Kauli ya Sean Paul imewashtua wengi baada yakusema hamjui Diamond wala Alikiba alipotua Tanzania, ila anatamani kufanya nao kazi

Kauli ya Sean Paul imewashtua wengi baada yakusema hamjui Diamond wala Alikiba alipotua Tanzania, ila anatamani kufanya nao kazi

Usishangae kabisa unajuwa tunavyojijuwa sisi usidhani watu wanatujuwa. Nimeshawahi kufika nchi za huko kuulizwa umetoka wapi nikasema Tanzania kwa kujiamini na nikasema kutoka Dar ili iwe rahisi japo sio wa Dar, Tanzania ndio wapi? karibu na nchi gani? lugha gani France au English... nikashtuka na hii ilikuwa sio mtu mmoja nilikuwa nimealikwa kwenye party Halloween. Hawaijuia Tanzania nikaanza East Africa naona macho tu, mnamjuwa Mandela? yes basi sio mbali sana na wao karibu na Kenya ndio nikaanza kueleweka kidogo. Usijione kujiona Boss huko Rukwa ukadhani nchi nzima wanakujuwa.. 😀
Huko nje kwa East Africa nchi inayojulikana ni Kenya
 
mkuu hiyo ni lugha tu kulinda brand yake isitoshe ana wadhamini wamemleta nchini na wameweka mpunga mrefu kwake..pia hawezi izungumzia bure brand nyingine juu ya brand yake..tatizo waandishi wa bongo msanii kafika nchini kwa ajili ya show badala ya wamuulize kuhusu yeye na muziki wake na jinsi gani amejipanga,na mashabiki wategemee nini kwenye show yake.. eti badala yake wanakimbilia kumuuliza kuhusu diamond kwani anahusiana nini na ujio wake... bongo hakuna waandishi wa mahojiano ni pumba tu
 
Usishangae kabisa unajuwa tunavyojijuwa sisi usidhani watu wanatujuwa. Nimeshawahi kufika nchi za huko kuulizwa umetoka wapi nikasema Tanzania kwa kujiamini na nikasema kutoka Dar ili iwe rahisi japo sio wa Dar, Tanzania ndio wapi? karibu na nchi gani? lugha gani France au English... nikashtuka na hii ilikuwa sio mtu mmoja nilikuwa nimealikwa kwenye party Halloween. Hawaijuia Tanzania nikaanza East Africa naona macho tu, mnamjuwa Mandela? yes basi sio mbali sana na wao karibu na Kenya ndio nikaanza kueleweka kidogo. Usijione kujiona Boss huko Rukwa ukadhani nchi nzima wanakujuwa.. 😀

Ulitakiwa useme land of Mt Kilimanjaro au Serengeti - Great Migration; Hivyo ndio vitu viwili vinafahamika zaidi kidumia kuliko Nchi yenyewe
 
Ulitakiwa useme land of Mt Kilimanjaro au Serengeti - Great Migration; Hivyo ndio vitu viwili vinafahamika zaidi kidumia kuliko Nchi yenyewe
Kuna haja ya kubadili jina tujiite Republic of Kilimanjaro 😉
 
mkuu hiyo ni lugha tu kulinda brand yake isitoshe ana wadhamini wamemleta nchini na wameweka mpunga mrefu kwake..pia hawezi izungumzia bure brand nyingine juu ya brand yake..tatizo waandishi wa bongo msanii kafika nchini kwa ajili ya show badala ya wamuulize kuhusu yeye na muziki wake na jinsi gani amejipanga,na mashabiki wategemee nini kwenye show yake.. eti badala yake wanakimbilia kumuuliza kuhusu diamond kwani anahusiana nini na ujio wake... bongo hakuna waandishi wa mahojiano ni pumba tu
Ila ni ukweli
 
Wakuu

Mwanamuziki maarufu wa dancehall kutoka Jamaica, Sean Paul, aliwasili Tanzania jana (Novemba 29) kwa ajili ya show yake inayotarajiwa kufanyika leo. Katika mahojiano na Bongo 5, alipoulizwa kuhusu Diamond Platnumz, Sean Paul alikiri kwamba hamfahamu msanii huyo lakini yuko tayari kukutana na kushirikiana na wasanii wa Kitanzania.
View attachment 3165814
Kauli hii iliwashtua mashabiki wengi, kwani baada ya wapekuzi kufukunyua mambo ikajulikana kwamba msanii hao amem-follow Diamond kwenye mtandao wa Instagram.
View attachment 3165811
Sean Paul amekuwa na ushirikiano na wasanii mbalimbali duniani, ikiwa ni pamoja na wimbo maarufu “Rockabye” alioshirikishwa na Clean Bandit na Anne-Marie.
View attachment 3165810
Kauli yake ya kutowafahamu miamba wa muziki Bongo Simba na King Kiba, ina funzo kwa muziki wetu?
View attachment 3165824
Sasa star wa africa tena Tanzania lazima ajulikane Carribbean? Wewe unamjua star wa Barbados kwa sasa? Sean Paul ni habari kubwa 2000 wakati diamond na kiba wanapenga kamasi. Huyu ni star wa dunia, mwenye top charting hits kibao billboard na kila nchi uijuayo na usozijua
 
Kidogo siku hizi ukimtaja Magufuli wanatuelewa si unajuwa ukiwa mtu wa vituko unaeleweka. Magufuli katuwezesha kidogo
Nan sasa alikua mtu wa vituko heshimu watu sema alikua mwamba hao wazungu bila umwamba hawakuelewi kama ni mtu wa vituko uwe una mtaja sasa Bambo au kingwendu wakuelewe unatokea Tanzania.
 
Usishangae kabisa unajuwa tunavyojijuwa sisi usidhani watu wanatujuwa. Nimeshawahi kufika nchi za huko kuulizwa umetoka wapi nikasema Tanzania kwa kujiamini na nikasema kutoka Dar ili iwe rahisi japo sio wa Dar, Tanzania ndio wapi? karibu na nchi gani? lugha gani France au English... nikashtuka na hii ilikuwa sio mtu mmoja nilikuwa nimealikwa kwenye party Halloween. Hawaijuia Tanzania nikaanza East Africa naona macho tu, mnamjuwa Mandela? yes basi sio mbali sana na wao karibu na Kenya ndio nikaanza kueleweka kidogo. Usijione kujiona Boss huko Rukwa ukadhani nchi nzima wanakujuwa.. 😀
Hii shida ya kudhani umaarufu nyumbani ndio umaarufu huko nje imeanzia kwa wasanii baadae ikaende kwa wana siasa
Kuna kenge humu ndani, yeye anadhani viongozi wake huko nje ni maarufu sana, kumbe hata hawajulikani
 
U
mkuu hiyo ni lugha tu kulinda brand yake isitoshe ana wadhamini wamemleta nchini na wameweka mpunga mrefu kwake..pia hawezi izungumzia bure brand nyingine juu ya brand yake..tatizo waandishi wa bongo msanii kafika nchini kwa ajili ya show badala ya wamuulize kuhusu yeye na muziki wake na jinsi gani amejipanga,na mashabiki wategemee nini kwenye show yake.. eti badala yake wanakimbilia kumuuliza kuhusu diamond kwani anahusiana nini na ujio wake... bongo hakuna waandishi wa mahojiano ni pumba tu
Point sana
 
Back
Top Bottom