Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
wafiraji na wafirwaji wote sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. hii ndio mauti ya pili. mwogopeni Mungu. na hii inajumuisha wote, wanawake wanaofirwa, wanaume wanaofirwa, na wanaume wanaofira wanaume na wanawake. hukumu ipo juu yenu.Mbona wafiraji unawapenda, iweje uwachukie wake zao? 😆
Unataka nikupe source nyingine. Hata ukikataa ndio hivyo jamaa ashapitishaCNN so ndio wanaajili mashoga kwanini wasipitoshe.
Kabisa gani katholiki liliwahi kuozesha watu wa jinsia mojaMnawaombea kwa kuwaozesha makanisani sio. Mna akili sana wazee wa kinyesi
Katoliki sio Kama dini nyingine kipngozi akisema inakuwa Sheria.Unataka nikupe source nyingine. Hata ukikataa ndio hivyo jamaa ashapitisha
kwa kifupi ni kwamba paoa wenu amezingua mno. kawavua nguo.Katoliki sio Kama dini nyingine kipngozi akisema inakuwa Sheria.
Reuters, rassia today wote wamewekaUnataka nikupe source nyingine. Hata ukikataa ndio hivyo jamaa ashapitisha
Bora hata dini nyingine. Papa akisema hilo limepita maana ndiye central figure. Huo ndio ukweli ukubali ukatae ndio tayariKatoliki sio Kama dini nyingine kipngozi akisema inakuwa Sheria.
Yaani comment zako zote umeweka ushabiki utafikili hili ni suala la siasa au mpira,, na hapo ukute umetoka kuzini na mke wa jirani yakokwa kifupi ni kwamba paoa wenu amezingua mno. kawavua nguo.
Siku ukiona wamefungisha ndoa ya jinsia moja ndo nitaaminikwa kifupi ni kwamba paoa wenu amezingua mno. kawavua nguo.
acha upumbavu bhn hivi n sanamu ndo zimekupumbaza au sasa nenda kwenye website ya vatican washaweka taarifa radmi....afu uje tena kivingne......UPOTOSHAJI JUU YA KAULI YA PAPA FRANCIS NA KANISA LA ROMAN CATHORIC KUHUSU NDOA ZA JINSIA MOJA NA TAARIFA ZA VYOMBO VYA HABARI
Na Mansour Jumanne (Senior Journalist )
Kumekuwa na upotoshaji mkubwa saana ,ambao umenukuliwa na Vyombo vingi vya habari vya ndani na nje kuhusu Kauli aliyoitoa Papa kiufupi jambo hili limepotoshwa na Vyombo vingi vya ndani na nje ya Tanzania kwa ufupi Papa aliulizwa swali na waandishi kuhusu watu wanaojihusisha na ndoa za jinsia moja kwa maana ya ushoga na usagaji.
Swali hilo aliulizwa alipokuwa na mkutano na vijana ambao umekuwa ni utaratibu wake.
Aliulizwa yapo Mataifa yamepitisha sheria ya kuwauwa watu wanaojihusisha na ushoga na usagaji na pia yapo makanisa na jamii zimewatenga na hawaruhusiwi hata kusogelea Kanisa.
Papa akajibu,Hatutakiwi kuwauwa wala kuwatenga na akasema,inapotokea watu wanaojihusisha na usagaji,ushoga na usenge wameenda Kanisani wasifukuzwe wala kuadhibiwa kwa kuuliwa bali ni kazi ya Kanisa kuwapokea na kuwaombea ili wabadilike na kumrejea mwenyezi Mungu.
Papa alisema hayo kutokana na baadhi ya mataifa kuchukua uamuzi wa kuwauwa na kuwatenga.
Akasema kazi ya Kanisa siyo kuwauwa na Kuwatenga bali kuwapokea na kuwaombea.
Hili suala sielewi linaleta mkanganyiko wapi?
1.Je ni kosa kuwaombea mashoga na wasagaji ili waongoke?
2.Watenda dhambi adhabu yao ni kuwauwa ama kuwasaidia watoke dhambini?
Kanisa Katoliki katika moja ya Dogma zake ni kutokubaliana na adhabu ya Kifo.
Pamoja na Mataifa mengi kupitisha adhabu ya kifo msimamo wa Kanisa Katoliki haujawahi kuunga mkono adhabu ya kifo,siyo kwa mashoga na wasagaji tu bali hata kwa watenda dhambi wengine wanaoadhibiwa kifo.
Kiufuli Taarifa hiyo haina effects yeyote. Halafu “Vatican policy ndo nini? The Roman Catholic Church haiongonzwi na policy. Vatican as a state kama Tanzania has its policy. We don’t have policies in Religious matters.
Pope anapotoa anapoongea issue nzito ambayo huleta mabadiliko ya kiulimwengu kwanza lazima asome kilichoandikwa, pili lazima akae kwenye kiti maalum au tunaita “ex cathedra” Mengine kwenye mahojiano mbalimbali is just an opinion
Still a Pope is like any other bishops. We call him “ First among the equal” Pope alone hawezi fanya mabadiliko pale anapojisikia na kama akijaribu basi “Curia” itafanyakazi yake. When I have time I will write about…”killing in God’s name.
Changamoto ambazo zinausumbua ulimwengu wa habari kwa sasa ni pamoja na...
Misinformation,Disinformation,Propaganda,Black Propaganda,White Propaganda,Grey Propaganda,Fake news,Wrong sources,Hate Speeches,Single source,Defamation,Sedition.
Ukisoma Waraka uliotoka Jumatatu hii ya tarehe 18.12.2023.
Umesisitiza,msimamo wa Kanisa Katoliki unabaki kuwa ndoa ni Kati ya mwanaume na mwanamke na hautabadilika.
Ila watu hawa walioanguka dhambini kwa kujihusisha na ndoa za jinsia moja wasiuliwe wala kufukuzwa wanapokwenda Kanisani.
Waraka unesisitiza makasisi kuwapa huduma watu hawa kwa kuwaombea waongoke.
Kanisa limeelekeza kutowatenga bali kuwapa huduma za kiroho kama wadhambi wengine na ikibidi waungame na kuacha dhambi ya ushoga na usagaji.
Nadhani mkanganyiko ni msimamo wa Kanisa wa..
1.Kutowauwa
0757449757
Mansour Jumanne
Senior Journalist
Tatizo waandishi wengi wa kisasa hawako imformed na hawafanyi utafiti. Kabla ya kuandika na kushabikia uzushi kama huo mwandishi anapaswa kujua taratibu za kanisa katoliki, kama papa anao uwezo wa kutoa uamuzi mkubwa kama huo kupitia mahojiano tu.View attachment 2847072vp cnn nao wamepotosha?
Labda wanafikiri dhambi ni ushoga na usagaji tu!!, Kama hata uongo, wizi, ukahaba na mengine maovu mengi basi tutawafukuza wote kanisani, daima tambua kanisa ni la wenye dhambi,UPOTOSHAJI JUU YA KAULI YA PAPA FRANCIS NA KANISA LA ROMAN CATHORIC KUHUSU NDOA ZA JINSIA MOJA NA TAARIFA ZA VYOMBO VYA HABARI
Na Mansour Jumanne (Senior Journalist )
Kumekuwa na upotoshaji mkubwa saana ,ambao umenukuliwa na Vyombo vingi vya habari vya ndani na nje kuhusu Kauli aliyoitoa Papa kiufupi jambo hili limepotoshwa na Vyombo vingi vya ndani na nje ya Tanzania kwa ufupi Papa aliulizwa swali na waandishi kuhusu watu wanaojihusisha na ndoa za jinsia moja kwa maana ya ushoga na usagaji.
Swali hilo aliulizwa alipokuwa na mkutano na vijana ambao umekuwa ni utaratibu wake.
Aliulizwa yapo Mataifa yamepitisha sheria ya kuwauwa watu wanaojihusisha na ushoga na usagaji na pia yapo makanisa na jamii zimewatenga na hawaruhusiwi hata kusogelea Kanisa.
Papa akajibu,Hatutakiwi kuwauwa wala kuwatenga na akasema,inapotokea watu wanaojihusisha na usagaji,ushoga na usenge wameenda Kanisani wasifukuzwe wala kuadhibiwa kwa kuuliwa bali ni kazi ya Kanisa kuwapokea na kuwaombea ili wabadilike na kumrejea mwenyezi Mungu.
Papa alisema hayo kutokana na baadhi ya mataifa kuchukua uamuzi wa kuwauwa na kuwatenga.
Akasema kazi ya Kanisa siyo kuwauwa na Kuwatenga bali kuwapokea na kuwaombea.
Hili suala sielewi linaleta mkanganyiko wapi?
1.Je ni kosa kuwaombea mashoga na wasagaji ili waongoke?
2.Watenda dhambi adhabu yao ni kuwauwa ama kuwasaidia watoke dhambini?
Kanisa Katoliki katika moja ya Dogma zake ni kutokubaliana na adhabu ya Kifo.
Pamoja na Mataifa mengi kupitisha adhabu ya kifo msimamo wa Kanisa Katoliki haujawahi kuunga mkono adhabu ya kifo,siyo kwa mashoga na wasagaji tu bali hata kwa watenda dhambi wengine wanaoadhibiwa kifo.
Kiufuli Taarifa hiyo haina effects yeyote. Halafu “Vatican policy ndo nini? The Roman Catholic Church haiongonzwi na policy. Vatican as a state kama Tanzania has its policy. We don’t have policies in Religious matters.
Pope anapotoa anapoongea issue nzito ambayo huleta mabadiliko ya kiulimwengu kwanza lazima asome kilichoandikwa, pili lazima akae kwenye kiti maalum au tunaita “ex cathedra” Mengine kwenye mahojiano mbalimbali is just an opinion
Still a Pope is like any other bishops. We call him “ First among the equal” Pope alone hawezi fanya mabadiliko pale anapojisikia na kama akijaribu basi “Curia” itafanyakazi yake. When I have time I will write about…”killing in God’s name.
Changamoto ambazo zinausumbua ulimwengu wa habari kwa sasa ni pamoja na...
Misinformation,Disinformation,Propaganda,Black Propaganda,White Propaganda,Grey Propaganda,Fake news,Wrong sources,Hate Speeches,Single source,Defamation,Sedition.
Ukisoma Waraka uliotoka Jumatatu hii ya tarehe 18.12.2023.
Umesisitiza,msimamo wa Kanisa Katoliki unabaki kuwa ndoa ni Kati ya mwanaume na mwanamke na hautabadilika.
Ila watu hawa walioanguka dhambini kwa kujihusisha na ndoa za jinsia moja wasiuliwe wala kufukuzwa wanapokwenda Kanisani.
Waraka unesisitiza makasisi kuwapa huduma watu hawa kwa kuwaombea waongoke.
Kanisa limeelekeza kutowatenga bali kuwapa huduma za kiroho kama wadhambi wengine na ikibidi waungame na kuacha dhambi ya ushoga na usagaji.
Nadhani mkanganyiko ni msimamo wa Kanisa wa..
1.Kutowauwa
0757449757
Mansour Jumanne
Senior Journalist
Papa kalegeza misimamo ya ushoga..Shida kanisa letu Lina endeshwa na brains kubwa Sasa wenye brain ndogo kama wewe au nyie hamtalielewa kamwe. Mtawaelewa akina mwamposa na mafuta ya kukanyaga tu. Shida ni elimu ndo shida kubwa
Kwa hiyo CNN, BBC, Times wote wamekosea mkuu na hawakuelewa vizuri?Tatizo waandishi wengi wa kisasa hawako imformed na hawafanyi utafiti. Kabla ya kuandika na kushabikia uzushi kama huo mwandishi anapaswa kujua taratibu za kanisa katoliki, kama papa anao uwezo wa kutoa uamuzi mkubwa kama huo kupitia mahojiano tu.
Pili nini tafsiri sahihi ya neno la kiingereza blessing?
NdiyoKwa hiyo CNN, BBC, Times wote wamekosea mkuu na hawakuelewa vizuri?
Ukiona kitu kinahutaji maelezo mengi kukitetea, basi utetezi wake ni wa mchongo. Kasema hivyo na imeisha hiyo.Ndiyo
Wewe unajua maana ya neno "blessing" kwa wakatoliki?Kwa hiyo CNN, BBC, Times wote wamekosea mkuu na hawakuelewa vizuri?
Acheni kumtetea PAPA,amekosea kweli, na mnahitaji Papa mwingine. huyu kawaharibia sana.
We utatafsiri na kuchambua vitu kuliko hao native English speaker.Wewe unajua maana ya neno "blessing" kwa wakatoliki?
UPOTOSHAJI JUU YA KAULI YA PAPA FRANCIS NA KANISA LA ROMAN CATHORIC KUHUSU NDOA ZA JINSIA MOJA NA TAARIFA ZA VYOMBO VYA HABARI
Papa akajibu; ".....Hatutakiwi kuwauwa wala kuwatenga na akasema,inapotokea watu wanaojihusisha na usagaji,ushoga na usenge wameenda Kanisani wasifukuzwe wala kuadhibiwa kwa kuuliwa bali ni kazi ya Kanisa kuwapokea na kuwaombea ili wabadilike na kumrejea mwenyezi Mungu..."