Source: MwanahalisiMwanaHalisi Digital imemnukuu Jaji Mkuu wa Tanzania akikemea vikali tabia ya baadhi ya watu wakiwemo wanasheria ya kumkosoa Jaji au mwanasheria wa upande mwingine kiasi cha kumtaja kwa jina na picha yake, na wakati mwingine kutaja hadi mahali anakokaa.
Tatizo madaraka makubwa au wanaoonewa wana vipaumbele vingine? Katiba mpya itakuwa na manufaa gani kwa wapenda ubuyu, wazee wa mikeka, watu wa pisi kali, na makundi mengine ya watu useless kama hayo, ambayo unfortunately ndio asilimia kubwa ya Watanzania?Ndo maana ya katiba mpya,kwenye nchi yetu kuna sehemu madaraka uanawaelemea viongozi,yanakuwa makubwa mno,
Hakuna atakaeshangaa Kwa maamuzi yatakayotolewa kwani malengo/madhaifu yao yamekwishaeleweka. Hata Mlengwa wao Mkuu amekwishajiandaa kisaikolojia. Nothing to loose.Ana ulinzi wa uhakika kwa sasa kwakuwa anasimamia uovu kwa maagizo vya watawala. Hivyo anatoa vitisho kwa wataka haki ili udhaifu wa Muhimili anaousimamia usiendelee kupuuzwa. Hapo alipo ana hukumu ya rais dhidi ya Mbowe, hivyo anaweka vitisho ili watu waogope siku hukumu ya kihuni ikitoka.
Na huyu ni mmoja wale walioongezwa kwenye list ya wenye kinga ya kutokushtakiwa. Ameshalewa madaraka. Nilisema kesi ya Mbowe imekuwa ya manufaa kwani tunazidi kuona mapungufu ya vyombo vya dola. Mahakama imenajisika sana kwenye kesi hii.Huyu hafai kuwa Jaji mkuu anatakiwa kuwa magereza kwa maovu yanayofanyika nchini
MwanaHalisi Digital imemnukuu Jaji Mkuu wa Tanzania akikemea vikali tabia ya baadhi ya watu wakiwemo wanasheria ya kumkosoa Jaji au mwanasheria wa upande mwingine kiasi cha kumtaja kwa jina na picha yake, na wakati mwingine kutaja hadi mahali anakokaa.
Amekwenda mbali hadi kufikia kusema , wote wanaofanya hivyo wanafahamika na kwamba siku zao zimekwisha.
Hii ni kauli kali mno kutolewa na Jaji Mkuu, ambayo bila shaka imechagizwa na jazba, mimi nilidhani Mh Jaji Mkuu angejaribu kuangalia kufuatilia kisa cha majaji kushutumiwa mitandaoni badala ya kuwapiga mikwara watoa shutuma
View attachment 2039314
Mkuu miili imekwishakuwa sugu. Yaani watu wapigike kimaisha na bado wapo halafu uwatishe kwa maneno?? Watu wako tayari kuwa kama Hamza.Anaposema siku zao zimekwisha ana maana watawapiga risasi kama walivyofanya kwa Tundu Lissu?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hii nchi ni pahala salama pa kujipatia vichekoMwanaHalisi Digital imemnukuu Jaji Mkuu wa Tanzania akikemea vikali tabia ya baadhi ya watu wakiwemo wanasheria ya kumkosoa Jaji au mwanasheria wa upande mwingine kiasi cha kumtaja kwa jina na picha yake, na wakati mwingine kutaja hadi mahali anakokaa.
Amekwenda mbali hadi kufikia kusema , wote wanaofanya hivyo wanafahamika na kwamba siku zao zimekwisha.
Hii ni kauli kali mno kutolewa na Jaji Mkuu, ambayo bila shaka imechagizwa na jazba, mimi nilidhani Mh Jaji Mkuu angejaribu kuangalia kufuatilia kisa cha majaji kushutumiwa mitandaoni badala ya kuwapiga mikwara watoa shutuma
View attachment 2039314
======
Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma amesema, ndani ya mwezi mmoja, baada ya kuanza kazi Kituo Jumuishi cha Temeke, asilimia 38 ya mashauri yaliyofunguliwa na mawakili, “yalirejeshwa kwao, makosa kama kutaja kifungu cha sheria. Majaji tuangalia la kufanya ili tusiwe tunawarudishia tu.”
Huko mitandaoni nawajua mawakili, hata majina yenu ya bandia nayajua na wengine wako ndani ya mahakama, wanamshambulia jaji kwa jina na picha au wakili wa upande wa pili. Tunawafahamu. Siku zao zimekwisha- Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma
Kukosoa hukumu hakuna tatizo. Nitafurahi hukumu zangu kama zitakosolewe, nitajifunza. Lakini saizi mawakili wanawakosoa majaji, mahakimu kwa majina na picha zao, mara anaishi wapi, hii haikubaliki na mawakili wa aina hiyo hawafai kuwa mawakili- Jaji Mkuu, Profesa Ibrahim Juma
View attachment 2039391
Ingekuwa ni uk sasa hivi huyu mzee angekuwa kesha pewa kiinua mgongo chake akale na wajukuu wake.MwanaHalisi Digital imemnukuu Jaji Mkuu wa Tanzania akikemea vikali tabia ya baadhi ya watu wakiwemo wanasheria ya kumkosoa Jaji au mwanasheria wa upande mwingine kiasi cha kumtaja kwa jina na picha yake, na wakati mwingine kutaja hadi mahali anakokaa.
Ikivuja sana inaweza kuleta mafuriko mkaenda na majiWacha iendelee kunyesha sisi tukague panapovuja
Mchango wangu huu hapa. Nitaongeza na ubani maiti, ubani mashtaka, khaltit, buni, ndimu kisrani, chumvi ya mawe, sindano za shaba.Tutamalizana naye hata kwa waganga wa kienyeji
Mwl JK Nyerere aliwahi kulisema hilo kuwa katiba ya sasa tulio nayo inawafanya watawala kuwa malaika wa nchi.Ndo maana ya katiba mpya,kwenye nchi yetu kuna sehemu madaraka uanawaelemea viongozi,yanakuwa makubwa mno,
Wana aibika vibaya sana na ndiyo maana sasa hivi kila mtu anatoka kivyake ili kulinda upande wake na mwisho Hangaya atabebeshwa gunia la misumariYaap nimeona nchi ya jirani hapo kwa uhuru nyeusi inaitwa nyeusi nadhani jaji anapaswa kuwanyoshea vidole hao majaji wake kwanza bahati nzuri hii kesi ya mchongo inawaaibisha mno
Huyu ni jaji mkuu au mwanasiasa wa chama dolaMwanaHalisi Digital imemnukuu Jaji Mkuu wa Tanzania akikemea vikali tabia ya baadhi ya watu wakiwemo wanasheria ya kumkosoa Jaji au mwanasheria wa upande mwingine kiasi cha kumtaja kwa jina na picha yake, na wakati mwingine kutaja hadi mahali anakokaa.
Tetetetete ndoja MshanaJr ajeMchango wangu huu hapa. Nitaongeza na ubani maiti,ubani mashtaka,khaltit,buni,ndimu kisrani,chumvi ya mawe,sindano za shaba. View attachment 2039382
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hapa Hangaya anapaswa kusimama kwenye HAKI na UTAWALA wa SHERIA pumba na ngano zitajitenga.Wana aibika vibaya sana na ndiyo maana sasa hivi kila mtu anatoka kivyake ili kulinda upande wake na mwisho Hangaya atabebeshwa gunia la misumari
Hakuna mahakama tena ni tawi kuu la CCMNa huyu ni mmoja wale walioongezwa kwenye list ya wenye kinga ya kutokushtakiwa. Ameshalewa madaraka. Nilisema kesi ya Mbowe imekuwa ya manufaa kwani tunazidi kuona mapungufu ya vyombo vya dola. Mahakama imenajisika sana kwenye kesi hii.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Masalia ya mwendazake, kimeanza kuumana mbona bado!!!MwanaHalisi Digital imemnukuu Jaji Mkuu wa Tanzania akikemea vikali tabia ya baadhi ya watu wakiwemo wanasheria ya kumkosoa Jaji au mwanasheria wa upande mwingine kiasi cha kumtaja kwa jina na picha yake, na wakati mwingine kutaja hadi mahali anakokaa.