Uchaguzi 2020 Kauli ya Sheikh Ponda yakanushwa na wahadhiri wa Dini ya Kiislam

Uchaguzi 2020 Kauli ya Sheikh Ponda yakanushwa na wahadhiri wa Dini ya Kiislam

Kwani Kiongozi halisi wa Umma wa Waislamu ni nani? Yuko wapi Sheikh anayeheshimika na kukubalika miongoni mwa Waislamu mwenye moral authority ya kusema na kukemea kwamba; "Alhad Musa Salum umekosea, BAKWATA mmekosea, Ponda Isa Ponda umekosea na hata Hilal Shaweji aka Kipozeo, Habib Mazinge na wenzenu nyote mmekosea"

Aje Sheikh kutoka Tanga au Kondoa au Kigoma au Mwanza au wawaite Masheikh kutoka Malindi Kenya waje kuwapatanisha Waislamu wenzao na wawaonye waache kuugawa umma, kwamba kwenye mambo ya siasa wasiingilie maamuzi ya Waslamu binafsi. Kwa hapa Dar es Salaam bado sijamuona atakayekubalika kufanya mediation hiyo
 
Nchi imekuwa ya kijinga sana,hawa viongozi wa dini wamepoteza mwelekeo kabisa
 
Kwani Kiongozi halisi wa Umma wa Waislamu ni nani? Yuko wapi Sheikh anayeheshimika na kukubalika miongoni mwa Waislamu mwenye moral authority ya kusema na kukemea kwamba; "Alhad Musa Salum umekosea, BAKWATA mmekosea, Ponda Isa Ponda umekosea na hata Hilal Shaweji aka Kipozeo, Habib Mazinge na wenzenu nyote mmekosea"

Aje Sheikh kutoka Tanga au Kondoa au Kigoma au Mwanza au wawaite Masheikh kutoka Malindi Kenya waje kuwapatanisha Waislamu wenzao na wawaonye waache kuugawa umma, kwamba kwenye mambo ya siasa wasiingilie maamuzi ya Waslamu binafsi. Kwa hapa Dar es Salaam bado sijamuona atakayekubalika kufanya mediation hiyo
Njaa imewapanda kichwani ndiyo maana hawaelewani
 
Kwani Kiongozi halisi wa Umma wa Waislamu ni nani? Yuko wapi Sheikh anayeheshimika na kukubalika miongoni mwa Waislamu mwenye moral authority ya kusema na kukemea kwamba; "Alhad Musa Salum umekosea, BAKWATA mmekosea, Ponda Isa Ponda umekosea na hata Hilal Shaweji aka Kipozeo, Habib Mazinge na wenzenu nyote mmekosea"

Aje Sheikh kutoka Tanga au Kondoa au Kigoma au Mwanza au wawaite Masheikh kutoka Malindi Kenya waje kuwapatanisha Waislamu wenzao na wawaonye waache kuugawa umma, kwamba kwenye mambo ya siasa wasiingilie maamuzi ya Waslamu binafsi. Kwa hapa Dar es Salaam bado sijamuona atakayekubalika kufanya mediation hiyo
Sisi waislamu wa Haqi tupo pamoja na Sheikh Ponda kura zetu kwa lissu
Masheikh wanafiki wapo pamoja na BAKWATA na ubwabwa kura zao kwa yule katili anaetesa waislamu na watanzania kwa ujumla
 

Attachments

  • Screenshot_20201019-072534.jpg
    Screenshot_20201019-072534.jpg
    71.6 KB · Views: 1
Ponda sio mufti, hana mamlaka ya kuwazungumzia waislam wa Tanzania, mwambieni awe anajizungumzia mwenyewe.
Bakwata ni tawi la Ccm. Waislamu napenda haki tunamuunga mkono ponda. Ukienda kwa mufti hata mkata MAJANI KAVAA LI T SHIRT LA CCM
 
My friend ponda ana ushawishi kwa waislamu ingawa sii wote.
Mwislam mimi sihitaji ushawishi wa mtu yeyote. Mimi sio gari kwamba mtu ataniendesha kuelekea anakotaka kwenye mambo ya kidunia. Hata hayo ya mbinguni atanielekeza tu, kufuata ni hiari yangu. Kesi ni kati yangu na mwenyezi Mungu wangu.
 
Hili ni genge la matapeli hakuna Masheikh hapo, Kipozeo ni tapeli huyo Sharifu majini ndo hata sio wakumzungumzia maana sina hata hakika kama bado ni muislam maana namuona ni mshirikina tu. Na cha msingi zaidi wao wanazungumza upande wa BAKWATA wakati shiekh Ponda anazungmzia upande wa Shura ya maimamu na Baraza kuu kila mtu anawafuasi wake wacha wafuasi waamue sio kuja kusema sema ili tu wapate vipande vya mikate.
 
Sisi Waislam ndio tumekubaliana na tumemtuma shekhe Ponda atusemee hatuna shida kutiliana sign kwa vile tunaaminiana.
Hao masheikhe wa bakwata hapo juu ni njaa na unafiki tu unawasumbua.
 
Dah hata huyu Sheikh Kipozeo, sheikh wetu wa mtaa akipita kijiweni kwetu tunamuona ni mtu-huru wa kusema akionacho ni swafi leo hii anaondoa uhuru wake kisa CCM Mpya !
Jamani hapa tusichanganye hao mashehe wanaopinga kauli ya sheponda embu tuwapime kwa haya

1. Wamewatetea wenzao waliopo ndani bila kosa hadharani mara ngapi
2. Wameitetea jamii yakislam katika maisha yao?
3. Kwanini wamekuja juu wakati waislam tunamaskitiko toka zamani hata huyo mazinge huwa analalamika kwenye mihadhara

Kifupi kunamashehe waserekali nawaumini wao pia kunamashehe wa waislam nawaumini wao
Sasa alichomaanisha ponda ni mashehe na waumini wa waislam sio wale waserekali
Ushahidi mtume anasemaje juu ya muslam unapomuona anadhumiwa au kuwekwa kizuizini namna kama hao walioko ndani wao wametimiza waj ibuwao?kuwatetea wenzao njaa jamani nihatari
 
ninyi masheik wa BAKWATA hamjitambuiii...................!!! mmemezwa na DUNIA ndio maana NCHI HII KUNA UTITIRI WA TAASISI ZA KIISLAMU. HIVI HAMJIULIZI KWA NN NA BAKWATA IPOOOO. KESHO IKO NA MTAJIBU MMKEKALIA MATUMBO YENU HAMNA LOLOTE ZAIDI YA UNAFIKI TU. KUTAPIGA KURA KWA KUTUMIA AKILI ZETU NA WALA SIO KWA KUFUATA MAELEKEZO YENU, KUNA MASHEIKH WA UHAMSHO MIAKA NANE WAKO NDANI MBONA HATUWASIKII MKIWASAIDIA .......... DHAMANA MLIYONAYO KESHO MTAJIBU MJIANDAE.
 
Sidhani Kama Itakua Sahihi Yeye Kuwaongelea Waislam Ikiwa Sio Kiongozi Rasmi.
Issa Ponda Ni Mwanazuoni Mzuri Lakini Mihemko ya Kisiasa Imekua Ikimchukua Mara Kwa Mara Na Kuifanya Elimu Aliyonayo Kuwa Useless Kwa Hapa Hapana Ajipange Na Waislam Sio Wakupelekwa Hivo!!
Nitajie masheikh wakubwa ambao elimu yao sio useless. Vipi yule sheikh wa bakwata aliyeomba dua kwa jina la yesu yeye elimu yake sio useless?
 
View attachment 1604268

Masheikh wakanusha kauli ya Issa Ponda kuwa waislamu walikubaliana kumpigia kura Lissu.

Sheikh Ponda Issa Ponda alisema hayo alipokuwa Dodoma akimnadi mgombea Urais kupitia tiketi ya CHADEMA, Tundu Atipas Lissu.

Soma pia > Uchaguzi 2020 - Kishindo: Sheikh Ponda atoa neno kwenye mkutano wa Lissu Dodoma, Uwanja walipuka kwa shangwe
Namuona Alhad pembeni, hii Ni Team BAKWATA ' ni vyema nao wangejiweka wazi kama ponda kuliko kujifuchaficha(unafiki)
 
Sisi ndio waislam wenyewe, hao masheikh wengine ni masheikh maslai.

Tunamfuata sheikh anayepigania madlai ya waidlam na si kulazimishwa, sheikh ponda ndie mwenye maono yetu waislam
Ponda sio mufti, hana mamlaka ya kuwazungumzia waislam wa Tanzania, mwambieni awe anajizungumzia mwenyewe.
 
Ponda ameshamaliza ya moyoni mwake, waendelee kumkumbusha hata Alhadi, shekhi mkuu wa mkoa wa Dar es salaam naye asiingie kwenye siasa maana anaonekana onekana kupiga kampeni. Atatuletea matatizo.

Tumewasikia, lakini nikiangalia body language zenu na matamshi yenu mbona yànaonekana are totally out of sync?

Hivi inaingia akilini kwamba MTU wa caliber ya Sheik Ponda anaweza kuchukuliwa POA, kweli? Let us revisit his past history ndani ya Taifa letu - what does it tell you?

If you still think Ponda's influence in our Nation is highly inflated - think again - my opinion.
 
Back
Top Bottom