maisha ya binadamu hayafanani na hujui kwanini wengine wanatupa chakula na wengine wanaokota makombo,
 
Na ww ondoka kwa shemeji yako uje na ww ulipe kodi
Mkuu, sio kwamba mimi silipi kodi au siumizwi na hii Kodi ila naamini kuwa kuumia huku ni kwa nia njema katika kujenga taifa letu, hususani kutekeleza miradi ya kimkakati
 
Mstusi hayatakusaidia usilipe kodi ya miamala na unfortunately hakuna kitu utabadili,wajinga kama wewe hamieni ambako kodi hazilipwi pumbavu.

Ww ulipotukana hayo matusi yalikusaidia? Ukija na lugha za kishenzi unajibiwa kwa tone hiyo hiyo. Unataka tubadili mara 2?
 
Mkuu, sio kwamba mimi silipi kodi au siumizwi na hii Kodi ila naamini kuwa kuumia huku ni kwa nia njema katika kujenga taifa letu, hususani kutekeleza miradi ya kimkakati

Uumie ili viongozi wastaafu wakajengewe mahekalu, na kupewa magari ya kifahari. Uumie ili silaha zikanunuliwe za kuulia wapinzani ili waporwe kura?
 
Na viongozi kama wananchi tunakamuliwa hivi halafu eti tusikie fedha inaenda kununua viongozi wa vyama vya upinzani, au unatokea ufisadi wa kutisha, au mnalipana maposho ya kufulu, wakati wananchi tunaishi maisha ya shida msitegemee kuungwa mkono kwa mambo haya. Mjitafakari
 
Uumie ili viongozi wastaafu wakajengewe mahekalu, na kupewa magari ya kifahari. Uumie ili silaha zikanunuliwe za kuulia wapinzani ili waporwe kura?
Hapo ndiyo tatizo lilipo,daah. Sema Kama kweli viongozi wana nia ya kujenga nchi wafanye Kwanza mabadiliko ya kupunguza mambo ya hovyo Kama haya. Itakuwa ngumu Sana kuwashawishi wananchi wakati wao hawaongozi kwa mfano
 
Usitutakie balaa! Tafadhali sana! Huyo mmoja keshakuwa mwiba mkali halafu unatutakia wengine wawe 1000!!
 
Hapo ndiyo tatizo lilipo,daah. Sema Kama kweli viongozi wana nia ya kujenga nchi wafanye Kwanza mabadiliko ya kupunguza mambo ya hovyo Kama haya. Itakuwa ngumu Sana kuwashawishi wananchi wakati wao hawaongozi kwa mfano

Kwa taarifa yako kadiri pesa vitakavyokuwa nyingi, ndio jinsi viongozi watakavyozidi kujipendelea.
 
Akili yako inatope kidogo, sasa huyu "uBaba Msholozi" (Zuma) anaingiaje hapa?
 
Mjinga Sana www nyambafu Sana,, Kodi huwezi pandisha kwa asilimia 120
 
awamu hii akuna wakununua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…