Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,107
- 1,012
Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
Ni kutojitambua na watu wa aina hiyo ni wengi sana hata humu JF, nadhani unajionea wanavyojibu thrd hii. Hawajui kwamba kuchaguliwa ni ushawishi na ukishasema kuna wajinga, hata kama ni kweli ujue hizo kura umezikosa.Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
Ni hapo tuu ndipo Chadema, viongozi wake, wanachama wake na manazi wa Chadema they got it wrong, hawana uwezo wa kutafakari na kuchukua hatua!.Acha uongo! Wenye kujielewa wawe msitari mmoja na malaya kivp yani.
Umemaliza kila kitu Pascal!Ni hapo tuu ndipo Chadema, viongozi wake, wanachama wake na manazi wa Chadema they got it wrong, hawana uwezo wa kutafakari na kuchukua hatua!.
Tangu ule waraka wa mabadiliko, ulikuwa na hoja za msingi sana, Chadema haina watu wenye uwezo huo.
Kati ya wanaondoka Chadema, ni kweli kuna malaya wa kisiasa ambao wanaondoka kwa umalaya malaya baada ya kutongozwa, lakini pia kuna wanaoondoka Chadema kwa kujitambua. Hawa wanaoondoka Chadema kwa kujitambua, kwanza huwaaga rasmi na kuwaambia makosa yenu, mmoja wao ni Dr. Slaa, mpaka sasa hajajiunga CCM, labda awe amerudi kwa siri. Na baada ya kuwaeleza ukweli, hutakaa uwasikie wakiibeza tena Chadema kwa lolote.
Mfano Lawrence Masha alipoondoka, aliwaandikia barua rasmi ya kuaga na akaeleza hoja zake, nami nikawasisitiza humu
PCHADEMA ni sikio la kufa? Iambiwe vipi ili isikie? Masha ana hoja za msingi, zisikilizwe, zizingatiwe, zisipuuzwe!
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali kuhusu Chadema, kuwa ni sikio la kufa, katika safari ya kuelekea kushika dola, Chadema kinafanya makosa, hivyo kinashindwa kushika dola, wako watu wenye uono, huwa wanakiambia Chadema makosa yake na kwa nini hakishiki dola, lakini Chadema hakisikii, kinaweka...www.jamiiforums.com
Kama ni wajinga kwa nini wali wapitisha kubeba bendera ya CDM kwenye uchaguzi? Kauli hii haiendani na hadhi ya Mh Mbilinyi ana sifa za utendaji kazi jumuishi. Kauli hii itatumiwa kuharibu sifa yake nzuri. Kama hao madiwani 11 kila mmoja akashawishi wapiga 50 kutompigia kura Mh Mbilinyi, atapoteza kura 550. Yuko tayari kuzipoteza kwa kauli iliyokosa taswira ya uongozi? Akitoa kauli zingine 10 kama hiyo atakuwa amekwaza na kupoteza wapiga kura 5,500. Kwa kifupi wewe ni kiongozi kauli zako zitakubeba au kukuangisha. Bado mapema basilicaNimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
Sasa kwa nini mnawapa vyeo watu wajinga wajinga?Hilo la kwamba ni wajinga wajinga wala halihitaji mjadala mpana wa kitaifa.
Wewe siyo Kiongozi!Na Mimi nakazia ni Malaya wajinga kabisa
Sio wajinga tu,bali ni zaidi ya wajinga.
Na kama matokeo wanasaidia kupunguza ‘majuha’ kwenye vyama vya upinzani!Binadamu anayekubali kugeuzwa geuzwa kama chapati na kufanywa bidhaa huyo ni juha. CCM inaongeza majuha kwenye chama chao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu na pale ccm walipowafananisha wale waliokuwa wanahamia Upinzani na Oil chafu huo haukuwa Uhuni ?.Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
Ni wazi kwamba sio tu wajinga wajinga bali wapumbavu na malaya wa kisiasaNimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!