Uchaguzi 2020 Kauli ya Sheikh Ponda yakanushwa na wahadhiri wa Dini ya Kiislam

Uchaguzi 2020 Kauli ya Sheikh Ponda yakanushwa na wahadhiri wa Dini ya Kiislam

Mashehe ubwabwa katika ubora wao! Utopolo mtupu. Ama kweli ndevu si akili wala madrasa si elimu.
 
Angesema wamekubaliana kumpigia kura Magufuli wasingekanusha lakini ni haohao wanaompigia kampeni Magufuli misikitini.
 
Shekhe ponda yy alipigwa risasi hujasikia hal wanafiki wa bakwata kukemea mashekhe wa uamsho wamo ndani hujawasikia hao wa kiwatete sasa sisi waislam wakweli tunao wapenda mashekhe wa uamsho waachiwe huru kura zetu kwa lisu

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Achana na mambo yasiyo na msingi. Liko jambo la msingi sana hapa la dini ya Allah. Wasilamu dunia yote itashangaa wakimuacha Lissu na Ponda kuendelea kuchezea imani yao kwa jinsi hii
Sisi waislamu wa kweli ambao tunaguswa na dhulma wanayofanyiwa mashekh zetu kule jela imefikia kitendo cha kuwaminya korodani mpaka hawataweza kukutana na wake zao tena!

Watu wanateswa bila huruma mpaka wengine wamekua vichaa kwa mateso makali ya kikatili
Wangine wamekufa na kufukiwa kama mizoga, bado tu tumpende muovu hivi?

Sisi waislamu wa kweli tunajisikia huzuni kwa hilo sio tu waislamu wa Tanzania Bali ulimwengu mzima
Wallahi naapa waislamu wanafiki pekee Ndio watakaompigia kura Katili Magufuli

Waumini wanao muamini Allah na Siku ya mwisho na Familia zetu tutampigia kura Lissu ✔️
 
View attachment 1604268

Masheikh wakanusha kauli ya Issa Ponda kuwa waislamu walikubaliana kumpigia kura Lissu.

Sheikh Ponda Issa Ponda alisema hayo alipokuwa Dodoma akimnadi mgombea Urais kupitia tiketi ya CHADEMA, Tundu Atipas Lissu.

Soma pia > Uchaguzi 2020 - Kishindo: Sheikh Ponda atoa neno kwenye mkutano wa Lissu Dodoma, Uwanja walipuka kwa shangwe
Wangeanza kukanusha kauli ya Sheikh mkuu wa Dar es Salaam aliposimama jukwaani na kunadi kuwa hakuna mitano kwanza kuna mitano tena, kinyume na hapo wakae kimya tu waache wananchi waamue. Kama wao hawaoni haja ya kuungana kuwatetea Masheikh wanaaozea jela basi waendelee kutumikia matumbo yao tu.
 
Ninyi masheik wa BAKWATA hamjitambuiii. Mmemezwa na DUNIA ndio maana NCHI HII KUNA UTITIRI WA TAASISI ZA KIISLAMU. HIVI HAMJIULIZI KWA NN NA BAKWATA IPOOOO. KESHO IKO NA MTAJIBU MMKEKALIA MATUMBO YENU HAMNA LOLOTE ZAIDI YA UNAFIKI TU. KUTAPIGA KURA KWA KUTUMIA AKILI ZETU NA WALA SIO KWA KUFUATA MAELEKEZO YENU, KUNA MASHEIKH WA UHAMSHO MIAKA NANE WAKO NDANI MBONA HATUWASIKII MKIWASAIDIA. DHAMANA MLIYONAYO KESHO MTAJIBU MJIANDAE.
 
Mzee ponda ni fisadi wa mali za waislam, anahasira za kurejeshwa mali za waislam, ni kibaraka wa magaidi ka alivyo lisu
Soma kwa makini ulichoandika, fisadi hapo hapo anataka mali za waislam zirudi, vipi wale walioziuza
 
Wamekanusha na kauli ya sheikh wa mkoa wa Dar au kwa vile wapo kwenye payroll ya ccm wanaonyanyasa waislamu
 
Sisi waislamu wa kweli ambao tunaguswa na dhulma wanayofanyiwa mashekh zetu kule jela imefikia kitendo cha kuwaminya korodani mpaka hawataweza kukutana na wake zao tena!
Watu wanateswa bila huruma mpaka wengine wamekua vichaa kwa mateso makali ya kikatili
Wangine wamekufa na kufukiwa kama mizoga, bado tu tumpende muovu hivi?

Sisi waislamu wa kweli tunajisikia huzuni kwa hilo sio tu waislamu wa Tanzania Bali ulimwengu mzima
Wallahi naapa waislamu wanafiki pekee Ndio watakaompigia kura Katili Magufuli

Waumini wanao muamini Allah na Siku ya mwisho na Familia zetu tutampigia kura Lissu
Mimi ni Mkristu ila nina mahusiano makubwa sana na Waislamu kifamilia, kikazi na kijamii. Hakuna Muislamu wa kweli ambaye hajakwazwa na utawala wa Magufuli. Kwa uzoefu wangu wa ninavyowafahamu Waislamu wanaojitambua wako na Sheikh Ponda kwenye mioyo yao.

Hayo waliyoyaongea kwenye vyombo vya habari ni biashara tu. Yaani Polepole anawapa hela, wanakwenda wanaongea yanaisha japo wanazodolewa. Lakini kura ya Sheikh Kipozeo na wenzie ni kwa Tundu Lissu, halina ubishi
 
Nyie wanawake weupe mna gubu sana. Ponda kashaagiza waisilamu wapenda haki wapigie kura upande wa haki. Tunasubiri tume isiyo huru ya uchaguzi ichezee matokeo ya kweli ili tujue tunatokaje hapa.
Wanaume msiokuwa na nywele mkyundn, mna papara na viherehere vya kuquote vitu msivyoweza kuvielewa.
 
Binafsi hawa "THE SO CALLED MASHEHE" katika video hii siwatambui na wala sio mashehe wanaoaminiwa na waislamu, hawa ni wachumia tumbo na wanaongozwa na yule Bw. AlHAd anayejiita Kiongozi wa waislamu wa DAR, hawa hawana tofauti na GWAJIMA.
Japokuwa siungi mkono alichokifanya Sheikh PONDA Dodoma na Babati, ametumia wadhifa wa kidini kuendeleza maoni yake ya kisiasa.

Waislamu tuna uhuru wakuchagua mgombea tunayemuona anatufa au tunakubaliana naye , ni uchaguzi binfsi, Waislamu hatuna form moja inayowaunganisha waislamu wote, na hilo halipatikani kwa sababu ya TISS BAKWATA.

Sheikh Ponda ametukosea waislamu wote, abadilishe kauli yake, na ajaribu kuwashawishi binafsi Waislamu kumpigia kura LISSU , na sio kutumia Dini.

KUNA MOJA LA MUHIMU TUNAMUOMBA SHEKHE PONDA, TAFADHALI NENDA KAWE NA AKAMUUNGE MKONO HALIMA DHIDI YA YULE NDULI LEO ANAYEJIITA RASHIDI (GWAJIMA), TUTAFUAHI SANA AKIFANYA HIVYO NA HUYU NDULI AKAANGUKIA PUA.
 
Mimi ni Mkristu ila nina mahusiano makubwa sana na Waislamu kifamilia, kikazi na kijamii. Hakuna Muislamu wa kweli ambaye hajakwazwa na utawala wa Magufuli. Kwa uzoefu wangu wa ninavyowafahamu Waislamu wanaojitambua wako na Sheikh Ponda kwenye mioyo yao.

Hayo waliyoyaongea kwenye vyombo vya habari ni biashara tu. Yaani Polepole anawapa hela, wanakwenda wanaongea yanaisha japo wanazodolewa. Lakini kura ya Sheikh Kipozeo na wenzie ni kwa Tundu Lissu, halina ubishi
APANA NDUGU, HAKUNA UKWELI NA ULISEMALO, KWANZA TATIZO AU SHIDA YOYOTE ITOKEYAYO NCHINI INAWAKWAZA WANANCHI WOTE NA HAICHAGUI KABILA WALA DINI. KAMA WANANCHI WENGINE TUKO TUNAO MUUNGA MKONO RAISI NA WAKO WANAO MPINGA NA KUMUUNGA TL AU WAGOMBEA WENGINE. SHEIKH PONDA HANA WAFUASI WENGI , ANGEJUWA ANA WAFUASI WENGI ASINGE CHEZEWA NA POLISI.
 
Ponda sio mufti, hana mamlaka ya kuwazungumzia waislam wa Tanzania, mwambieni awe anajizungumzia mwenyewe.
Wala mufti hana madaraka hayo yeye ana madaraka na Bakwata na wafuasi wao ndio maana hata Ramadhan na Eid kuna makundi mawili. Ponda kaongea kama muislamu na anao watufuasi wake. sisi waislamu njaa ndio shida yetu na bahati mbaya wenye njaa sana wanaojiita mashekh wanachukiana wenyewe kwa wenyewe hata akimuona mwenzake anakubalika zaidi. Mashekh wetu we nenda kwa shekh yoyote halafu msifie shekh mwingine atakunja uso hapohapo na kuropoka.

Shekh hata akiona mwanafunzi wake tu anaanza kukubalika basi ataanza chuki. Tuna roho chafu sana huo ndio ukweli tunapenda kuabudiwa. Kweli Allah alikuwa na hekma kubwa watoto wa mtume wetu walifariki wote kuepusha haya mapungufu yetu lakini mpaka leo kuna watu wanajidai wao ni katika koo za mtume na ni bora kuliko wengine wakati mtume wetu hajawahi kusema yeye ni bora kuliko wengine. nasema haya yote kuonesha kiwango cha unafiki wetu kiwango cha lami.
 
APANA NDUGU, HAKUNA UKWELI NA ULISEMALO, KWANZA TATIZO AU SHIDA YOYOTE ITOKEYAYO NCHINI INAWAKWAZA WANANCHI WOTE NA HAICHAGUI KABILA WALA DINI. KAMA WANANCHI WENGINE TUKO TUNAO MUUNGA MKONO RAISI NA WAKO WANAO MPINGA NA KUMUUNGA TL AU WAGOMBEA WENGINE. SHEIKH PONDA HANA WAFUASI WENGI , ANGEJUWA ANA WAFUASI WENGI ASINGE CHEZEWA NA POLISI.
Mimi ni muislamu Sala tano Amiin nakwambia tumechoka na Bakwata kwa ubadhirifu wa Mali za waislamu na kufumbia macho kero zetu
Sheikh Ponda anawafuasi wengi wa kiislamu kutoka madhehebu yote.

Kura za waislamu wa Haqi kwa Lissu. Kura za waislamu wanafiki kwa Magufuli

Takbirr
Allah Akbar
 
Mpeleekeni Lissu mpayakaji aone asijifanye ni msahaulifu kilichotokea mwaka 2015. Na mwaka 2020 kitajirudia mara tatu zaidi. Jambo la muhimu ni kuhakikisha kibaraka huyu wa mabeberu na mashago hatoroki nchi baada ya 28/10.

Asije akapata nafasi ya kwenda kutumiwa na yule rais wa mashoga dunia kuzunguka ulaya na marekani akiichafua nchi kwa mambo ya kutunga ya uongo na uzushi. Fursa hii ya huyu adui wa Taifa hili kujilete mwenyewe itumiwe vizuri.

Sisi ndio wajumbe😁😁 Wacha tarehe 28 tukakamilishe kazi
Hapo ndio watajua maana halisi ya mjumbe hauwawi😄
 
Back
Top Bottom