Kauli ya Mzee Makamba ni kitisho kwa Rais na wengine wote ambao hawatakuwa wema "Kwao"

Kauli ya Mzee Makamba ni kitisho kwa Rais na wengine wote ambao hawatakuwa wema "Kwao"

Wewe tangu uanze kumsafisha huyu jini umepata nn?
Nimepata kugundua zaidi namna watu wa chini (wanyonge) wanavyoumia tangu JPM afariki, aliwatendea mengi mazuri ambayo ingechukua miaka zaidi ya 30 kutoka sasa kuja kutimia. Mfano ni ishu ya umeme maeneo ya Vijijini.
 
Hutokufa (nani alisema Rais atakufa? Je alishatishiwa na sasa anahakikishiwa kuwa asiwe na shaka hatokufa?)

Mtu mbaya kwa akina nani ndiye ambaye ataishi? Mtu mwema kwa akina nani ndiye wanachagua aishi?

Kauli hii si ndogo ni kauli ambayo anafikisha ujumbe kwa watu flani. Kuwa kuna watu au kikundi wanaweza amua Rais gani aishi na yupi afe. Na hili si jambo dogo hata kidogo. Tunaweza lichukulia kiwepesi ila ujumbe umefika kwa Sukuma Gang na wengineo.

Alichoniudhi ni kumtishia Rais. Kusema hutokufa.... Ni kumtishia Rais. Ni kauli ya mtu mwenye mamlaka ya kuamua mtu afe au asife.
Namkumbusha Mzee Makamba:
HEKIMA 10.

Hekima 1
Unaweza kuwa kiongozi mzuri bila kuanika madhaifu ya mtangulizi wako Rekebisha kwa kadri unavyoweza matendo yatasema yenyewe.

Hekima 2
Unaweza kueneza Imani yako bila kuisema vibaya Imani ya watu wengine. Elezea uzuri wa imani yako wakivutiwa watakuja wenyewe.

Hekima 3
Usitafute mafanikio kwa kumkosesha mwingine. Dunia haijawahi kuishiwa kitu cha kumhudumia kila mtu kwa sababu hata mwenye vingi akiondoka anaacha vyote.

Hekima 4
Mchawi akija kwako bila kuonekana usimuangamize kwa kuonekana. Ukifanya hivyo wewe ndio utakuwa mhalifu na yeye mwenye haki.

Hekima 5
Usifikiri kuwa, kile unachokijua ndio usahihi wa maisha ya watu. Binadamu wote ni wanafunzi siku zote mpaka wanapoondoka Duniani.

Hekima 6
Mama yako akikuficha Baba usimlaumu. Alichokibeba anajua akikishusha kwako huwezi kustahimili.

Hekima 7.
Ukipata nafasi ya kuongea, ongea machache. Hakuna mwenye maneno mengi yakakosa hila ndani yake.

Hekima 8
Usiifanye pesa ichukue nafasi ya uwepo wako katika matukio ya kijamii. Kuna siku jamii itatuma pesa kwenye tukio lako bila uwepo wake.

Hekima 9
Usipakue chakula kingi kwa sababu ya hisia za njaa kubwa. Ni heri kuongeza kuliko kubakiza na kutupa.

Hekima 10
Kila unapopanda ngazi ya maisha waheshimu unaowaacha chini. Hao ndio watakupokea wakati unashuka.
 
Mambo machache unayoyafahamu ni matokeo ya mengi usiyoyajua, Mzee kasema hata mama akiondoshwa kabla ya 2025 Mungu atatuletea mwingine…. mimi nimechukua hapo tu.
Wanategemea Mpango akishika URaisi watamchomekea makamu wake mwanamke kama walivyo mchomekea Magufuli, lakini naamini Mpango atamtumbua tu huyo pandikizi lao hawezi kukubali yatokee kama yalitokea kwa Magufuli kuzubaa kuto mtumbua Makamu wake
 
Hutokufa (nani alisema Rais atakufa? Je alishatishiwa na sasa anahakikishiwa kuwa asiwe na shaka hatokufa?)

Mtu mbaya kwa akina nani ndiye ambaye ataishi? Mtu mwema kwa akina nani ndiye wanachagua aishi?

Kauli hii si ndogo ni kauli ambayo anafikisha ujumbe kwa watu flani. Kuwa kuna watu au kikundi wanaweza amua Rais gani aishi na yupi afe. Na hili si jambo dogo hata kidogo. Tunaweza lichukulia kiwepesi ila ujumbe umefika kwa Sukuma Gang na wengineo.

Alichoniudhi ni kumtishia Rais. Kusema hutokufa.... Ni kumtishia Rais. Ni kauli ya mtu mwenye mamlaka ya kuamua mtu afe au asife.
Chizi umemuelewa vizuri sana, natamani waTz wote wangechukua tafsiri hii halafu tuanzie hapo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepata kugundua zaidi namna watu wa chini (wanyonge) wanavyoumia tangu JPM afariki, aliwatendea mengi mazuri ambayo ingechukua miaka zaidi ya 30 kutoka sasa kuja kutimia. Mfano ni ishu ya umeme maeneo ya Vijijini.
Acha uongo!

Jpm wako alikuwa anawadidimiza wanyonge kwenye umasikini wa kutupwa. Mazao yote yalikuwa yamekosa soko na kuporomoka bei kutokana na utawala wake mbaya.
 
Jiwe alikuwa mbaya kwa kila mtu.

Mzee Rugemarira
Kabendera
Tundu Lisu
Lwajabe
Ben Sa8
Tito Magoti
Azory Gwanda
Godbless Lema
Maizti za kwenye viriba ufukweni.
N.k


Hawa wote walimgeuka nani?

Magufuli hasafishiki. Kilichomuua ni dhambi zake. Ukiua unauawa. Imeandikwa "auawae kwa upanga hufa kwa upanga"

Yule dikteta mnaomtetea mna roho chafu
Wakati huo huyu tuliyenae alikuwa wapi?

Au tunamtenganisha kwa sababu tunafyonza asali?
 
Hivi vizee visiwababaishe kimoja kimeshachanganyikiwa kilikuwa kinaongea matope msibani chato, kile cha juzi hata nywele hazichaniki.vimejichokea njaa zinawatoa utu.soon mungu atawasaidia kwa kamoja kamoja.ni suala la muda tu.Vivumilieni.
 
Akipata mtu wa kumkumbusha juu ya umuhimu wa kutubu kile kitubio cha kutoka moyoni atasamehewa inategemea kama busara ya akilini mwake itampa muda wa kutafakari kwa kina juu ya kauli yake.

Mungu anasamehe hivyo na yeye Mzee Makamba anaweza kuingia katika kundi hilo.
Hasameheki nasema, na nitampigia simu mtoa msamaha asimsamehe.tuzee tuna laana utu.
 
Kwa ufupi timu msoga wakae pembeni watanzania wengi wamewachoka.

CCM ina shida lakini kwa sasa shida zaidi ni hao wazee...
 
Back
Top Bottom