Kauli ya kuonja sumu kwa ulimi ni zaidi ya udikteta

Kauli ya kuonja sumu kwa ulimi ni zaidi ya udikteta

kuhusisha matatizo ya chadema na ccm ni udhaifu mkubwa..

Tunategemea perfection kwa chadema sio kushughulikiwa wala kuonja sumu.
Sijawahi miliki kadi yoyote ya chama cha siasa, lakini cdm nimekuwa nikiipa support ya hali na mali, na watu Kibao wameikubali na kuipa cdm kura kwa ushawishi wangu. Lakini sihitaji kadi yao wala ya chama chochote cha siasa hasa ccm, narudia tena hasa kadi ya chama cha maibilisi ccm.

Ni hivi, Sumaye hawezi siasa za ushindani kwani alitoka ccm kwenye siasa za mbeleko ya vyombo vya dola na tume ya uchaguzi, hivyo anapokutana na ushindani halisi wa kisiasa hawezi kutoboa. Ingekuwa kwenye uchaguzi kulitokea vurugu ili kuhujumu box la kura hapo utetezi wake ungekuwa na mashiko. Au tungeona box la kura likitolewa nje ya chumba cha kura kisha kwenda kupunguza kura zake, hapo angekuwa na Utetezi wenye mashiko. Hilo neno kushughulikiwa analitumia kuficha aibu ya kushindwa.

Kama alitegemea atashinda kwa upendeleo basi ameumia, yeye arudi ccm ili arudishiwe mali zake za wizi alizopata akiwa madarakani. Mpigie simu kisha muulize alifungua matawi mangapi ya cdm toka alipojiunga, akikupa hiyo idadi uje umtetee. Anataka kuchuma kwenye shamba walilolima wanaume wenzake, aende ACT , ama arudi ccm, au aanzishe chama chake awe mwenyekiti kama Zito fullstop.
 
Nishawaambia Siada nobiasjara nxr mno, mbowe yupo sawa kulonda hisa zake ndsni ya chadema. Chadema sio chama cha ukombozi ni chama cha biashara
 
kuhusisha matatizo ya chadema na ccm ni udhaifu mkubwa..

Tunategemea perfection kwa chadema sio kushughulikiwa wala kuonja sumu.

Huko kanisani shetani anahubiriwa sio kwasababu watu wanataka kumjua shetani, bali hayo masomo ya kumjua Mungu hakuna uwezekano wa kutomtaja shetani. Unawezaje kuuongelea kilio cha Sumaye dhidi ya cdm bila kuitaja ccm?
 
Nishawaambia Siada nobiasjara nxr mno, mbowe yupo sawa kulonda hisa zake ndsni ya chadema. Chadema sio chama cha ukombozi ni chama cha biashara

Rudi shule ukajifunze kuandika, uzuri sasa hivi elimu ni bure.
 
Leo nimekumbuka usemi mmoja wa kichaga WA KITISHO. " NITAKUPIGA KISU NA KIKIVUNJIKA UTAKILIPA".

Wale wote wanaofikiria kugombea kiti kikuu cha chadema, kabla hawajachukua fomu, kwanza waende TENGERU wakapate ushauri na ridhaa ya kugombea, la sivyo wala wasijisumbue. Hilo limedhihirika kabisa.
 
ukijua kuwa umeshughulikiwa ... kimbia
Hahaha sasa alitaka kuwa mwenyekiti kwa nguvu?!
Anasema alitaka kuleta demokrasia, kutoka wapi?!
Hii inaonyesha anavyopenda ukubwa, lakini apewe sio kugombea.
Hata promosheni zinafuata taratibu, yani alitaka ateuliwe kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya pwani na taifa hahaha,
Kamanda katisha.
 
Sumae kuna kitu gani asichokijua huko hanang ccm walimfanya hiki alichofanyiwa pwani tatizo hajui watanzania ni walewale muda ndo tatizo hana jipya watu wanataka mabadiliko ya kweli wenye kumbukumbu tukumbusheni idadi ya kura alizopata akiwa hanang na mery nagu na za pwani polepole na nape nisaidieni takwimu zipo ccm mnaficha za nini
 
KUNA KILA DALILI NA KUNA KILA AINA YA USHAHIDI KUWA MBOWE ANAHUSIKA KATIKA KUPIGWA RISASI KWA MH TUNDU LISU.SERIKALI KAMATENI MBOWE NA MUANZE KUMSHUGHULIKIA MARA MOJA BILA TASHWISHWI NA BILA KUPEPESA MACHO.

Kama mlitarajia hiyo propaganda nyepesi ya Sumaye ndio mtatuondoa kwenye ukweli basi mmechemsha. Hilo shambulio la Lisu liko wazi hata Lissu mkimpa hela aseme ni Mbowe hawezi kugeuza ukweli.
 
Ni kawaida sana...

Mbona hata aliyepo madarakani ana kauli a kujimwambafai sana...


Cc: mahondaw
 
Kama unadhani kauli hiyo ni kutishia basi KAONJE HIYO SUMU KWA ULIMI hafla uje kutupa mrejesho baada ya masaa 24

Ninashangaa chama kinachojiita cha ki-demokrasia, kiongozi wao mkuu anatishia wenzake kwamba wasionje sumu kwa ulimi linapokuja suala la kugusa maslahi yake ndani ya chama.

Ghafla maswali machache yanaibuka:

  • Hicho kikao kilikuwa cha maadui ama ndugu zake katika chama? Kama ni wanachama wenzake, lugha yake kwa adui inakuaje?
  • Kama anafikia kusema hayo wakati hana dola vipi akipata usukani wa vyombo vyote vya dola?
  • Kama anatishia yeyote anayesogelea nafasi yake ambayo ni ndogo tu ya uongozi wa chama, vipi akipewa UAMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YOTE NCHINI?
  • hawa sio wale wanaopiga kelele kila siku kwamba chama tawala hakina demokrasia, wao wanaonesha asubuhi ipi kama mfano wa kuigwa? mbona kwao ni usiku linapokuja suala la uhuru wa kuomba nafasi yoyote ndani ya chama?
  • Hawa sio wale tunaosema ni mbadala wa chama tawala, sasa mbona ni dead-brain katika tabia asili za kidemokrasia?

Kuukubali upinzani Tanzania kwa sasa ni janga ambalo sio tu litapelekea kwenye siasa za kikanda na kikabila, bali zitaua kabisa spirit ya umoja na maendeleo kwa Taifa letu.

Heri tubaki na CCM sababu licha ya mapungufu, wana msamiati wa maendeleo, umoja na amani kwenye kutamka na kutekeleza wanayoamini.
 
u are attacking him kama yeye na unajipofusha kuwa chama kina mwenyewe.

Of which mimi nawewe tunabaki walamba viatu vya Magu na Mbowe...

Hahaha sasa alitaka kuwa mwenyekiti kwa nguvu?!
Anasema alitaka kuleta demokrasia, kutoka wapi?!
Hii inaonyesha anavyopenda ukubwa, lakini apewe sio kugombea.
Hata promosheni zinafuata taratibu, yani alitaka ateuliwe kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya pwani na taifa hahaha,
Kamanda katisha.
 
MBOWE KACHAGUA BIASHARA YAKE KUA NI SIASA,SO UKIINGILIA TU BIASHARA YAKE URAIMBA HALELUYA.


[emoji4][emoji4][emoji4]


anayofanya mbowe kwa sasa ni kama alivyokua anafanya MFALME JUHA.
Makazi na na ofisi za mfalme Juha zimehamia Dodoma
 
u are attacking him kama yeye na unajipofusha kuwa chama kina mwenyewe.

Of which mimi nawewe tunabaki walamba viatu vya Magu na Mbowe...
Hahaha sija mu attack yeye, ila nimejaribu kueleza nilichokiona kwenye hotuba alipokuwa anaisoma
u are attacking him kama yeye na unajipofusha kuwa chama kina mwenyewe.

Of which mimi nawewe tunabaki walamba viatu vya Magu na Mbowe...
HAPANA siku mu attack hayo maneno yake. Alitaka vyeo, halafu anasema hakutaka vyeo, how?!
Kakosa vyeo akaona hawezi ku tekekeleza adhima yake akakimbia.
 
bado ni udhaifu...

kwahivyo church wanahubiri kama ni mabaya sio mungu peke yake.. hata shetanj anafanyaga?

The moment chadema wanakosea mkikosolewa jibu hata ccm wanakosea... why do we have chadema then?

Hakuna logic hapo..
Huko kanisani shetani anahubiriwa sio kwasababu watu wanataka kumjua shetani, bali hayo masomo ya kumjua Mungu hakuna uwezekano wa kutomtaja shetani. Unawezaje kuuongelea kilio cha Sumaye dhidi ya cdm bila kuitaja ccm?
 
bado ni udhaifu...

kwahivyo church wanahubiri kama ni mabaya sio mungu peke yake.. hata shetanj anafanyaga?

The moment chadema wanakosea mkikosolewa jibu hata ccm wanakosea... why do we have chadema then?

Hakuna logic hapo..

Tafuta popote nilipowahi kutoa utetezi kwamba cdm wakifanya kosa ni sawa kisa ccm pia hufanya kosa kama hilo. Huwa sitoagi utetezi wa kidhaifu hivyo. You are out of context sir.
 
Sasa mwanaume mzima unaitisha vyombo vya habari unasema umeambiwa sumu hailambwi kisha unajitoa kwenye chama, angeambiwa alambe sumu si angehama nchi? Mngemuuliza Sumaye toka amekwenda cdm amefungua matawi mangapi ya cdm mpaka autake uwenyekiti wa cdm? Mtu anasema hana tamaa ya madaraka lakini ndani ya miaka minne anataka uwenyekiti, kama sio wendawazimu ni nini?

Lile kosa alilolifanya Mbowe la kumpa nafasi yule mzee mwingine tapeli toka ccm, kugombea urais mpaka saa bado tuna hasira nalo, saa hii huu mzigo mwingine nao unataka uwenyekiti, ili iweje kwa mfano? Mnaweza kupiga propaganda mtakavyo lakini hakuna yoyote anayemtaka Sumaye. Sio wote tunamfagilia Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm, lakini hatuko tayari kuona takataka yoyote toka ccm inapewa madaraka makubwa ndani ya cdm. Wao warudi ccm wakaunge mkono juhudi za Magufuli.

Mkuu binafsi naona upinzani unaenda kuwa imara sasa maana kwa hali hii wale wasaka fursa na maslahi hawawezi kuwepo upinzani na kukubali kupigika na kuumiza kichwa..

Mbowe anahitajika sana pale maana kile kiti ndio target ya CCM kuua upinzani hivyo hakihitaji mtu legelege, mwenye njaa, msaka maslahi na fursa.. Mapema sana kwa Mbowe kuachia mtu kile kiti..
 
Mkuu binafsi naona upinzani unaenda kuwa imara sasa maana kwa hali hii wale wasaka fursa na maslahi hawawezi kuwepo upinzani na kukubali kupigika na kuumiza kichwa..

Mbowe anahitajika sana pale maana kile kiti ndio target ya CCM kuua upinzani hivyo hakihitaji mtu legelege, mwenye njaa, msaka maslahi na fursa.. Mapema sana kwa Mbowe kuachia mtu kile kiti..

Mkuu umeongea madini matupu, ila hapo mstari wa mwisho umemalizia katika jambo nisiloliamini. Kama ni kujenga upinzani imara, sioni ni kwa vipi mtu mwenye muda mrefu madarakani kuwa sehemu ya huo uimara. Siamini kabisa katika uimara wa kiongozi kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi.
 
Mkuu umeongea madini matupu, ila hapo mstari wa mwisho umemalizia katika jambo nisiloliamini. Kama ni kujenga upinzani imara, sioni ni kwa vipi mtu mwenye muda mrefu madarakani kuwa sehemu ya huo uimara. Siamini kabisa katika uimara wa kiongozi kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi.

Mkuu moja ya silaha wanayoitumia kudhoofisha upinzani miaka yote ni pamoja na kupandikiza mamluki kwenye nyadhifa za juu za uongozi ili kuvuruga mambo hasa pale upinzani unapokuwa tishio..

Mbinu nyingine ya CCM ni kuhakikisha wanaitumia dola kutisha viongozi wa upinzani ikiwa ni pamoja na kukata mianya yao ya kuingiza fedha, kupandikiza kashfa ili kuwachafua kwenye jamii, kubambikiza kesi ili kuwanyima uhuru nk..

Kuwa kiongozi kwenye upinzani unahitaji uwe na uwezo kifedha kulisha familia na ndugu zako, kusomesha watoto wako, unahitajika pia kuwa na Afya njema kukabiliana na mikikimikiki, uwe unaakili za kimjini mjini, uwe mafia kiaina, usiwe mnafiki, usiwe mtu wa kuyumbayumba, uwe na elimu ya wastani, uwe jasiri.. SIASA ZA AFRICA ZINAHITAJI WATU WA HIVYO NA KWA MBOWE SINA SHAKA...
 
Tukuombe msamaha ww au Dr. Slaa nyie kama nani? Kosa la kumpokea Lowassa tuko tuliopiga kelele toka siku ya kwanza mpaka juzi aliporudi ccm, na huyo Mbowe tunampa ukweli wake kuwa pale alichemsha na sasa akae kushoto kwenye cheo cha uenyekiti. Na hakuna popote tulipowahi kupongeza upuuzi ule wa kumpokea Lowassa. Lakini hata hivyo Mabadiliko ya kweli ulikuwa unasubiri uletewe na cdm tu? Ungeweza kuanzisha chama chako ww na Dr. Slaa mkaleta hayo mabadiliko ya kweli. Kumbuka Slaa hakufukuzwa na yoyote bali aliondoka kwa kuzira, japo wengi hutukuafiki kukatwa kwake kwani alikuwa mgombea sahihi wa cdm.
Anazungusha maneno tu, anafikiri tumesahau kuwa angegombea Slaa wangeendeleza maneno ya kashfa za kila aina waliyokuwa wanampa. Ndiyo maana mimi nina uhakika kuwa siasa zetu ndizo zinaharibu nchi hii, mtu anajiaminisha jambo (of course kwa maslahi binafsi) halafu anapaza sauti kuwalazimisha wengine waamini hivyo. Mwananchi wa kawaida amefanywa kama jiwe la kuvukia.
 
Back
Top Bottom