Kauli ya Sean Paul imewashtua wengi baada yakusema hamjui Diamond wala Alikiba alipotua Tanzania, ila anatamani kufanya nao kazi

Hauwezi kujua wasanii wote.....Marobot ya views wanawadanganya sana wasanii wetu.
 
Mimi Isingenishangaza kabisa kwani najua kuwa wanamuzuiki wa Tanzania hawafahamiki kabisa katika sehemu nyingi za dunia kwa sababu siyo wabunifu wa nyimbo zinazohit. Wao wanategemea sana promotion za kufanya collaboa na wanamuziki wa Marekani, DRC na Nigeria bila kujua kuwa anayekuwa anafahamaika hapo ni huyo aliyemshirikisha, siyo yeye mwenyewe. Halafu nyimbo za wanamuziki wetu nyingi zinadumu muda mfupi sana. Mtu kama Lucky Dube alikuwa anajulikana kwa ajili ya muziki wake siyo kwa ajili ya alioshirikiana nao, na Muziki wa Dube hadi leo unahit pamoija na yeye mwenye kuuwawa zaidi ya miaka 16 iliyopita. Lakini uakiangangalia Muziki wa mwanamuzuki yeyote wa kitanzanzania wa kizazi hiki uliotolewa miaka mitanio ilyopita hausikilizwi tena na hakuna anayeujua nje ya Tanzania hata kama ulitumia wanamuziki wa nje kupata promosheni ilikuwa no boom ya muda mfupi tu ukafifia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…