Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nyie mnahukumu kwa upande mmoja?Huyo kauli yako mbona hutaki kuiweka kinyume na wewe?Unajuaje kama walimpigia kumuuliza kama wakirushe au la, na yeye akawaambia warushe tu??
Mkuu, usihukumu bila kujua upande wa pili.
msije mkamtupia moshi kama ule wa mtwaraHuyu jamaa sijui ana ushawishi gani ndani ya ccm! Maana anajiona yuko juu ya kila kitu, ni mjivuni na amejawa na dharau sana!!
"Nyie" ukiwa na maana gani? Labda ungesema "wewe" yaani mimi.Mbona nyie mnahukumu kwa upande mmoja?Huyo kauli yako mbona hutaki kuiweka kinyume na wewe?
Kamchafua Rais wa nchi yetu na nchi jirani, tena ambako Rais ametoka kufanya ziara juzi tu!Waziri anakwenda katika Tv kulichafua Taifa na kumchafua Rais wa Nchi?
Jamaa yuko arrogant sana. Anadhani PhD inakufanya ujue kila kitu. Abadirike.Mh Rais Mama Samia suluhu Hassan bado hujastuka tu kuwa mtu huyu ni hatari katika utawala wako? Waziri wako anadharau amri ya Rais ambayo jana tu asubuhi umemuagiza yeye mwenyewe atwambie kwamba umesikia manung'uniko yetu na kwamba umeziagiza wizara zikae zishughulikie malalamiko yetu wananchi, Kisha siku hiyo hiyo jioni katika kipindi cha tv anazungumza haya?...
PhD yenyewe itakuwa ni ya kununua tu!! Angekuwa na PhD halali asingekuwa Mjivuni, mropokaji, na mweupe kichwani!Jamaa yuko arrogant sana. Anadhani PhD inakufanya ujue kila kitu. Abadirike.
Wewe na Yerico"Nyie" ukiwa na maana gani? Labda ungesema "wewe" yaani mimi.
Ameshaanza kumhujuma taratibu wakishirikiana na mpangoMwigulu anajijenga kuutaka uraisi kwa kuhujumu Mama. He is going to hit Mama when she least expect!
Ni mjinga sn huyu jamaaPhD yenyewe itakuwa ni ya kununua tu!! Angekuwa na PhD halali asingekuwa Mjivuni, mropokaji, na mweupe kichwani!
Anaweza kupita naye yeye mwenyeweMtu anaejua mambo ya miili ya kwenye viroba ni hatari kwa taifa na kwa rais pia.
Huyu mtu ni hatari zaidi ndio maana maza kamuacha kiaina.
Huyu ni kama makonda kwa magu.
Ni ngumu kumpiga chini maana anajua mipango mingi miovu!
Mh Rais Mama Samia suluhu Hassan bado hujastuka tu kuwa mtu huyu ni hatari katika utawala wako? Waziri wako anadharau amri ya Rais ambayo jana tu asubuhi umemuagiza yeye mwenyewe atwambie kwamba umesikia manung'uniko yetu na kwamba umeziagiza wizara zikae zishughulikie malalamiko yetu wananchi, Kisha siku hiyo hiyo jioni katika kipindi cha tv anazungumza haya?...
Tuliambiwa tutakula nyasi ili ndege ya Rais inunuliwe - Basi Mramba.1)Kauli ya waziri Mwigulu kuwa hii sheria ya miamala ishasainiwa bungeni kwa hivo hawezi kubadilishwa. Je Raisi hawezi kwiibadilisha?...