Wapite kule, watuwache na Ponda wetu. Waislam wote, hata yule mama wa Makonda tutampigia Lissu mwenye agenda ya haki!Masheikh UBWABWA hao ni WANAFIKI tu wako radhi kuendelea kukumbatia udhalimu wa kila aina Nchini kwa matonge machache ya UBWABWA.
Hawe" ndio kiswahili cha wapi mkuu?Ponda sio mufti, hana mamlaka ya kuwazungumzia waislam wa tanzania, mwambieni hawe anajizungumzia mwenyewe.
Umepanga kumfanyia nini Sheikh Ponda kwenye iyo dawa ya jikoni?Ponda dawa yake ipo jikoni
NI MWAKA JANA TU SERIKALI YA CCM ,KUPITIA LUGOLAVijana waumini wa Ushoga ndo wako wanaimba Lissu..... Watanzania kwa sasa nguvu yetu iko katika miaka mitano mingine ya mafanikio zaidi. Tanzania lazima ifanikiwe na Magufuli
Tulieni sindano ziwaingie.Hili suala sasa limefikia pabaya, acha mambo ya serikali kwanza. Lissu hana aibu anawezaje kumrubuni shehe anaye jinasibisha na Imani ya Kislamu apigie kampeni wakati anajua anazo tuhuma za uhanarakati wa kueneza ushoga Tanzania aliotoka na USA na Ulaya. Tuhuma anazojitahidi kwa hila na ulaghai kuzikwepa.
Shehe Ponda anawezaje kuchafua taswira ya Uislamu kiasi hiki?
WEWE MUISLAM FALAA ...JPM MBONA ANATUHUMA ZA KUMPIGA LISSU RISASI..KUUMIZA NA KUTESA WATU???
PIMBI WEWE [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakati tunasubiri ujibiwe na Sheikh Ponda na wewe tupe uwiano wa kidini wa viongozi wa kitaifa...Taasisi, mashirika, idara n.k za serikali.Sheikh Ponda mbona hajahoji uwiano wa kidini wa viongozi hapo CHADEMA?? Au ndio kusema CHADEMA kuna uwiano Sawa??