Kauli ya Mo Dewji juu ya Rais Samia ni mtaji mkubwa kwa Tanzania

Makinikia yanasafirishwa nje Kama kawaida?
 
Hoja ya msingi ni ile inayohusu utawala wa sheria na wananchi kuweza kusimama kidete na kumwajibisha binadamu yeyote nchini anayevunja Katiba inayompa madaraka na sheria zitokanazo na Katiba iliyopo. Hayo ndiyo mazingira bora ya uwekezaji ambayo Walimwengu wanajua; na siyo sura ya mtu. Hivi kweli wote tunaishi dunia moja hii au kuna watu wanajitoa ufahamu !?

Sent from my ONEPLUS A5000 using JamiiForums mobile app
 

dada yangu huwajui matajiri sasa hivi wapo free wanaiba wanavyoweza biashara zote haramu zimerudi kuliko awamu zoote duniani. kwa sasa hivi hakuna tajiri atakaeponda wote watamsifia mamy, ona baharesa alikuwa anapataka magogoni akanyimwa awamu zilizopita naona kuna figisufigisu kafanya sasa kaingia anahudumia mwisho atamiliki yeye
 
Kingereza sio mafanikio, wabongo bado tuko vibaya sana kwenye thinking.


.... ....Mo Dewji, tajiri namba moja Tanzania na mbali ya hayo, ni moja kati ya hayo ni mtu ambaye amewekeza sana Tanzania.......



Basi hapa uliandika ujinga
 
Sawa tumekusikia,Ila mwambie Mo aache kutengeneza bidhaa hafifu, sabuni ya unga yamoto na ikufulia nguo zinapauka😁😁
 
Kijana wa Tanzania anayesubiri wawekezaji waje wamletee maendeleo. Hafikiri lingine lolote, ila wawekezaji waje, wasipokuja hana matumaini na maisha yake kabisa!

Hana mawazo mengine kabisa nje ya kupata maendeleo kutokana na uwekezaji.

'Mentality'ya ajabu sana hii. Hili taifa tunaliingiza katika utegemezi usiokuwa na kikomo.

Tahadhari, kama wewe ni msomaji mwenye upeo mdogo: Sijaandika popote kuwa uwekezaji usiwepo.

N.B. Kiingereza cha malkia hapa kimewekwa pembeni?
 
Mirembe waongeze wodi zingine, Vichaa wanazidi mtaani.
 
Wewe hujui watu wanaenda na upepo?
Ijue Tanzania na watanzania.
Kila Rais anasifiwa akiwa madarakani, akitoka, waliokua wanamsifia wanahamia kwa mpya.
Hivi wakati wa Jiwe kuna mtu mwenye akili timamu aliwahi msifia?
 
Hivi kwanini msisitizo wa wawekezaji wa nje hauendi sambamba na msisitizo wa wawekezaji wa ndani?
Kwa sababu wawekezaji wa nje watakuja lkn faida itakuwa inarudi kwao. Capital tu ndio itabaki Tanzania. Na wameruhusiwa kuja na wafanyakazi wao.
 
Rais Samia ameifanya imekuwa smooth na uwekezaji umekuwa zaidi. Tanzania ina more favorable investment environment kuliko Taifa lolote EA, sasa we endelea kula upupu kudhani kwamba katiba inaleta wawekezaji.
Na mikataba iwe wazi wananchi waione na kutoa maoni yao
 
Sijui ni kwamba wanajifanya hawaelewi hili au ni kweli hawaelewi.
Wewe hujui watu wanaenda na upepo?
Ijue Tanzania na watanzania.
Kila Rais anasifiwa akiwa madarakani, akitoka, waliokua wanamsifia wanahamia kwa mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…