Kauli ya Julius Malema kuhusu kifo cha Malkia Elizabeth inasikitisha na kuhuzunisha

Kauli ya Julius Malema kuhusu kifo cha Malkia Elizabeth inasikitisha na kuhuzunisha

Sawa tumeona ila Julius hayupo sahihi kwa kweli amekosea
 
South Africa itself is under neocolonialism and imperialism by fellow his own blacks! and he is himself in SA!
I respect all your comments, but in this case I am afraid they are obviously carelessly thought and even creepy. Please, never forget your history!

EFF statement is right on point. Remember throughout her 70 years rule, Elizabeth neglected to acknowledge the atrocities committed all over the world under her reign. In fact, she was even proud of them. Sounds familiar?

While we should wish no one evil, we ought to remember and recount their ugly deeds generation after generation.
 
You serious? Amekwambia anatafuta kuheshimika? Heshima ya kutwezwa na kunyonywa?

If we had even a couple of strong and sound-minded individuals like him, Africa and most desperate parts of the world would have been long liberated from the dire, unrelenting shackles of neocolonialism and imperialism.
colonized mind is always blind' Malema is a smart boy , he is talking about humanity ,,,,,
 
South Africa ni mwanachama wa Commonwealth, huyo mvuta bangi mwache afurahie nafsi yake.

Statement ya South Africa itatolewa na Rais wao Ramaphosa na siyo huyu mvuta bangi anayekwenda na nguo za mafundi bungen...
Siyo suala la kufurahia kifo chake, bali kuonesha uhalisia wa historia aliyoitengeneza yeye mwenyewe.
 
Mkuu definitely u can do better than this, tuwe tunapanua jinsi tunavyofikiri, Queen Elizabeth amefariki na within 24 hrs mrithi wake amepatikana bila migogoro, inside Malema country wana utawala huu wa kimila na toka king afariki hadi leo bado wanapigana kugombea Ile asali, na Mr Malema hajaongea hata neno moja maana Zulus sio soft target, na elewa ardhi almost yote ya kwa Zulu natal ipo chini ya king [emoji1780], Leo malema anapiga Doma kuhusu ardhi why kama ni brave enough asianze kupigania ardhi ile?,malema ni dictator
Huu n
 
Waarabu asili yao ni watu weusi,ni baada ya kuoana na watumwa wa kizungu,wanawake wa kizungu wa mashariki,waliokuwa watumwa ndio kukapatikana waarabu weupe.Hakuna taifa duniani,halikuwahi kufanya wengine watuma,ni mataifa yote na makabila yote,yalifanyana watumwa.
Sure.. Utumwa ni kuhoteana, kila race iliwai hotea race nyingine katika wakati fulani... shida ni kwamba race zingine zote zimeshamove on ila sisi ndiyo bado tunalia kila siku tunasahau kuwa na sisi tuliwai wahotea wakati fulan.
 
kiongozi wetu wa Jumuiya ya Madola.



View attachment 2350759
Da historia ya huo umoja inaleta ukakasi. Hivi kuna kipengere kinachorusu Rais wetu wa Tanzania au Kiongozi mwingine nje ya uingereza kuwa Kiongozi Mkuu wa jumuiya ya madola.
 
Nitafutie hiki kitabu mkuu nipe hata link au pdf na Mimi nisome hio history please mkuu fanya hivyo
Natupia link ila inazingua, ngoja nipate utulivu nitarudia.
 

Attachments

  • Screenshot_20220909-080545_Chrome.jpg
    Screenshot_20220909-080545_Chrome.jpg
    168.6 KB · Views: 3
Hata black people na kushirikiana na waarabu waliwai uza wazungu kwenye magulio kama bidhaa.

Katika history hakuna utumwa mkali unaofikia uliofanywa na waarabu na black dhidi ya wazungu but sijawai ona Rooney akilalamika dhidi ya history hiyo ila Omtiti ndiye usiku na mchana analia na amini dhiki aliyonayo sasa haitokani na tawala anazozipigia kura kwa kuhongwa Tshet na kofia bali Malkia aliendoka miaka zaidi ya sabini iliyopita.

Mwafrika kupora rasimali za Africa na kwenda kuficha kwenye visiwa vya usherisheri si tatizo, ila aliens(non Africa) kuchukua pembe la ndovu ni jina hisiyo sahaulika kwa Mwafrika
Mwafrika na mwarabu walimuuza mzungu wapi?
 
Tanzania tungekuwa na viongozi makini, wakweli, wasiopenda unafiki, wasiojali matumbo yao, na wapigania kile wanachokiamini kama Malema, basi CCM ingekuwa ishaenda likizo toka miaka 7 iliyopita. Ila kwa sabab viongozi wote wa upinzani Tanzania wamejaa unafiki, uongo, wanaojali masilahi yao na ya familia zao, basi tutaendelea kuwa na upinzani butu na kibogoyo usiweza kufanya lolote ktk nchi hii na matokeo yake ni kushangaa kauli za viongozi makini na wasioendekeza unafiki na uongo kama Malema.
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    24.9 KB · Views: 3
  • download.jpeg
    download.jpeg
    8.7 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220605-165724.jpg
    Screenshot_20220605-165724.jpg
    41 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220605-170119.jpg
    Screenshot_20220605-170119.jpg
    51.5 KB · Views: 4
Wadau hamjamboni nyote?

Alichoandika Malema muda mfupi uliopita kinahuzunisha sana hususani wakati huu wa msiba mzito wa Mkuu wa Taifa la Uingereza na Jumuiya ya Madola

Hebu someni wenyewe alichoandika:

"We do not mourn the death of Elizabeth, because to us her death is a reminder of a very tragic period in this country and Africa's history.... If there is really life and justice after death, may Elizabeth and her ancestors get what they deserve."

Binafsi sijafurahishwa na kauli yake ambayo kimsingi inatakiwa kulaaniwa dunia nzima.

Namuombea kwa Mungu apumzike kwa amani kiongozi wetu wa Jumuiya ya Madola.

Vita amevipiga na mwendo ameumaliza.

View attachment 2350759


Kama wewe unayo haki ya kuomboleza kwa sababu zako kwanini wengine nao wasiwe na haki hiyo hiyo kutokuomboleza kwasababu zao???!!.

Malema katoa sababu zake na mimi namuunga mkono.

Huyo Malkia alikaa kimya kupinga siasa haramu za kibaguzi za utawala wa wazungu huko South Africa, Malema anasema; she gets what she deserves as justice in the hereafter.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Alichoandika Malema muda mfupi uliopita kinahuzunisha sana hususani wakati huu wa msiba mzito wa Mkuu wa Taifa la Uingereza na Jumuiya ya Madola

Hebu someni wenyewe alichoandika:

"We do not mourn the death of Elizabeth, because to us her death is a reminder of a very tragic period in this country and Africa's history.... If there is really life and justice after death, may Elizabeth and her ancestors get what they deserve."

Binafsi sijafurahishwa na kauli yake ambayo kimsingi inatakiwa kulaaniwa dunia nzima.

Namuombea kwa Mungu apumzike kwa amani kiongozi wetu wa Jumuiya ya Madola.

Vita amevipiga na mwendo ameumaliza.

View attachment 2350759
Malema aka juju hataki unafiki tuliofundishwa na wazungu
 
Back
Top Bottom