Kauli ya Mo Dewji juu ya Rais Samia ni mtaji mkubwa kwa Tanzania

Nimekuuliza kwanini amteke Mo na sio tajiri mwengine? Ukasema nimuulize aliyemteka ambaye mie sina ushahidi wa kwamba huyo mtu uliyemtuhumu ndio kweli alimteka hadi aweze kujibu kwanini alimteka Mo.
Kwani ni wapi iliwahi kuthibitika kwamba Mo alitekwa na JPM?
 
Umekimbia huko Twitter unakuja kuleta maneno yako huku, ukae kwa kutulia binti.
Kwani kuna mipaka ya kuwa katika mtandao wowote ule wa kijamii? Acheni hayo mambo, sidhani kwamba ni sawa kutamka maneno uliyotamka. Niko hadi Linkedn kama hujui na nakiwasha kama kawaida.
 
Kwani ujui kuwa waarabu mafisadi wanajambo lao ......kwa kumtumia sa100 hadi sasa team msoga imeanza kuvurugana na team sultani...japo ni kwambali
Waarabu gani tena? au ulitaka kusema kwamba Mo ni Mwarabu? heheh
 
Waarabu gani tena? au ulitaka kusema kwamba Mo ni Mwarabu? heheh
Sultan unawajua ...ni wale masultan wenye kumchukia Nyerere kuliko vitu vyote ndiyo walio zuia hotuba za nyerere zisisikike popote tanzania ....sasa kama unayo akili utawajua
 
Nashauri aondoke boti zake watu waogelee mpaka ng'ambo ya pili
 
Kumbe Mo naye ni msanii ....!! Yaani Royal Tour tayari inaleta watalii .... seriously. Hivi ni watalii wangapi wanapanga safari ndani ya miezi mitatu?? Mpaka sasa hiyo movie ya Maza huko Amazon ni watu wangapi ambao wameiangalia mpaka sasa ....... Hii precedence aliyotuachia JPM ya kusifia kila kitu cha Mwenyekiti inatupeleka kubaya na sijui tutamalizana nayo kivipi!!
 
Wanawaza kwa kutumia tumbo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…