Kauli ya kishujaa ya mke wa Masanja Kusamehe ni lazima ndugu zangu, ili roho mtakatifu aweze kukaa ndani yako na kufanya kazi na wewe!

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Sikia kauli ya kishujaa ya Mama Monica Masanja mkewe mchungaji Masanja

"Kusamehe ni lazima ndugu zangu, ili roho mtakatifu aweze kukaa ndani yako na kufanya kazi na wewe lazima usamehe, lazima uachilie"

Je unampa ushauri gani?

Njozi njema!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Sikia kauli ya kishujaa mke wa Masanja

"Kusamehe ni lazima ndugu zangu, ili roho mtakatifu aweze kukaa ndani yako na kufanya kazi na wewe lazima usamehe, lazima uachilie" - mama mchungaji Monica Masanja
Ndiyo Wanadamu hao!!
 
kwahiyo hiyo meseji ni yetu au ya masanja kutokana na mambo ya yule katibu.
 
Nimekuja kugundua tangu Masanja agongewe na katibu sauti yake imebadilika inamikwaruzo flani hivi kooni inaonekana jamaa alikuwa analia sana faraghani. Halafu kumposti mposti hovyohovyo mke wake mtandaoni siku hizi kaacha.
 
Qn-No1. Bado mnaoaga wanawake wa Makanisani?
 
Lengo la mleta uzi ni kutukumbusha kuwa huyu mrembo alivua nguo zake zote akawa kama alivyo zaliwa akakalia mkuyenge wa katibu ukazama wote. Aagh

Hayo yameshapita mkuu usipende kututamanisha.
Inaumaa halafu ukifikiria masanja alikuwa akipiga picha waifu akipelekewa moto mkali ikichomoka ANAIRUDISHA kwa KUCHOMEKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…