jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Tapika Mwana ulinzi upo usijali!!Samahani Yericko hii post umeiweka na kule facebook ili nikakomentie kule? Sitaki ban za JF na idd yote hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tapika Mwana ulinzi upo usijali!!Samahani Yericko hii post umeiweka na kule facebook ili nikakomentie kule? Sitaki ban za JF na idd yote hii
Comment hapa hapa, huyo waziri anademkaSamahani Yericko hii post umeiweka na kule facebook ili nikakomentie kule? Sitaki ban za JF na idd yote hii
Huyu Waziri hafahamu Sheria za nchi,anavaa tai ya Bendera ya Taifa la JMT kila uchao lakini hana huruma/mapenzi na Watanzania wenzake.Ana mamlaka ya ku-Deport Watanzania kwenda Burundi?Mh Rais Mama Samia suluhu Hassan bado hujastuka tu kuwa mtu huyu ni hatari katika utawala wako? Waziri wako anadharau amri ya Rais ambayo jana tu asubuhi umemuagiza yeye mwenyewe atwambie kwamba umesikia manung'uniko yetu na kwamba umeziagiza wizara zikae zishughulikie malalamiko yetu wananchi, Kisha siku hiyo hiyo jioni katika kipindi cha tv anazungumza haya?....
Hana bahati yoyote nivile anajua kuramba makalio ya wateuziKama Kuna watu wenye bahati juu ya uso wa nchi basi ni huyu Mwigulu Nchemba.
Mie sijawahi kabisa kuona uelewa wa mwigulu. Iwe ni siasa, uzalendo ambao Kila mara anavaa bendera, na hata kujieleza tu. Siasa zake siyo za kiitikadi( ideology Bali za fursa) ndo maana baada ya kuwa shabiki wa hayati Magufuli alimgeuka Kwa kukandia utawala wake pindi tu alipokufa...
Kwanini arekebisheYaani umeshindwa kumshauri mwenyekiti wako leo hii unataka kumshauri mwenyekiti wa ccm!! Acha drama. Mwigulu atarekebisha kwa kufuata procedures.
Unauliza au unapigia jibu mstari?😲😲Mkuu Tindo ni wapi Komredi Dr.Mwigulu amemdharau mh.Rais SSH?!!
Hii nchi bana! Kila mtu ana sharubu.Mh Rais Mama Samia suluhu Hassan bado hujastuka tu kuwa mtu huyu ni hatari katika utawala wako? Waziri wako anadharau amri ya Rais ambayo jana tu asubuhi umemuagiza yeye mwenyewe atwambie kwamba umesikia manung'uniko yetu na kwamba umeziagiza wizara zikae zishughulikie malalamiko yetu wananchi, Kisha siku hiyo hiyo jioni katika kipindi cha tv anazungumza haya?...
So what?Hiyo mipango miovu anayoijua ni dhidi ya nani?CCM mnajitetea au mnajichochea kuni wenyewe kwa kauli zetu.Yaani Mwigulu yupo pale kama hongo asitoe siri za mipango ovu ya nani?Mtu anaejua mambo ya miili ya kwenye viroba ni hatari kwa taifa na kwa rais pia
Huyu mtu ni hatari zaidi ndio maana maza kamuacha kiaina
Huyu ni kama makonda kwa magu
Ni ngumu kumpiga chini maana anajua mipango mingi miovu!
Eti kodi/tozo ya uzalendo!Hovyo kabisa.CCM na baraza lao la mawaziri Walishamdharau Mama, Ndio Maana huyu Mashamba Anatuambia Tuamie Burudi Kama Hatukubaliane na Utopolo wake wa Kodi za huduma za Kielectronics.
Yes, alitakiwa awaambie wasirushe hicho kipindi kwa sababu kuna taarifa kwa wananchi alizoongea kupitia vyombo vya habari kuhusu tozo. Lakini kuacha kipindi kilichorekodiwa kiende hewani, ni dharau kubwa kwa wananchi na kwa Rais aliyempa maagizo aliyoyasema mchana kabla ya kipindi hiki kuruka hewani jioni.Mleta hoja iko hivi.
Kipindi kilichorushwa Jana jioni na ITV nitukio ambalo alikwisha rekodiwa kabla ya maelekezo ya Rais na speech yake ya mchana...
Mwigulu nufaika la ccm, lishashiba pesa, yale maesta bus yote linaachaje kuwa na kiburi.Mh Rais Mama Samia suluhu Hassan bado hujastuka tu kuwa mtu huyu ni hatari katika utawala wako? Waziri wako anadharau amri ya Rais ambayo jana tu asubuhi umemuagiza yeye mwenyewe atwambie kwamba umesikia manung'uniko yetu na kwamba umeziagiza wizara zikae zishughulikie malalamiko yetu wananchi, Kisha siku hiyo hiyo jioni katika kipindi cha tv anazungumza haya?
Idara ya Usalama wa Taifa Tanzania mko wapi mnaacha mtu kama huyu Waziri anakwenda katika Tv kulichafua Taifa na kumchafua Rais wa Nchi? Miiko ya utumishi wa umma na miiko ya viongozi wa Kiserikali juu ya kwenda katika vyombo vya habari iko wapi? Waziri anaongea kwa dharau kuliko hata kibri walichokuwa nacho Makonda, Mnyeti na Sabaya enzi za udikteta?
Waziri anadiriki kusema WANANCHI ambao ndio msingi wa uwepo wa Serikali wanaolalamika tozo hizi wahame nchi waende Burundi? Hivi Mwigulu anajua athari za kidplomasia kusema wananchi wanaolalamika waende Burundi? Kwamba Burundi ni eneo la kishenzi ambalo halina handhi ya utu hivyo yeyote anayolalamika, anayenung'unika au kufedheheka adhabu yake ni kupelekwa Burundi?
Mama umetoka juzi Burundi katika hatua ya kujenga uhusiano wa kidplomasia na nchi washirika na majirani, Kauli hii ya Waziri ni hatari na inadhoofisha juhudi zako zote za kujenga taifa na ushirikiano.
Mwigulu anatakiwa kuondoka katika ofisi ya umma na Serikali ya Tanzania iombe radhi matamshi haya kwamba si msimamo wa serikali bali wa mtu binafsi. Fikiria kesho waziri wa Burundi atangaze kuwa wanaotaka ushoga wote waende Tanzania huko ndio watakuwa mashoga wenye faida, Au Rwanda iseme majambazi wote waende Tanzania huko ndio watafanya ujambazi kwa amani, Au Somali iseme Magaidi wote waende Tanzania huko ndio watafanya ugaidi kwa amani. Nini matokeo ya kauli hizo?
Mama tunakutahadharisha kwa kila kitu juu ya mtu huyu na kundi lake, Maneno huumba, tumeshazungumza mara sita, amini mara ya saba neno litatimia katika umbo kamili. Mwigulu ni hatari kwako Mama na ni hatari kwa usalama wa Tanzania.
View attachment 1860881
Angalizo makini na ushauri mzuri unaopaswa kutekelezwa haraka, hususan kwa Nchemba kujiuzulu au kutenguliwa
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Mwiguru na Makonda wote vichwani kumejaa majivuno na dharau iliyopitiliza
Akae benchi akachunge mifugoKuna kauli alitoa eti nisikilize mimi Dr nakuakikishia hii kauli ni yamtu ambaye anajifanya kujua kila kitu na niyakibabe sn
Kwa sababu alijua kina hoja za tozo ambazo tayari ameshapewa maagizo na boss wake (Rais), alitakiwa asitishe kipindi hiki kilichorekodiwa kisiruke hewani, ili hoja alizoongea mchana zibaki kuwa final ili kupisha kikao kilichoitishwa na waziri mkuu kufanyika leo kifanyike na utekelezaji wa maagizo ya Rais ufanyike. Kwa ujumla hicho kipindi kilitakiwa kife kifo cha asili (natural death).Kipindi kiliandaliwa kabla ya jana asubuhi.
Mazungumzo ya jana hayahusiani na kipindi maana kipindi hakikua live jana.
Vitu vingine hutakiwi kua na akili kubwa kujua hilo.