moto wa kifuu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 390
- 60
Bakwata ni nini?Mufti ni kiongozi wa Bakwata siyo waislam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bakwata ni nini?Mufti ni kiongozi wa Bakwata siyo waislam.
Kuna tetesi kwamba CCM inapasuka kupitia wazee na jamaa huenda akashindwa vibaya😀😀 Me nawaza tu,iwapo viongozi wa dini ya kiislamu wataendelea kuitumbukiza dini yao moja kwa moja kwenye siasa za muda bila kuwa na exit plan, baada ya huu uchaguzi huu kuisha na mahindi akawa si wa upande wao itakuwaje🤔?
Hata kama ni mimi, nisingevumilia hiki kinachoendelea, na matokeo yake yataonekana baada ya uchaguzi huu.
Baraza la kuhujumu waislamu TanzaniaBakwata ni nini?
Wale mashehe wamesema " uongo ni katika makosa saba".Baraza la kuhujumu waislamu Tanzania
BAKWATA
Yes uongo ni dhambi kubwa Sana kama mashekh wa BAKWATA waongo SanaWale mashehe wamesema " uongo ni katika makosa saba".
호롤 허 ㅎ릋흐ㅔ호 Katafute Goole translation.Qulil Haqqa wainkaana muraa
Kama ni tetesi siwezi kupoteza muda wangu kuzijadili.Sina muda wa kupoteza kama jobless waliomo humu.Kuna tetesi kwamba CCM inapasuka kupitia wazee na jamaa huenda akashindwa vibaya
Imekupata, maana unaanza matusi na kejeli. Nakujua ngoja nikuibukie baadaye!Duh...eti jumuiya ya kimataifa itawabana...umekariri ya Jammeh duh. Tanzania bado tuko nyuma Sana kwa issues za kimataifa...umekaririshwa tu ya Jammeh...na inawezekana Wala hujui huyo alikuwa Rais wa wapi...
wee ni kachero mzoefu sana. Sasa mbona alhadi hali ubwabwa aliofuata.Sisi waislamu wa Haqi tupo pamoja na Sheikh Ponda kura zetu kwa lissu
Masheikh wanafiki wapo pamoja na BAKWATA na ubwabwa kura zao kwa yule katili anaetesa waislamu na watanzania kwa ujumla
Hadi Sasa kila mtanzania moyoni ashajua anakwenda kumchagua nani,Niseme tu kweli kwamba kila mtanzania anatambua kila uzuri wa kiongozi wanaujua watanzania wenyewe kwayo watafanya maamuzi sahihi oktoba28
Utajadili vipi tetesi bwana mdogo, assignment za shule huja kamilisha hichi kizazi chenu kina tatizoKama ni tetesi siwezi kupoteza muda wangu kuzijadili.Sina muda wa kupoteza kama jobless waliomo humu.
Anaona noma na sani yake tonge nyamawee ni kachero mzoefu sana. Sasa mbona alhadi hali ubwabwa aliofuata.