Kauli ya Mwigulu kuhusu Burundi ni hatari kwa Usalama wa Taifa. Serikali ijitenge nae!

Kauli ya Mwigulu kuhusu Burundi ni hatari kwa Usalama wa Taifa. Serikali ijitenge nae!

Kama Kuna watu wenye bahati juu ya uso wa nchi basi ni huyu Mwigulu Nchemba.
Mie sijawahi kabisa kuona uelewa wa mwigulu. Iwe ni siasa, uzalendo ambao Kila mara anavaa bendera, na hata kujieleza tu. Siasa zake siyo za kiitikadi( ideology Bali za fursa) ndo maana baada ya kuwa shabiki wa hayati Magufuli alimgeuka Kwa kukandia utawala wake pindi tu alipokufa.

Humuoni Mwigulu akiwa a real stateman Bali jazba za uccm TU. Ana tofauti na Makamba ambaye pamoja na uccm uusema walau ukweli hata kwa mbali. Mwigulu hajawahi, ni kusifia TU aliyeko madarakani Ili akumbukwe. Hata hawezi kunyamaza kimya dhidi ya kutetea vitu hasi.

Huwa simuelewi hasa linapokuja suala la ku command lugha. Anaongea kiswahili ambacho hakichambuki na hakiko wazi.
Hana msamiati wa kutosha wa kiswahili hivyo Kuna wakati huwa simuelewi ukiachia kupigiwa makofi na hasa bungeni hata mahali ambapo haeleweki.

Nakiri jamaa ana bahati ya kuzaliwa nayo, vinginevyo ni mtu mediocre ktk mambo mengi
 
Comment zingine kweli zinachosha, ati anamchafua Rais, hivi anamchfuaje Rais ambaye wala hakuchaguliwa katoka ileile system chafu? Si ndiye alisema hata mkipiga kula upinzani sisi tutatawala? Ana usafi gani huyo?
Mkuu
Hakuchaguliwa kivipi?
Achana na yote hayo
Huyu sasa ni rais na haijalishi kaingiaje
 
Kama Kuna watu wenye bahati juu ya uso wa nchi basi ni huyu Mwigulu Nchemba.
Mie sijawahi kabisa kuona uelewa wa mwigulu. Iwe ni siasa, uzalendo ambao Kila mara anavaa bendera, na hata kujieleza tu. Siasa zake siyo za kiitikadi( ideology Bali za fursa) ndo maana baada ya kuwa shabiki wa hayati Magufuli alimgeuka Kwa kukandia utawala wake pindi tu alipokufa....
Kweli huyu jamaa ana bahati ya kuzaliwa.

sioni akiendana na nafasi anazoshika
 
Kauli aliyoitoa Mgulu Jana kwenye kipindi cha Dakika 45 cha ITV ni ya kifedhuli, Kijinga na haivumiliki.

Hii ni dharau kubwa kwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan, nidharau kwa wananchi, naamini hata enzi za mwendazake kamwe asingevumilia kauli hii ya kilevi.

Ni kauli ambayo mtu yoyote timamu hawezi kuivumilia, Wananchi wana haki ya kuhoji na kitoa maoni yao kwa jambo lolote ambalo linagusa maisha yao ya kila siku.

Rais ni mwakilishi wa juu kabisa wa mwananchi, anapoona wananchi waliomchaguwa wanadharauliwa na mteuzi wake ni sawa sawa kabisa na kumdharau Rais Mwenyewe.

Hii imeonyesha jinsi gani mwigulu amefail kuongoza wizara ya fedha na hafai kukali hicho kiti hata kwa masaa 24 yajayo.

Ni mtake Mama yetu Mpendwa ampige chini fasta, Kuendelea kumbakiza hapo wananchi tutajua ile kauli ina baraka zako.
 
Mh Rais Mama Samia suluhu Hassan bado hujastuka tu kuwa mtu huyu ni hatari katika utawala wako? Waziri wako anadharau amri ya Rais ambayo jana tu asubuhi umemuagiza yeye mwenyewe atwambie kwamba umesikia manung'uniko yetu na kwamba umeziagiza wizara zikae zishughulikie malalamiko yetu wananchi, Kisha siku hiyo hiyo jioni katika kipindi cha tv anazungumza haya?....
CCM yote kwa ujumla imeoza, haina hadhi ya kuliongoza taifa! Watu kama Mwigulu, Ndugai etc hawafai hata kusafisha vyoo clubs, they are rotten, total rubbish kabisa
 
Mleta hoja iko hivi.
Kipindi kilichorushwa Jana jioni na ITV nitukio ambalo alikwisha rekodiwa kabla ya maelekezo ya Rais na speech yake ya mchana.

Tatizo la Mwigulu ni PhD mjinga.
Alijua kabisa kuwa hicho kipindi kitarushwa usiku nakinawatazamaji wengi.
Alishindwa kutumia akili ya mlevi kwenda ITV kusimamisha kipindi.
Hivyo basi,aliyoongea mchana nikama uchafu tu.

UWEZO WAKE WAKUPAMBANUA MAMBO NI MDOGO SANA.
 
Back
Top Bottom